Shaka Hamdu: Dunia nzima inamkubali Mwigulu Nchemba isipokuwa CHADEMA tu, atakuwa Rais wa Benki ya Dunia

Shaka Hamdu: Dunia nzima inamkubali Mwigulu Nchemba isipokuwa CHADEMA tu, atakuwa Rais wa Benki ya Dunia

Akiwa Tabora kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amewataka wananchi wapuuze taarifa zinazoenezwa kuhusu tozo, amedai tathmini ya kina ilifanyika kabla ya kuja na tozo hizo na walijiridhisha kuwa zinaimilika.

Pia amewataka wananchi wapuuze uzushi wa kuwa waziri wa fedha amefeli, amedai Mwigulu Nchemba ni moja ya mawaziri bora wa uchumi na fedha kulingana na vyanzo kadhaa, anakubalika kila kona nchini na dunaini isipokuwa kikundi kidogo cha watu pale CHADEMA.

Amesema kuna makundi kadha wa kadha duniani wameanza kuonesha Imani na Mwigulu Nchemba na siku za usoni huenda akawa rais wa Benki ya Dunia.
Ukiona wazungu wanakupenda sana jitahidi kuchunguza ulipokosea
 
Akiwa Tabora kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amewataka wananchi wapuuze taarifa zinazoenezwa kuhusu tozo, amedai tathmini ya kina ilifanyika kabla ya kuja na tozo hizo na walijiridhisha kuwa zinaimilika.

Pia amewataka wananchi wapuuze uzushi wa kuwa waziri wa fedha amefeli, amedai Mwigulu Nchemba ni moja ya mawaziri bora wa uchumi na fedha kulingana na vyanzo kadhaa, anakubalika kila kona nchini na dunaini isipokuwa kikundi kidogo cha watu pale CHADEMA.

Amesema kuna makundi kadha wa kadha Duniani wameanza kuonesha Imani na Mwigulu Nchemba na siku za usoni huenda akawa Rais wa Benki ya Dunia.
Promo la kiduanzi Sana hili. Eti rais wa world bank! Hamaanishi huyu na ama anamdhihaki mwigulu Kwa kukosa ubunifu wa vyanzo vipya vya Kodi! Au Kuna dunia nyingine ya ccm tusioijua. Huyu anajulikana Kama rais wa mawe TU na matozo! Urais wa benki ya dunia mchezo! Pathetic!
 
Akiwa Tabora kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amewataka wananchi wapuuze taarifa zinazoenezwa kuhusu tozo, amedai tathmini ya kina ilifanyika kabla ya kuja na tozo hizo na walijiridhisha kuwa zinaimilika.

Pia amewataka wananchi wapuuze uzushi wa kuwa waziri wa fedha amefeli, amedai Mwigulu Nchemba ni moja ya mawaziri bora wa uchumi na fedha kulingana na vyanzo kadhaa, anakubalika kila kona nchini na dunaini isipokuwa kikundi kidogo cha watu pale CHADEMA.

Amesema kuna makundi kadha wa kadha Duniani wameanza kuonesha Imani na Mwigulu Nchemba na siku za usoni huenda akawa Rais wa Benki ya Dunia.

Benki ya Dunia!! Benki ya Dunia ya wapi? Kuna Benki hapa Tanzania inayoitwa Benki ya Dunia?
 
Ina maana kina stroke nao ni cdm siku hizi? Mbona hamjatiambia kajiunga lini huko? Mwambie shaka hatoshi kuwa mwenezi wa ccm!
Stroke anapigania legacy.
 
Akiwa Tabora kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amewataka wananchi wapuuze taarifa zinazoenezwa kuhusu tozo, amedai tathmini ya kina ilifanyika kabla ya kuja na tozo hizo na walijiridhisha kuwa zinaimilika.

Pia amewataka wananchi wapuuze uzushi wa kuwa waziri wa fedha amefeli, amedai Mwigulu Nchemba ni moja ya mawaziri bora wa uchumi na fedha kulingana na vyanzo kadhaa, anakubalika kila kona nchini na dunaini isipokuwa kikundi kidogo cha watu pale CHADEMA.

Amesema kuna makundi kadha wa kadha Duniani wameanza kuonesha Imani na Mwigulu Nchemba na siku za usoni huenda akawa Rais wa Benki ya Dunia.
Lile buyu la asalilikishakufikiana ulalilambaaa akili huwa zinabadilikaaa faster..
 
Akiwa Tabora kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amewataka wananchi wapuuze taarifa zinazoenezwa kuhusu tozo, amedai tathmini ya kina ilifanyika kabla ya kuja na tozo hizo na walijiridhisha kuwa zinahimilika.

Pia amewataka wananchi wapuuze uzushi wa kuwa waziri wa fedha amefeli, amedai Mwigulu Nchemba ni moja ya mawaziri bora wa uchumi na fedha kulingana na vyanzo kadhaa, anakubalika kila kona nchini na dunaini isipokuwa kikundi kidogo cha watu pale CHADEMA.

Amesema kuna makundi kadha wa kadha Duniani wameanza kuonesha Imani na Mwigulu Nchemba na siku za usoni huenda akawa Rais wa Benki ya Dunia.
Siyo busara kukimbilia keyboard kila ukisikia kitu.
 
Akiwa Tabora kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amewataka wananchi wapuuze taarifa zinazoenezwa kuhusu tozo, amedai tathmini ya kina ilifanyika kabla ya kuja na tozo hizo na walijiridhisha kuwa zinahimilika.

Pia amewataka wananchi wapuuze uzushi wa kuwa waziri wa fedha amefeli, amedai Mwigulu Nchemba ni moja ya mawaziri bora wa uchumi na fedha kulingana na vyanzo kadhaa, anakubalika kila kona nchini na dunaini isipokuwa kikundi kidogo cha watu pale CHADEMA.

Amesema kuna makundi kadha wa kadha Duniani wameanza kuonesha Imani na Mwigulu Nchemba na siku za usoni huenda akawa Rais wa Benki ya Dunia.
Kauli ya mtu mwenye elimu ya kkk tu! Mwenyewe alipojipigia debe tu kuwa ni msomi wa kiwango cha udaktari alithibitisha kuwa debe tupu.
 
Ajenda yao kuu ni kuwafanya wananchi wazidi kuwa masikini Ili waweze kuwatawala
 
Kauli ya mtu mwenye elimu ya kkk tu! Mwenyewe alipojipigia debe tu kuwa ni msomi wa kiwango cha udaktari alithibitisha kuwa debe tupu.
Kama ni daktari na huna ubunifu nje ya kuumiza watu huo udaktari ni feki.
 
Akiwa Tabora kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amewataka wananchi wapuuze taarifa zinazoenezwa kuhusu tozo, amedai tathmini ya kina ilifanyika kabla ya kuja na tozo hizo na walijiridhisha kuwa zinahimilika.

Pia amewataka wananchi wapuuze uzushi wa kuwa waziri wa fedha amefeli, amedai Mwigulu Nchemba ni moja ya mawaziri bora wa uchumi na fedha kulingana na vyanzo kadhaa, anakubalika kila kona nchini na dunaini isipokuwa kikundi kidogo cha watu pale CHADEMA.

Amesema kuna makundi kadha wa kadha Duniani wameanza kuonesha Imani na Mwigulu Nchemba na siku za usoni huenda akawa Rais wa Benki ya Dunia.
Ccm wana vituko sana, Sasa hivi wameunda tume kufuatilia huu Utapeli wao.
 
Huyu anayefikiria kunyang'anya watu hela zào Kwa udanganyifu ndo Waziri Bora Hadi WB wanasubiri? Shaka Una Leseni A ya Uchawa.
 
Tatizo la ccm ndio hilo, hawataki kuona mawazo mbadala na ya wao!
hawataki kuona watu wanafikiria na kuhoji vitu!
Wanataka kujenga fikra kuwa wao (viongozi) hata wakija na fikra OVU basi jamii izipokee tu!
Sio dunia ya leo tambueni hilo, lazima tuhoji kwa hoja na tupinge kwa hoja!
 
Akiwa Tabora kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amewataka wananchi wapuuze taarifa zinazoenezwa kuhusu tozo, amedai tathmini ya kina ilifanyika kabla ya kuja na tozo hizo na walijiridhisha kuwa zinahimilika.

Pia amewataka wananchi wapuuze uzushi wa kuwa waziri wa fedha amefeli, amedai Mwigulu Nchemba ni moja ya mawaziri bora wa uchumi na fedha kulingana na vyanzo kadhaa, anakubalika kila kona nchini na dunaini isipokuwa kikundi kidogo cha watu pale CHADEMA.

Amesema kuna makundi kadha wa kadha Duniani wameanza kuonesha Imani na Mwigulu Nchemba na siku za usoni huenda akawa Rais wa Benki ya Dunia.
huyo ni mpuuzi fulani hivi.anayelalamikia tozo si chadema bali ni wananchi.tozo haziwaumizi chadema tu balia wananchi wote.kwani Vodacom wanaosema wamepata hasara ni chadema.akili fupi pia hufikiri pafupi.hilo ndo tatizo la kuwapa madaraka watu ambao hawawazi mbele.hakuna anayekataa tozo tatizo kuna tozo nyingi na ni kubwa.kuna double taxation and levy.wananchi pia wanataka kujua ni kiasi gani kimekusanywa kwenye tozo hizo na zimetumikaje.kama waziri wao ni bora basi aende huko benki ya dunia akawatoze.mfano mdo mtu anaflemu zake tatu ziko kwenye jengo moja.kaweka mita kila flemu lkn analipia kodi kama vile ni flemu tatu tofauti.hii ni akili gani.
 
Back
Top Bottom