Shaka Hamdu Shaka: Si utashi wa Rais Samia kufanya Tanzania Royal Tour

Shaka Hamdu Shaka: Si utashi wa Rais Samia kufanya Tanzania Royal Tour

Tukiacha mbwembwe za washamba wachache kwenye Taifa hili, Rais Samia ni Mtu anayeitakia mema sana hili Taifa, Tatizo la Watanzania Rais akipa ndio wanajifanya kumpenda zaidi
Bila kubadili Sheria za Nchi hii hakuna kitu atafanya mwambieni ukweli
 
Safi sana nadhani next term Urais tuwape kabisa Bongo Movie huenda wakatufungulia zaidi hii nchi iloyokuwa imefungwa kwa miaka 60
 

===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza na kumsifu Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuifungua Tanzania kitaifa na Kimataifa,

Aidha Katibu huyo wa Itikadi & Uenezi wa CCM-tanzania amempongeza zaidi Mhe Samia Saluhu Hassan kwa kuwafungulia Watanzania wote dunia na niwakati wao sasa kuchukua kila Chema wanachokitaka toka duniani kwani sasa fursa ni nje nje,

Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka ambae pia ni Msemaji wa Chama cha Mapinduzi Taifa amejinasibu kuwa Rais Samia hafanyi hayo yote kwa UTASHI WAKE ila UTEKELEZAJI wa Ilani ya CCM Ibara ya 67 ya Mwaka 2020|25

#CHAMA IMARA,
#RAIS IMARA,
#TANZANIA IMARA ,

Uko vizuri sana mwenezi wetu,
 

===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza na kumsifu Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuifungua Tanzania kitaifa na Kimataifa,

Aidha Katibu huyo wa Itikadi & Uenezi wa CCM-tanzania amempongeza zaidi Mhe Samia Saluhu Hassan kwa kuwafungulia Watanzania wote dunia na niwakati wao sasa kuchukua kila Chema wanachokitaka toka duniani kwani sasa fursa ni nje nje,

Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka ambae pia ni Msemaji wa Chama cha Mapinduzi Taifa amejinasibu kuwa Rais Samia hafanyi hayo yote kwa UTASHI WAKE ila UTEKELEZAJI wa Ilani ya CCM Ibara ya 67 ya Mwaka 2020|25

#CHAMA IMARA,
#RAIS IMARA,
#TANZANIA IMARA ,

Kazi iendelee kwa kasi,
 

===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza na kumsifu Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuifungua Tanzania kitaifa na Kimataifa,

Aidha Katibu huyo wa Itikadi & Uenezi wa CCM-tanzania amempongeza zaidi Mhe Samia Saluhu Hassan kwa kuwafungulia Watanzania wote dunia na niwakati wao sasa kuchukua kila Chema wanachokitaka toka duniani kwani sasa fursa ni nje nje,

Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka ambae pia ni Msemaji wa Chama cha Mapinduzi Taifa amejinasibu kuwa Rais Samia hafanyi hayo yote kwa UTASHI WAKE ila UTEKELEZAJI wa Ilani ya CCM Ibara ya 67 ya Mwaka 2020|25

#CHAMA IMARA,
#RAIS IMARA,
#TANZANIA IMARA ,

Safi kabisa Mama Samia,
 
Tukiacha mbwembwe za washamba wachache kwenye Taifa hili, Rais Samia ni Mtu anayeitakia mema sana hili Taifa, Tatizo la Watanzania Rais akipa ndio wanajifanya kumpenda zaidi
Nakubaliana na wewe hata Mungu anajua hili,
 

===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza na kumsifu Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuifungua Tanzania kitaifa na Kimataifa,

Aidha Katibu huyo wa Itikadi & Uenezi wa CCM-tanzania amempongeza zaidi Mhe Samia Saluhu Hassan kwa kuwafungulia Watanzania wote dunia na niwakati wao sasa kuchukua kila Chema wanachokitaka toka duniani kwani sasa fursa ni nje nje,

Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka ambae pia ni Msemaji wa Chama cha Mapinduzi Taifa amejinasibu kuwa Rais Samia hafanyi hayo yote kwa UTASHI WAKE ila UTEKELEZAJI wa Ilani ya CCM Ibara ya 67 ya Mwaka 2020|25

#CHAMA IMARA,
#RAIS IMARA,
#TANZANIA IMARA ,


Asante Mama yetu kwa Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020|25
 
Back
Top Bottom