Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
-
- #61
Unataka upigane na mlevi?Oya kitambaa cheupe pahusike Sasa hivi.
Bilionea? Hapana labda lakioneaAcha uchawi, wivu sio mzuri ujueππ
Kaka mi nipo na wewe bega kwa begaππππππTrust me, kufikia 2030-2031 tutakuwa tusha fika tunapo patakaπͺ
Intelligent businessman chawa unae πKaka mi nipo na wewe bega kwa begaππππππ
Trust the process
Church boy wanajulikana humu..Church boy mkuu, huko kwingine sipo.
Walebanon huwa ni vichaa wa mapenzi mfano huyo Shakira.Kweli mapenzi hayana cha ustaa wala umaarufu yakiamua kukunyoosha yanakunyoosha bila kujali ni mtu wa aina gani.
Ni wazi bado mwanamama Shakira anateswa na zimwi la penzi la Gerald Pique, kuzidi kumuongelea mara kwa mara kwenye interviews inadhihirisha bado anamuelewa sana mwamba, sijui mwanasoka huyu alimpa nini Shakira licha ya umaarufu wake.
Nachomkubali Pique ni mkimya, nampongeza kwa hilo ni tabia ya kiume haswa, tangu watengane 2022 Shakira ndio kinara wa kuyaongelea mahusiano yao. Shakira anadai penzi lake na Gerlad Pique limemfanya kumrudisha nyuma na kumuumiza vibaya kimapenzi pia hatamlipizia kisasi kwa kumuongelea kwenye nyimbo zake kama ambavyo amefanya kwenye nyimbo zake zilizopita.
G. Pique yeye hupenda kuongelea zaidi kuhusu watoto wao akihojiwa kuhusu mahusiano yake na Shakira.
Wanawake mkipenda sana ndio mnakuwa kama Shakira?
View attachment 2945429
View attachment 2945273
Profeshno church boy, sina mambo mengi na siyataki. Mi ndio yule mwanaume wa mwanamke mmoja tu.Church boy wanajulikana humu..
Kwa haraka haraka wewe ni hovyo kabisa , ππππππ
Kama ulikua church boy basi kuna kitu ulikua unatafuta
ππππππ Half americanIntelligent businessman chawa unae π
Bado kupata hela tu.
Mlebanon kivipi?Walebanon huwa ni vichaa wa mapenzi mfano huyo Shakira.
Kuna maneno ya kichawa nimeyaona mahalaππππππ Half american
Ujiheshimu wewe kumbeπππππππππ
Nani chawa hapa alaaaah
ππππππππProfeshno church boy, sina mambo mengi na siyataki. Mi ndio yule mwanaume wa mwanamke mmoja tu.
Shakira kiasili ni mwarabu wa Lebanon kaka.Mlebanon kivipi?
πππππ Hapana ni sapport tuu hakuna zaidi wewe ..Kuna maneno ya kichawa nimeyaona mahala
We twende Kama huja toka meno, PimBI weeππUnataka upigane na mlevi?
Niliwahi kusikiliza jinsi alivyoanza muziki na waliainisha hilo kama kumbukumbu zangu zipo vizuri ila najua ni mkolombia.Shakira kiasili ni mwarabu wa Lebanon kaka.
Au hulijui hili??
Kwanini mkuuππππππππ
Hata muundo wako wa kibiolojia haonyeshi kama anaweza kuwa mtu wa mwanamke mmoja
Pamoja sana, mwanga una onekana, ni speed ya kujaza buti tu.Kaka mi nipo na wewe bega kwa begaππππππ
Trust the process
Kijana mstaarabu kuwahi kushuhudiwa mtaani.πππππ Hapana ni sapport tuu hakuna zaidi wewe ..
ππππ Nikikuita kijana wa hovyo unasema nakusingizia
Tudili na shakira kwanzaWe twende Kama huja toka meno, PimBI weeππ