Kwani katika hizo teuzi aliyekodiwa ni nani si walikuwemo humohumo? hii ni sawa na kudirishana no. uwanjani halafu ukajisifu kuwa umeimalisha timu.Ccm inazidi kustawi huku kila kiongozi akiwa na zama zake.
Machadema acha yaendelee kukaa kwa amsterdam sisi tuendelee kujenga nchi
Huku pagumu watu nyoro-nyoro hawapawezi.Nyalandu kakimbia kambi ya makamanda...🤣🤣🤣
Achana nalo,utaumiza moyo wako bure,ulitaka wamteue DJ Mbowe?Lichama la hovyo hilo.
Ni zamu yetu sisi Wazanzibari,au nasema uongo ndugu zangu?Polepole ana shida zake nyingi tu, hafai kuendelea kubaki katika hiyo nafasi ila sio kwa kumleta Shaka... Hivi Shaka ana ushawishi gani huku bara ambapo ndio kwenye mtaji wa kura...
Shaka akishawahi kuwa katibu mkuu wa uvccm nadhani je alitumia nafasi hiyo kufanya nn cha maana
Sasa kile kipindi cha Channel ten itakuwaje?
you so stu-pid and lazy. hii ni point nayo unaongea. sasa kuna tatizo gani kama anatatua matatizo ya wananchi. ndio maana wakenya wanasema tuna kila kitu lakin hatuwapiti kwa maendeleo, kwa akili kama yako hatuwezi fika.
Jpm na Samia ni kitu kimoja, ndiyo maana anateua wateule wakeAisee hawa ni vichekesho!
Halafu huyo Katibu mpya Chongolo si mteule wa JPM pia?
Alikuwa mkuu wa wilaya kaletwa chamani!
Sasa hawa inakuwaje?
Hebu nifafanulie mkuu!
Anaitwa Iron lady[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aliwapiga chenga ya mwili. Mama ana akili kubwa. Habwabwaji hovyo kama yule jinamizi. Yeye ni mwendapole wa uhakika. Very strong woman. Our strongest President. Tanzania mpya. Vunjia mbali dikteta na masalia yake.
Ngojeni 2025 si tupo ndio tutajua upande upi una nguvu katika hiki tunachoita muunganoNi zamu yetu sisi Wazanzibari,au nasema uongo ndugu zangu?
Wafanye uchaguzi kwani kuna aliyekufa kwa covid?
Nimeongelea ccm , hizo habari za vyama vingine ukitaka vifungulie uzi wake.kwahio covid isingekuepo hamna uchaguzi unafanyika kwenye chama chenu? [emoji23]
ivi kwann swala la demokrasia kwenye chama chenu mnlikwepa sana, mbna sisi bashiru ameachia kitiNimeongelea ccm , hizo habari za vyama vingine ukitaka vifungulie uzi wake.
Ameachia ametimuliwa ?ivi kwann swala la demokrasia kwenye chama chenu mnlikwepa sana, mbna sisi bashiru ameachia kiti
Ameachia ametimuliwa ?
Mama hataki kubakia na watu wenye makandokando
Ndio yule alokuwa akiongea sanaaaa kujidai kumtisha marehemu Maalim Seif?Humphrey Polepole, vieite limefika kikomo, jifunze kuwa na adabu
Hapa sasaAliwahi kusimamishwa kazi na Mwenyekiti wake Rais Magufuli wakati huo akiwa Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa kosa la kula rushwa.
Wewe hujui kitu mbona hao walishaondoka kwenye chama baada ya kuteuliwa kwenye nyadhifa mpya!!?Tulisema kuwa huu ndiyo mwisho wa waramba miguu wa jiwe watu wakatubishia ona sasa kina Bashiru na Polepole wanatupiwa virago mchana kweupeeeeee