Shaka atamba CCM kuongoza kwa wingi wa wafuasi mitandaoni

Shaka atamba CCM kuongoza kwa wingi wa wafuasi mitandaoni

Haki ya Mungu...

Wallah tena, naapia...

Hapa atokee mtu na kuweka Sh 50 Billion, na kuniambia nikitaja akaunti moja tu, kutoka mtandao wowote ambayo ni ya CCM... wallah, hiyo 50B nitaikosa hivi hivi...

Na ikitokea nimewekewa kisu shingoni, nitaje moja TU vinginevyo jamaa anakula shingo... haki tena, safari yangu ya kwenda kuongozwa na Kiongozi wa Malaika, Mheshimiwa John Pombe... itakuwa ndo ishawadia!!

Kumbe ndo huko wanakolishwa ujinga Watanzania?!

Unashangaa unakutana na kijana in his mid-20's lakini kimawazo anafanana na Ndugai... hii mitandao hii!!!
 
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAPOKEA TUZO CHAONGOZA KUWA NA WAFUASI WENGI MTANDAONI

Kwa mujibu wa tovuti ya ukusanyaji wa takwimu za mitandao ya kijamii (Statista Aprili, 2019) watu milioni 23 wanatumia intaneti hapa nchini, sawa na takribani asilimia 42 ya Watanzania milioni 55.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaongoza kwa idadi kubwa zaidi wafuasi kwenye mitandao yote ya kijamii kati ya vyama vitano vya siasa vinavyotumia mitandao miongoni mwa vyama 19 vilivyosajiliwa nchini vinavyoonekana kuwa vinara wa kutumia kurasa za mitandao ya kijamii.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka, Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Jumatano 27 Oktoba 2021.

#ChamaImara
#KaziIendelee

View attachment 1988521

View attachment 1988522

View attachment 1988523
[emoji1][emoji1][emoji1] Tweeter, Facebook na Instagram, CCM Wana followers wachache sana, Chadema Wana followers wengi, Ila mazuzu yanapeana tuzo
 
Siyo mfuasi wa vyama ila ni mfuatiliaji nzuri sana matukio ya kivyama, kiukweli siasa za vyama vyetu huwa inanichekesha sana kwa jinsi wanavyowahiana katika matukio........wakati huku chadema inaonyesha 'bonge la msururu' wa watu wawili wanaosemwa wanajiunga chadema kidigital, ccm imemaliza kabisa kwa kutangaza kupokea tuzo,.....kwamba wenyewe wako huko kitaaambo sana!!

Hahaaaaaaaaaaaa! Inafurahisha sana, ukiwa sio mnywa maji ya bendera ya chama basi ni burdaaaani kabisa!
 
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAPOKEA TUZO CHAONGOZA KUWA NA WAFUASI WENGI MTANDAONI

Kwa mujibu wa tovuti ya ukusanyaji wa takwimu za mitandao ya kijamii (Statista Aprili, 2019) watu milioni 23 wanatumia intaneti hapa nchini, sawa na takribani asilimia 42 ya Watanzania milioni 55.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaongoza kwa idadi kubwa zaidi wafuasi kwenye mitandao yote ya kijamii kati ya vyama vitano vya siasa vinavyotumia mitandao miongoni mwa vyama 19 vilivyosajiliwa nchini vinavyoonekana kuwa vinara wa kutumia kurasa za mitandao ya kijamii.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka, Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Jumatano 27 Oktoba 2021.

#ChamaImara
#KaziIendeleeView attachment 1988493
Siempre CCM

Siempre Siempre💪👍👊😍
 
2958356_IMG-20211008-WA0039.jpg
 
Kwa mujibu wa tovuti ya ukusanyaji wa takwimu za mitandao ya kijamii (Statista Aprili, 2019) watu milioni 23 wanatumia intaneti hapa nchini, sawa na takribani asilimia 42 ya Watanzania milioni 55.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaongoza kwa idadi kubwa zaidi wafuasi kwenye mitandao yote ya kijamii kati ya vyama vitano vya siasa vinavyotumia mitandao miongoni mwa vyama 19 vilivyosajiliwa nchini vinavyoonekana kuwa vinara wa kutumia kurasa za mitandao ya kijamii.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka, Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Jumatano 27 Oktoba 2021.

#ChamaImara
#KaziIendeleeView attachment 1988469View attachment 1988470View attachment 1988471View attachment 1988472
😍😍👍💪👊🙏
 
Back
Top Bottom