Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio ulikuwa Chadema?Sio washamba sema CHADOMO mkuu
Naona mnajitekenya wenyewe kisha mnakenua meno kama machiziSio washamba sema CHADOMO mkuu
Miaka yote situnatii amri za ilani ya ccm,huo uchumi unaokuzwa kila akija kiongozi nani huwa anaudidimiza?Kwakua ni ilani ya CCM ni vyema ioneshwe kwenye matawi yote ya CCM ili wafuasi wayaone mafanikio yao kwenye kukuza uchumi wa nchi yao.
Malizia;#CHAMA IMARA,
#RAIS IMARA,
#TANZANIA IMARA ,
Waooh, karibu CCM kwani ndio chama pekee unaweza kutimiza ndoto yako,
Tafadhali tunataka TEMBO WETU!!Sasa kama ni majangili si ni nafuu yako wewe CHADOMO,?!
KELELE ZA NINI? [emoji23][emoji23][emoji23]
CCM mbele kwa mbele ..Chama kimepata msemaji hodari na mwenye haiba na pashasha za kiwango cha juu sana,
I LOVE CCM MOREMUCH 😍😍
ndio maana tunasema huyu Mama ni wakipekee sana,
Mbele kwa mbele kwenye ujangili na uuzaji wa madawa ya kulevya.CCM mbele kwa mbele ..
Hebu lete Ushahidi hapa wwe CHADOMO,Kweli ni wa kipekee.
Ulishawahi ona wapi RAIS ANAAMBATANA NA MAJANGILI WA TEMBO NA WAUZAJI WA MADAWA YA KULEVYA?
Marais wenzake huwa wanafanya kwa kificho kama yule mchawi wa msoga. Lakini yeye kaamua aweke mambo hadharani kama papuchi ya mbuzi.
She is unique indeed.
Kwako Jabali la Siasa Tanzania.
Hebu lete Ushahidi hapa wwe CHADOMO,Kweli ni wa kipekee.
Ulishawahi ona wapi RAIS ANAAMBATANA NA MAJANGILI WA TEMBO NA WAUZAJI WA MADAWA YA KULEVYA?
Marais wenzake huwa wanafanya kwa kificho kama yule mchawi wa msoga. Lakini yeye kaamua aweke mambo hadharani kama papuchi ya mbuzi.
She is unique indeed.
Kwako Jabali la Siasa Tanzania.
👆👆👆Hebu lete Ushahidi hapa wwe CHADOMO,
KUNA FISADI ZAIDI YA MBOWE NCHI HII?
Kama mnavyofanya ninyi?Naona mnajitekenya wenyewe kisha mnakenua meno kama machizi
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Wewe utampokea sasa Mch Msigwa,mimi nilikuwa CHADEMA ila tangu mwaka huu uanze nimeamua kujiunga rasmi na CCM kumfuata mother, anatisha huyu mtu
HaujuiWajibu wako kama Chama cha Siasa ni Upi?
Unaweza kumpongeza ukiwa kokote ulipo... Itikadi haifi; watu wanapita!!mimi nilikuwa CHADEMA ila tangu mwaka huu uanze nimeamua kujiunga rasmi na CCM kumfuata mother, anatisha huyu mtu
Shida nini?!!Kazuri, ila aliemnyoa mh