Shaka Hamdu Shaka: Si utashi wa Rais Samia kufanya Tanzania Royal Tour

Shaka Hamdu Shaka: Si utashi wa Rais Samia kufanya Tanzania Royal Tour

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2020
Posts
2,823
Reaction score
2,466

===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza na kumsifu Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuifungua Tanzania kitaifa na Kimataifa,

Aidha Katibu huyo wa Itikadi & Uenezi wa CCM-tanzania amempongeza zaidi Mhe Samia Saluhu Hassan kwa kuwafungulia Watanzania wote dunia na niwakati wao sasa kuchukua kila Chema wanachokitaka toka duniani kwani sasa fursa ni nje nje,

Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka ambae pia ni Msemaji wa Chama cha Mapinduzi Taifa amejinasibu kuwa Rais Samia hafanyi hayo yote kwa UTASHI WAKE ila UTEKELEZAJI wa Ilani ya CCM Ibara ya 67 ya Mwaka 2020|25

#CHAMA IMARA,
#RAIS IMARA,
#TANZANIA IMARA ,
 

===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza na kumsifu Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuifungua Tanzania kitaifa na Kimataifa,

Aidha Katibu huyo wa Itikadi & Uenezi wa CCM-tanzania amempongeza zaidi Mhe Samia Saluhu Hassan kwa kuwafungulia Watanzania wote dunia na niwakati wao sasa kuchukua kila Chema wanachokitaka toka duniani kwani sasa fursa ni nje nje,

Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka ambae pia ni Msemaji wa Chama cha Mapinduzi Taifa amejinasibu kuwa Rais Samia hafanyi hayo yote kwa UTASHI WAKE ila UTEKELEZAJI wa Ilani ya CCM Ibara ya 67 ya Mwaka 2020|25

#CHAMA IMARA,
#RAIS IMARA,
#TANZANIA IMARA ,

Kwakua ni ilani ya CCM ni vyema ioneshwe kwenye matawi yote ya CCM ili wafuasi wayaone mafanikio yao kwenye kukuza uchumi wa nchi yao.
 

===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza na kumsifu Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuifungua Tanzania kitaifa na Kimataifa,

Aidha Katibu huyo wa Itikadi & Uenezi wa CCM-tanzania amempongeza zaidi Mhe Samia Saluhu Hassan kwa kuwafungulia Watanzania wote dunia na niwakati wao sasa kuchukua kila Chema wanachokitaka toka duniani kwani sasa fursa ni nje nje,

Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka ambae pia ni Msemaji wa Chama cha Mapinduzi Taifa amejinasibu kuwa Rais Samia hafanyi hayo yote kwa UTASHI WAKE ila UTEKELEZAJI wa Ilani ya CCM Ibara ya 67 ya Mwaka 2020|25

#CHAMA IMARA,
#RAIS IMARA,
#TANZANIA IMARA ,

Chama kimepata msemaji hodari na mwenye haiba na pashasha za kiwango cha juu sana,


I LOVE CCM MOREMUCH 😍😍
 

===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza na kumsifu Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuifungua Tanzania kitaifa na Kimataifa,

Aidha Katibu huyo wa Itikadi & Uenezi wa CCM-tanzania amempongeza zaidi Mhe Samia Saluhu Hassan kwa kuwafungulia Watanzania wote dunia na niwakati wao sasa kuchukua kila Chema wanachokitaka toka duniani kwani sasa fursa ni nje nje,

Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka ambae pia ni Msemaji wa Chama cha Mapinduzi Taifa amejinasibu kuwa Rais Samia hafanyi hayo yote kwa UTASHI WAKE ila UTEKELEZAJI wa Ilani ya CCM Ibara ya 67 ya Mwaka 2020|25

#CHAMA IMARA,
#RAIS IMARA,
#TANZANIA IMARA ,

Huyu mjinga kesi ya rushwa Morogoro iliishaje?
 
Back
Top Bottom