Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Niko zamu mochwari mtani halafu leo hatuko busy kabisa..wafu waliopo leo ni wastaarabu sana.. Vipi wewe mtani [emoji23]Hulali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko zamu mochwari mtani halafu leo hatuko busy kabisa..wafu waliopo leo ni wastaarabu sana.. Vipi wewe mtani [emoji23]Hulali?
Acheni kutujazia post za mashoga humu, zinatuboreAkiwa Tabora kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amewataka wananchi wapuuze taarifa zinazoenezwa kuhusu tozo, amedai tathmini ya kina ilifanyika kabla ya kuja na tozo hizo na walijiridhisha kuwa zinaimilika.
Pia amewataka wananchi wapuuze uzushi wa kuwa waziri wa fedha amefeli, amedai Mwigulu Nchemba ni moja ya mawaziri bora wa uchumi na fedha kulingana na vyanzo kadhaa, anakubalika kila kona nchini na dunaini isipokuwa kikundi kidogo cha watu pale CHADEMA.
Amesema kuna makundi kadha wa kadha duniani wameanza kuonesha Imani na Mwigulu Nchemba na siku za usoni huenda akawa rais wa Benki ya Dunia.
Utasikia Mama msikivu na anaupiga mwingi na wataandamana kumuunga mkono Mama kuondoa tozo kama vile alikuwa anaishi Mars sasa karudi duniani kakuta tozo kaanza kushangaa nani kaleta hii kitu? na makofi tutapiga na vigelegele.Baadae wataziondoa halafu wataanza kupongezana
Vyanzo gani hivyo?Akiwa Tabora kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amewataka wananchi wapuuze taarifa zinazoenezwa kuhusu tozo, amedai tathmini ya kina ilifanyika kabla ya kuja na tozo hizo na walijiridhisha kuwa zinaimilika.
Pia amewataka wananchi wapuuze uzushi wa kuwa waziri wa fedha amefeli, amedai Mwigulu Nchemba ni moja ya mawaziri bora wa uchumi na fedha kulingana na vyanzo kadhaa, anakubalika kila kona nchini na dunaini isipokuwa kikundi kidogo cha watu pale CHADEMA.
Amesema kuna makundi kadha wa kadha duniani wameanza kuonesha Imani na Mwigulu Nchemba na siku za usoni huenda akawa rais wa Benki ya Dunia.
Wewe fala unapata faida gani?Safi Sana shaka wachache wachane, Uchumi wa Tanzania uko stable Katika ya Majanga na unakua harafu kuna wajinga wajinga wa chadomo na bakuli lao..
Mwendazake alikuwa sahihi kuwanyoosha na wasiruhusiwe kufanya mikutano wanataka kuleta tahaduki Nchini harafu wakimbilie kwa bwana zao huko Ulaya.
Mkuu kajifunze kuandika ndio uje kutoa upupu wako hapa.Safi Sana shaka wachache wachane, Uchumi wa Tanzania uko stable Katika ya Majanga na unakua harafu kuna wajinga wajinga wa chadomo na bakuli lao..
Mwendazake alikuwa sahihi kuwanyoosha na wasiruhusiwe kufanya mikutano wanataka kuleta tahaduki Nchini harafu wakimbilie kwa bwana zao huko Ulaya.
Sasa utegemee maccm hayo hayo yalioweka tozi yaseme mwigulu hafai, cha msingi ni kususa mabenki.Akiwa Tabora kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amewataka wananchi wapuuze taarifa zinazoenezwa kuhusu tozo, amedai tathmini ya kina ilifanyika kabla ya kuja na tozo hizo na walijiridhisha kuwa zinaimilika.
Pia amewataka wananchi wapuuze uzushi wa kuwa waziri wa fedha amefeli, amedai Mwigulu Nchemba ni moja ya mawaziri bora wa uchumi na fedha kulingana na vyanzo kadhaa, anakubalika kila kona nchini na dunaini isipokuwa kikundi kidogo cha watu pale CHADEMA.
Amesema kuna makundi kadha wa kadha duniani wameanza kuonesha Imani na Mwigulu Nchemba na siku za usoni huenda akawa rais wa Benki ya Dunia.
ASAS atawaondolea udhamini
Ni singida big stars sio all starsLabda awe raisi wa singida all stars fc....lakini benki ya dunia hataisikia tu..
Harafu - HalafuSafi Sana shaka wachache wachane, Uchumi wa Tanzania uko stable Katika ya Majanga na unakua harafu kuna wajinga wajinga wa chadomo na bakuli lao..
Mwendazake alikuwa sahihi kuwanyoosha na wasiruhusiwe kufanya mikutano wanataka kuleta tahaduki Nchini harafu wakimbilie kwa bwana zao huko Ulaya.
Wewe ukimchukia Unapata faida gani? Kwani chuki zako zinakufanya ushindie Milo mingapi?Wewe fala unapata faida gani?
Ukute unashindia Milo miwili au mitatu.
Kama wewe ulivyo wa hovyo kama karo la choo.Jitu la hovyo sana
Lipa tozo wewe konokono WA kienyeji..Nguvu yote ya kutetea huu upumbavu ukute hata Bank Account huna kwahiyo you can't feel the peel ndio mana kila Uzi unadakia kutetea uhanithi
Alie kwambia maendeleo yanaletwa na TOZO ni nani kwa standard za uchumi tozo zinatumika kwa ajili ya kudhibiti mambo mabalimabli katika jamii na sio kuleta maendeleo mpuuzi wewe
Akiwa Raisi wa benki ya Afrika tu nini ya Dunia ntakunya mavi kila mita moja kutoka hapa nilipo mpaka Geneva Uswissi ... Nipo nimekaa pale [emoji117]
WEZI WAKUBWA MIXIEUSSSXZZZZZZ!!!