Shaka Hamdu Shaka mgeni rasmi " The Big Praise Concert " FPCT Kurasini

Wakati CCM inatatua na kusapoti makundi Mbalimbali wale wenzangu hata Ofisi imewashinda Miaka 30 Leo,

Hongera sana Mwenezi Chama kinakutegemea sana kukivusha,
Inshu sio kujenga ofisi..?swali la msingi ni je wana ofisi?jibu ni ndio wana jengo la ofisi liko mtaa wa ufipa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Inshu sio kujenga ofisi..?swali la msingi ni je wana ofisi?jibu ni ndio wana jengo la ofisi liko mtaa wa ufipa.

#MaendeleoHayanaChama
Wanapanga kwa miaka 30 na kata 2015-2020 walikusanya zaidi ya bil 25 why wasijenge?
 
Wakati CCM inatatua na kusapoti makundi Mbalimbali wale wenzangu hata Ofisi imewashinda Miaka 30 Leo,

Hongera sana Mwenezi Chama kinakutegemea sana kukivusha,
Wewe ni mgese Sana, acha ufala!
 
Nairobi?
 
CDM kama Mkt wenu tu Kafeli F6 ,Katbu Mkuu ni F6 mnataka kujadili nini na Chama tawala vyenye kila mtu?
Et mnyika form 6 hahaha pole , yule ni kipanga vidato vyote na ana first class GPA yake , hata yule dhalimu pamoja na ukatili wake ila hakuacha kujua ukipanga wa mnyika na ameutamka mara kadhaa jukwaani
 
Et mnyika form 6 hahaha pole , yule ni kipanga vidato vyote na ana first class GPA yake , hata yule dhalimu pamoja na ukatili wake ila hakuacha kujua ukipanga wa mnyika na ameutamka mara kadhaa jukwaani
Kasoma chuo gani Mnyika?
 
Et mnyika form 6 hahaha pole , yule ni kipanga vidato vyote na ana first class GPA yake , hata yule dhalimu pamoja na ukatili wake ila hakuacha kujua ukipanga wa mnyika na ameutamka mara kadhaa jukwaani
Kasoma chuo gani Mnyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…