valet de chambre
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,044
- 1,112
Unasemaaaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba yako pia ni zuzu?Bila shaka kina mazuzu wengi mitandaoni!!
Dhisi is chichiem bwanaTuzo= kujitekenya na kucheka mwenyewe.
Ni ball possessionNdio "Tunzo". Ingekuwa kwenye soka tungesema CCM inaongoza kwa " Ball Position "! Ahahahahahahaha!!!
Nifarijini tu mr.DudusisimiziKwahiyo bavicha pamoja na kuwa na ID mbili mbili au tatu tatu lkn bado wameangukia pua! Kweli chama chao kimeshapoteza mvuto mtaani na mitandaoni.
Ccm ilishakufa zamani wamebaki plcccmTakwimu🚶
Hapana ila mama yako ni ZuZu akabahatika kukufyatua na wewe ZuZu.Baba yako pia ni zuzu?
... ni sahihi kwa dialect ya kimwambao. Kinyika ingeweza pia kuandikwa tuzo; zote ni sahihi inategemea dialect iliyotumika.Tunzo?
Tuambieni mtoaji wa tozo ni nani?isije kuwa kijani wenyewe, mbeleko zao au washirika wao.CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAPOKEA TUZO CHAONGOZA KUWA NA WAFUASI WENGI MTANDAONI
Kwa mujibu wa tovuti ya ukusanyaji wa takwimu za mitandao ya kijamii (Statista Aprili, 2019) watu milioni 23 wanatumia intaneti hapa nchini, sawa na takribani asilimia 42 ya Watanzania milioni 55.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaongoza kwa idadi kubwa zaidi wafuasi kwenye mitandao yote ya kijamii kati ya vyama vitano vya siasa vinavyotumia mitandao miongoni mwa vyama 19 vilivyosajiliwa nchini vinavyoonekana kuwa vinara wa kutumia kurasa za mitandao ya kijamii.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka, Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Jumatano 27 Oktoba 2021.
#ChamaImara
#KaziIendeleeView attachment 1988493
Kwahyiyo Mazuzu mnaongoza kuwa wengi mitandaoni sio, bathi thawaa Maana hata utafiti wa kisayansi wa shirika la Twaweza ulibaini kuwa wanachama waengi wa ccm ni wajinga.Kwa mujibu wa tovuti ya ukusanyaji wa takwimu za mitandao ya kijamii (Statista Aprili, 2019) watu milioni 23 wanatumia intaneti hapa nchini, sawa na takribani asilimia 42 ya Watanzania milioni 55.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaongoza kwa idadi kubwa zaidi wafuasi kwenye mitandao yote ya kijamii kati ya vyama vitano vya siasa vinavyotumia mitandao miongoni mwa vyama 19 vilivyosajiliwa nchini vinavyoonekana kuwa vinara wa kutumia kurasa za mitandao ya kijamii.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka, Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Jumatano 27 Oktoba 2021.View attachment 1988489View attachment 1988491View attachment 1988490
Matusi ya nn?Hapana ila mama yako ni ZuZu akabahatika kukufyatua na wewe ZuZu.
Ha ha ha ha nimecheka balaaa kwa akili hizi tuna Cha kuvumbua kweli khaaaaOnly in Tanzagiza
Hivi jamaa huwa ni me au?Nke wa ntu huyo