Shaka Hamdu Shaka: Tumepunguza ada ya usajili wa "Online TV" kwa 95% kutoka TZS 1M hadi shilingi Elfu 50

Hongera sana Ndg Shaka Hamdu Shaka,

Unafanya Kazi nzuri sana katika Taifa hili,


Appreciated πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Je nyinyi wapiga mapambio mnaupiga mwingi majumbani kwenu?

Hivi ni ukosefu wa ajira ndio unawaletea UCHAWA au Njaa iliyopitiliza?
 
Kutoka milioni moja mpaka elfu 50 ama kwa hakika Rais Samia anatupenda watu wake,
 

Hao ccm ndio wale " mmeshiba ndio, mnanjaa ndio"
 
Ilani yao ndio inatekelezwa.... waliahidi kujenga mazingira rafiki na wezeshi kwa ustawi wa tehama ili iajiri watu wengi zaidi ndicho kilichotokea....sasa unawaondoleaje pongezi...ikiwa wameahidi na kutekeleza!!!

Walioweka milioni moja walikuwa wanatekeleza nini? Mmeona hakuna mtu anawashobokea ndio mkaona isiwe tabu acha mshushe bei.
 
Je nyinyi wapiga mapambio mnaupiga mwingi majumbani kwenu?

Hivi ni ukosefu wa ajira ndio unawaletea UCHAWA au Njaa iliyopitiliza?

Naona sukuma gang Msoga line wanakutesa vibaya! Safari hii mabush star kazi mnayo kwa maborn town.
 
Hapana Mkuu,, hakuna ubaya wowote kwa kilichofanyika....

Nilichosema ni kwamba aliyeweka watu walipe Millioni Moja,, ndio leo aliyetoa na kubaki Elfu hamsini..

Nani wa kusifiwa hapo na ni nani wa kumchukia..???
πŸ˜πŸ˜πŸ™πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…