Shaka Hamidu Shaka, mrithi wa Polepole nafasi ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM

Watu kama hao sio wa kuwajibu mkuu... Watakuchosha
 
Nyalandu kakimbia kambi ya makamanda...🀣🀣🀣
 
Nikikumbuka lile neno, unaijua vieite ? Ndio akauliza vieite (V8) ndo tunatembelea sisi viongozi wa CCM, sasa saivi anatembelea nn kulger au tako la nyani
 
Shaka anatia shaka maana aliwahi kutamka kwamba Zitto anapaswa kuuawa, uenezi wake unatia shaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…