Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
- Thread starter
- #21
Wajibu wako kama Chama cha Siasa ni Upi?Kelele za mali za umma maana hata mm nalipa kodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajibu wako kama Chama cha Siasa ni Upi?Kelele za mali za umma maana hata mm nalipa kodi
Kulinda mali za umma na kusema ukweli, majizi yote yapo CCM sahiviWajibu wako kama Chama cha Siasa ni Upi?
Unamaanisha hayati au??!!Siasa wewe na Rais nani mwenye taarifa sahihi? kwanini awe yeye na wakati mikoa ipo 31?
Kwani Rais alikuwa dingi ako wakati anasimamishwa?Unamaanisha hayati au??!!
Mkuu Bejamini Netanyahu kuna jizi la kisiasa kama Mbowe nchi hii?Kulinda mali za umma na kusema ukweli, majizi yote yapo CCM sahivi
Bejamini Netanyahu kama alisema ukweli kuhusu Shaka Hamdu Shaka basi msilalamike Uchaguzi wa 2020 mlishindwa kihalali,Kwani Rais alikuwa dingi ako wakati anasimamishwa?
NI Accounting Officer wa vote ipi?Mkuu Bejamini Netanyahu kuna jizi la kisiasa kama Mbowe nchi hii?
Kumbe unajua alikuwa tapeli?Bejamini Netanyahu kama alisema ukweli kuhusu Shaka Hamdu Shaka basi msilalamike Uchaguzi wa 2020 mlishindwa kihalali,
Muulize Mwenyekiti wako
Swali zuri sana, kwambaHapana, kwani hao wasaidizi wa Mheshimiwa hawaaminiki.
Awaondoe aweke wengine.
Rais anazunguka kuchezesha sinema uliona wapi.
Kitendo cha kuizindua tu kilitosha awaachie vijana.
Bejamini Netanyahu sasa nadhani umenielewa vizuri,Muulize Mwenyekiti wako
Muulize Mwenyekiti wako
Labda kwa dingi ako
Bejamini Netanyahu hapa nakuona wewe huna uwezo wa ku-argue na MimiLabda kwa dingi ako
Ni argue ujinga?Bejamini Netanyahu hapa nakuona wewe huna uwezo wa ku-argue na Mimi
Bejamini Netanyahu mambo ya baba yangu yanahusikaje hapa?Ni argue ujinga?
Leta hojaBejamini Netanyahu mambo ya baba yangu yanahusikaje hapa?
Bejamini Netanyahu CHADOMO Umoja Party ya Slaa itawanyoosha,Leta hoja
SawaBejamini Netanyahu CHADOMO Umoja Party ya Slaa itawanyoosha,