Shaka Hamdu: Dunia nzima inamkubali Mwigulu Nchemba isipokuwa CHADEMA tu, atakuwa Rais wa Benki ya Dunia

AAchei
Acheni kutujazia post za mashoga humu, zinatubore
 
Sitaki kuamini kasema haya naomba iwe utani tu ila kama ni kweli kasema basi nchi hii tunashida kubwa tunavyodhania, nilikuwa namuunga mkono huyu Mama lakini kila siku naamini anapoteza mshabiki mmoja. Tozo zinahimilika? nani anahimili lakini na sisi wananchi tunastahili haya usije kukuta na makofi kapigiwa hapo.
 
Vyanzo gani hivyo?
ELIMU yake yenyewe ni ya kuunga-unga.
Na hata PHD yake ni ya gizani.
 
Wewe fala unapata faida gani?
Ukute unashindia Milo miwili au mitatu.
 
Mkuu kajifunze kuandika ndio uje kutoa upupu wako hapa.
 
Sasa utegemee maccm hayo hayo yalioweka tozi yaseme mwigulu hafai, cha msingi ni kususa mabenki.
Over
 
Harafu - Halafu
Tahaduki - Taharuki
 
Mwendawazimu ana ruhusa ya kuongea chochote anacho jisikia kuongea
 
Lipa tozo wewe konokono WA kienyeji..

Mapovu hayakusaidii kitu,hata asipokuwa lazima unywe kama unavyokunya Saizi..

Ni hivi chuki zako Wala hazitamzuia kuwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…