Haki ya Mungu...
Wallah tena, naapia...
Hapa atokee mtu na kuweka Sh 50 Billion, na kuniambia nikitaja akaunti moja tu, kutoka mtandao wowote ambayo ni ya CCM... wallah, hiyo 50B nitaikosa hivi hivi...
Na ikitokea nimewekewa kisu shingoni, nitaje moja TU vinginevyo jamaa anakula shingo... haki tena, safari yangu ya kwenda kuongozwa na Kiongozi wa Malaika, Mheshimiwa John Pombe... itakuwa ndo ishawadia!!
Kumbe ndo huko wanakolishwa ujinga Watanzania?!
Unashangaa unakutana na kijana in his mid-20's lakini kimawazo anafanana na Ndugai... hii mitandao hii!!!
Wallah tena, naapia...
Hapa atokee mtu na kuweka Sh 50 Billion, na kuniambia nikitaja akaunti moja tu, kutoka mtandao wowote ambayo ni ya CCM... wallah, hiyo 50B nitaikosa hivi hivi...
Na ikitokea nimewekewa kisu shingoni, nitaje moja TU vinginevyo jamaa anakula shingo... haki tena, safari yangu ya kwenda kuongozwa na Kiongozi wa Malaika, Mheshimiwa John Pombe... itakuwa ndo ishawadia!!
Kumbe ndo huko wanakolishwa ujinga Watanzania?!
Unashangaa unakutana na kijana in his mid-20's lakini kimawazo anafanana na Ndugai... hii mitandao hii!!!