Shaka atamba CCM kuongoza kwa wingi wa wafuasi mitandaoni

Shaka atamba CCM kuongoza kwa wingi wa wafuasi mitandaoni

Tuzo ya kuiba kura watapokea lini?👇🤡🤡🤡
 
Usimjudge mtu kwa muonekano. Hawa jamaa walivyo na propaganda zao haziendani kabisa. Kidogo CM 1774858 anajitahidi. Atakuwa ndiye yule mwenye shati jeupe.
 
CCM kuongoza kuwa na wafuasi wajinga wengi mitandaoni kwa mujibu wa utafiti wa kisayansi wa shirika huru la Twaweza Kuna maana gani kwa watu wenye Akili timamu? Ni mazuzu hayo kujazana sehemu Fulani tuu.

Kuna maana sana kwao sababu inakuwa rahisi kwao kuendelea kushika dola,
Kwanini na nyie msiwapate hao wajinga wawe wafuasi wenu ?
 
KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA, ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA, AMEKUTANA NA KUNDI LA UHAMASISHAJI KUPITIA MITANDAO WA KIJAMII

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka Jumatano 27 Oktoba, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na kundi la uhamasishaji kupitia mitando ya kijamii Ofisi Ndogo za Makao Makuu Lumumba Jijini Dar es Salaam.

#ChamaImara
#KaziIendee .View attachment 1988657View attachment 1988658
Nakuona mama D unamsikiliza Mwenezi wako kwa umakini mkubwa!!! jingalao naona linasubiria tu kwa hamu mgao wake wa buku 7!
 
Kwa mujibu wa tovuti ya ukusanyaji wa takwimu za mitandao ya kijamii (Statista Aprili, 2019) watu milioni 23 wanatumia intaneti hapa nchini, sawa na takribani asilimia 42 ya Watanzania milioni 55.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaongoza kwa idadi kubwa zaidi wafuasi kwenye mitandao yote ya kijamii kati ya vyama vitano vya siasa vinavyotumia mitandao miongoni mwa vyama 19 vilivyosajiliwa nchini vinavyoonekana kuwa vinara wa kutumia kurasa za mitandao ya kijamii.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka, Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Jumatano 27 Oktoba 2021.

#ChamaImara
#KaziIendeleeView attachment 1988469View attachment 1988470View attachment 1988471View attachment 1988472
CCM ya awamu hii imejaza vichaa watupu
 
KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA, ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA, AMEKUTANA NA KUNDI LA UHAMASISHAJI KUPITIA MITANDAO WA KIJAMII

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka Jumatano 27 Oktoba, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na kundi la uhamasishaji kupitia mitando ya kijamii Ofisi Ndogo za Makao Makuu Lumumba Jijini Dar es Salaam.

#ChamaImara
#KaziIendee .View attachment 1988657
Namuona Ritz hapo akiwa makini kabisa anaupiga mwingi
 
CCM inaongozwa na Washamba.
2969622_images_9.jpeg
 
Back
Top Bottom