OffOnline
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 644
- 478
Ndio yeye,Wewe ndio ulikuwa Chadema?
Amandla...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio yeye,Wewe ndio ulikuwa Chadema?
Amandla...
Bila kubadili Sheria za Nchi hii hakuna kitu atafanya mwambieni ukweliTukiacha mbwembwe za washamba wachache kwenye Taifa hili, Rais Samia ni Mtu anayeitakia mema sana hili Taifa, Tatizo la Watanzania Rais akipa ndio wanajifanya kumpenda zaidi
===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza na kumsifu Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuifungua Tanzania kitaifa na Kimataifa,
Aidha Katibu huyo wa Itikadi & Uenezi wa CCM-tanzania amempongeza zaidi Mhe Samia Saluhu Hassan kwa kuwafungulia Watanzania wote dunia na niwakati wao sasa kuchukua kila Chema wanachokitaka toka duniani kwani sasa fursa ni nje nje,
Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka ambae pia ni Msemaji wa Chama cha Mapinduzi Taifa amejinasibu kuwa Rais Samia hafanyi hayo yote kwa UTASHI WAKE ila UTEKELEZAJI wa Ilani ya CCM Ibara ya 67 ya Mwaka 2020|25
#CHAMA IMARA,
#RAIS IMARA,
#TANZANIA IMARA ,
Sheria zipi hizo?Bila kubadili Sheria za Nchi hii hakuna kitu atafanya mwambieni ukweli
===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza na kumsifu Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuifungua Tanzania kitaifa na Kimataifa,
Aidha Katibu huyo wa Itikadi & Uenezi wa CCM-tanzania amempongeza zaidi Mhe Samia Saluhu Hassan kwa kuwafungulia Watanzania wote dunia na niwakati wao sasa kuchukua kila Chema wanachokitaka toka duniani kwani sasa fursa ni nje nje,
Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka ambae pia ni Msemaji wa Chama cha Mapinduzi Taifa amejinasibu kuwa Rais Samia hafanyi hayo yote kwa UTASHI WAKE ila UTEKELEZAJI wa Ilani ya CCM Ibara ya 67 ya Mwaka 2020|25
#CHAMA IMARA,
#RAIS IMARA,
#TANZANIA IMARA ,
Ila hamna shukurani ninyi.Sio washamba sema CHADOMO mkuu
Nani kaishambulia?!Ila hamna shukurani ninyi.
<bona mpo pamoja nao kwenye kuishambulia MAITI?
Sio hoja, Mbona Msigwa mnamzongazonga?Unaweza kumpongeza ukiwa kokote ulipo... Itikadi haifi; watu wanapita!!
Msingwa kwanini asije CCM haraka,Sio hoja, Mbona Msigwa mnamzongazonga?
Vipi na ndoa yako kule Mombasa, bado ipo, mbwembwe sana ulipo olewa mwenezi.Ilikuwa Siasa tu Mzee Bejamini Netanyahu
===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza na kumsifu Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuifungua Tanzania kitaifa na Kimataifa,
Aidha Katibu huyo wa Itikadi & Uenezi wa CCM-tanzania amempongeza zaidi Mhe Samia Saluhu Hassan kwa kuwafungulia Watanzania wote dunia na niwakati wao sasa kuchukua kila Chema wanachokitaka toka duniani kwani sasa fursa ni nje nje,
Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka ambae pia ni Msemaji wa Chama cha Mapinduzi Taifa amejinasibu kuwa Rais Samia hafanyi hayo yote kwa UTASHI WAKE ila UTEKELEZAJI wa Ilani ya CCM Ibara ya 67 ya Mwaka 2020|25
#CHAMA IMARA,
#RAIS IMARA,
#TANZANIA IMARA ,
Wanaomzonga Msigwa hawajitambui...Sio hoja, Mbona Msigwa mnamzongazonga?
Nenda katafute na uisomeKwakua ni ilani ya CCM ni vyema ioneshwe kwenye matawi yote ya CCM ili wafuasi wayaone mafanikio yao kwenye kukuza uchumi wa nchi yao.
Nakubaliana na wewe hata Mungu anajua hili,Tukiacha mbwembwe za washamba wachache kwenye Taifa hili, Rais Samia ni Mtu anayeitakia mema sana hili Taifa, Tatizo la Watanzania Rais akipa ndio wanajifanya kumpenda zaidi
Unamaanisha nini mkuu?!Bila kubadili Sheria za Nchi hii hakuna kitu atafanya mwambieni ukweli
Hicho kikundi ulichohama badokipo maeneo ganiimimi nilikuwa CHADEMA ila tangu mwaka huu uanze nimeamua kujiunga rasmi na CCM kumfuata mother, anatisha huyu mtu
Royal TourHongereni kwa ROYO TUA.
===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amempongeza na kumsifu Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuifungua Tanzania kitaifa na Kimataifa,
Aidha Katibu huyo wa Itikadi & Uenezi wa CCM-tanzania amempongeza zaidi Mhe Samia Saluhu Hassan kwa kuwafungulia Watanzania wote dunia na niwakati wao sasa kuchukua kila Chema wanachokitaka toka duniani kwani sasa fursa ni nje nje,
Aidha Ndg Shaka Hamdu Shaka ambae pia ni Msemaji wa Chama cha Mapinduzi Taifa amejinasibu kuwa Rais Samia hafanyi hayo yote kwa UTASHI WAKE ila UTEKELEZAJI wa Ilani ya CCM Ibara ya 67 ya Mwaka 2020|25
#CHAMA IMARA,
#RAIS IMARA,
#TANZANIA IMARA ,