Shaka Hamdu Shaka: Si utashi wa Rais Samia kufanya Tanzania Royal Tour

Hongereni sana kwa filamu mpaka tumejua kuwa Magufuli alikufa kwa corona wakati mulitutangazia kuwa kafa kwa umeme.

Musipotubu undumila kuwili wenu hautawaacha salama, siyo muda mrefu meno ya tembo wetu yataanza kukamatwa China.
 
Kwakua ni ilani ya CCM ni vyema ioneshwe kwenye matawi yote ya CCM ili wafuasi wayaone mafanikio yao kwenye kukuza uchumi wa nchi yao.
Miaka yote situnatii amri za ilani ya ccm,huo uchumi unaokuzwa kila akija kiongozi nani huwa anaudidimiza?
 
Sasa kama ni majangili si ni nafuu yako wewe CHADOMO,?!

KELELE ZA NINI? [emoji23][emoji23][emoji23]
Tafadhali tunataka TEMBO WETU!!

Lile KUU LA MAJANGILI mlilolisimika kwenye chama chetu pendwa tunalitizama kwa makini sana.

OLE WENU Tukute TEMBO WETU WAMEPORWA NA KUNG'OLEWA MENO.
 
ndio maana tunasema huyu Mama ni wakipekee sana,

Kweli ni wa kipekee.

Ulishawahi ona wapi RAIS ANAAMBATANA NA MAJANGILI WA TEMBO NA WAUZAJI WA MADAWA YA KULEVYA?

Marais wenzake huwa wanafanya kwa kificho kama yule mchawi wa msoga. Lakini yeye kaamua aweke mambo hadharani kama papuchi ya mbuzi.

She is unique indeed.

Kwako Jabali la Siasa Tanzania.
 
Hebu lete Ushahidi hapa wwe CHADOMO,

KUNA FISADI ZAIDI YA MBOWE NCHI HII?
 
Hebu lete Ushahidi hapa wwe CHADOMO,

KUNA FISADI ZAIDI YA MBOWE NCHI HII?
 
mimi nilikuwa CHADEMA ila tangu mwaka huu uanze nimeamua kujiunga rasmi na CCM kumfuata mother, anatisha huyu mtu
Unaweza kumpongeza ukiwa kokote ulipo... Itikadi haifi; watu wanapita!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…