Shaka Hamdu: Dunia nzima inamkubali Mwigulu Nchemba isipokuwa CHADEMA tu, atakuwa Rais wa Benki ya Dunia

Shaka Hamdu: Dunia nzima inamkubali Mwigulu Nchemba isipokuwa CHADEMA tu, atakuwa Rais wa Benki ya Dunia

..Shaka amesema UONGO kwa kudhamiria au kutokujua.

..Raisi wa Benki ya Dunia huwa ni raia wa MAREKANI.

..Marekani ndio yenye hisa nyingi ktk benki hiyo hivyo wamepewa nafasi ya kuteua raisi wa benki hiyo.

..Dr.Mwigulu sio raia wa Marekani, sasa atateuliwa vipi kuwa Raisi wa benki ya dunia? Shaka alitakiwa aombwe ufafanuzi wa suala hilo.

..inashangaza sana kwamba mtu mkubwa ktk chama kikongwe na tawala hapa Tz anashindwa kuwa na taarifa ndogo kama hiyo.

..nchi yetu ina-deal na Benki ya Dunia kila uchao, tunapokea mabilioni ya fedha toka benki hiyo, inawezekana vipi Mwenezi wa chama tawala asiwe na taarifa sahihi za taasisi hiyo?

..Nashauri Shaka adhibitiwe ili asiendelee kupotosha wananchi.
 
Akiwa Tabora kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amewataka wananchi wapuuze taarifa zinazoenezwa kuhusu tozo, amedai tathmini ya kina ilifanyika kabla ya kuja na tozo hizo na walijiridhisha kuwa zinaimilika.

Pia amewataka wananchi wapuuze uzushi wa kuwa waziri wa fedha amefeli, amedai Mwigulu Nchemba ni moja ya mawaziri bora wa uchumi na fedha kulingana na vyanzo kadhaa, anakubalika kila kona nchini na dunaini isipokuwa kikundi kidogo cha watu pale CHADEMA.

Amesema kuna makundi kadha wa kadha duniani wameanza kuonesha Imani na Mwigulu Nchemba na siku za usoni huenda akawa rais wa Benki ya Dunia.
Muda utawajibu ila taifa linaongozwa kwa kutumia taasisi zake na sio mtu anacho waza. Mtakapo tafuta pesa zipo wapi na pesa haipoti bank ndipo akili zitawarudi kujuwa mmechemka.
 
Labda awe raisi wa singida all stars fc....lakini benki ya dunia hataisikia tu..
 
Akiwa Tabora kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amewataka wananchi wapuuze taarifa zinazoenezwa kuhusu tozo, amedai tathmini ya kina ilifanyika kabla ya kuja na tozo hizo na walijiridhisha kuwa zinaimilika.

Pia amewataka wananchi wapuuze uzushi wa kuwa waziri wa fedha amefeli, amedai Mwigulu Nchemba ni moja ya mawaziri bora wa uchumi na fedha kulingana na vyanzo kadhaa, anakubalika kila kona nchini na dunaini isipokuwa kikundi kidogo cha watu pale CHADEMA.

Amesema kuna makundi kadha wa kadha duniani wameanza kuonesha Imani na Mwigulu Nchemba na siku za usoni huenda akawa rais wa Benki ya Dunia.
Wengine sio Chadema ila hatukubaliani na haya matozo.
 
Akiwa Tabora kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amewataka wananchi wapuuze taarifa zinazoenezwa kuhusu tozo, amedai tathmini ya kina ilifanyika kabla ya kuja na tozo hizo na walijiridhisha kuwa zinaimilika.

Pia amewataka wananchi wapuuze uzushi wa kuwa waziri wa fedha amefeli, amedai Mwigulu Nchemba ni moja ya mawaziri bora wa uchumi na fedha kulingana na vyanzo kadhaa, anakubalika kila kona nchini na dunaini isipokuwa kikundi kidogo cha watu pale CHADEMA.

Amesema kuna makundi kadha wa kadha duniani wameanza kuonesha Imani na Mwigulu Nchemba na siku za usoni huenda akawa rais wa Benki ya Dunia.
Zinahimilika kwa nani? Shaka aache kusaliti wananchi
 
Safi Sana shaka wachache wachane, Uchumi wa Tanzania uko stable Katika ya Majanga na unakua harafu kuna wajinga wajinga wa chadomo na bakuli lao..

Mwendazake alikuwa sahihi kuwanyoosha na wasiruhusiwe kufanya mikutano wanataka kuleta tahaduki Nchini harafu wakimbilie kwa bwana zao huko Ulaya.
Nguvu yote ya kutetea huu upumbavu ukute hata Bank Account huna kwahiyo you can't feel the peel ndio mana kila Uzi unadakia kutetea uhanithi

Alie kwambia maendeleo yanaletwa na TOZO ni nani kwa standard za uchumi tozo zinatumika kwa ajili ya kudhibiti mambo mabalimabli katika jamii na sio kuleta maendeleo mpuuzi wewe

Akiwa Raisi wa benki ya Afrika tu nini ya Dunia ntakunya mavi kila mita moja kutoka hapa nilipo mpaka Geneva Uswissi ... Nipo nimekaa pale [emoji117]

WEZI WAKUBWA MIXIEUSSSXZZZZZZ!!!
 
Safi Sana shaka wachache wachane, Uchumi wa Tanzania uko stable Katika ya Majanga na unakua harafu kuna wajinga wajinga wa chadomo na bakuli lao..

Mwendazake alikuwa sahihi kuwanyoosha na wasiruhusiwe kufanya mikutano wanataka kuleta tahaduki Nchini harafu wakimbilie kwa bwana zao huko Ulaya.
Jitu la hovyo sana
 
Shoga ataachaje kuwa mpuuzi?
Mbegu za kiume zikiingia kwa mwanaume huleta uharibifu sana
 
Hulali?
 
Back
Top Bottom