Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hao ndiyo Lumumba buku 7.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo shaka mwenyewejohnthebaptist ni yupi hapo?
CCM inaongozwa na Washamba.Au labda mm sielewi,hyo silver play button,youtube wanakutumia ukiwa na subscribers 100,000/=,,,sasa hii ya kua na wafuasi wengi mtandaoni imetoka wapi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Waongo watu wamehama CCM baada ya Kubambikizia watu kesiHizo tuzo za lini? Au baada ya kusikia Chadema wameanza sajili wafuasi online wakajiongeza!
Ni huyo mwenye shati jeupe!! 😁😁😁 Kuna muda eti anajiita Mzee Mgaya!! Kisa tu ana vimvi viwili vitatu vya kurithi!!johnthebaptist ni yupi hapo?
CCM kuongoza kuwa na wafuasi wajinga wengi mitandaoni kwa mujibu wa utafiti wa kisayansi wa shirika huru la Twaweza Kuna maana gani kwa watu wenye Akili timamu? Ni mazuzu hayo kujazana sehemu Fulani tuu.
Nakuona mama D unamsikiliza Mwenezi wako kwa umakini mkubwa!!! jingalao naona linasubiria tu kwa hamu mgao wake wa buku 7!KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA, ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA, AMEKUTANA NA KUNDI LA UHAMASISHAJI KUPITIA MITANDAO WA KIJAMII
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka Jumatano 27 Oktoba, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na kundi la uhamasishaji kupitia mitando ya kijamii Ofisi Ndogo za Makao Makuu Lumumba Jijini Dar es Salaam.
#ChamaImara
#KaziIendee .View attachment 1988657View attachment 1988658
CCM ya awamu hii imejaza vichaa watupuKwa mujibu wa tovuti ya ukusanyaji wa takwimu za mitandao ya kijamii (Statista Aprili, 2019) watu milioni 23 wanatumia intaneti hapa nchini, sawa na takribani asilimia 42 ya Watanzania milioni 55.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaongoza kwa idadi kubwa zaidi wafuasi kwenye mitandao yote ya kijamii kati ya vyama vitano vya siasa vinavyotumia mitandao miongoni mwa vyama 19 vilivyosajiliwa nchini vinavyoonekana kuwa vinara wa kutumia kurasa za mitandao ya kijamii.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka, Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Jumatano 27 Oktoba 2021.
#ChamaImara
#KaziIendeleeView attachment 1988469View attachment 1988470View attachment 1988471View attachment 1988472
Kwahiyo hao ndio hawa wanaotusumbua na nyuzi zao zisizo na miguu wala kichwa humu ndani[emoji848][emoji848][emoji848]
Namuona Ritz hapo akiwa makini kabisa anaupiga mwingiKATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA, ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA, AMEKUTANA NA KUNDI LA UHAMASISHAJI KUPITIA MITANDAO WA KIJAMII
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka Jumatano 27 Oktoba, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na kundi la uhamasishaji kupitia mitando ya kijamii Ofisi Ndogo za Makao Makuu Lumumba Jijini Dar es Salaam.
#ChamaImara
#KaziIendee .View attachment 1988657
CCM inaongozwa na Washamba.