Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Don't waste your time n energy, hilo jamaa lina low IQ km kichaa jiwe na yuko kazini yaani genge la buku7
 
Mayala=njaa
Baada ya Jerry murro kuula pasco ameona fursa na wakt sahihi Wa kutafuta cheo,huyu ni tumbo linatoa hoja sio akili,umeangusha tasnia ya habari
Huyu jamaa mm sijawai kumwelewa kabisa. Nimnafiki sana .
 
Kwakweli paschal siku hizi sio paschal kama wa zamani yaani umetoa sababu za kwanini wasingetumia akili zako kujinasua baada ya kubaini watu walokuwa wanawafatilia?

Jambo la dereva kuhojiwa na polisi nakuunga mkono ila la kwanini dereva hakupatwa hata na risasi moja hiyo hoja haikubaliki kuna ajali huwa tunazishuhudia au kusikia kuwa abiria wote wamepoteza maisha ila mtoto mdogo au mtu mmoja ndio kanusurika


Nazani pointi yako kubwa katika bandiko hili ni hili andishi lako👇👇👇


Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya kuendelea na uanaharakati na kuishi kwa mashaka, au uamue kupunguza makali na kuishi kwa amani.
 
Muuaji hutumia risasi moja au mbili kwisha kazi, target ni moyo au kichwani.
Muuaji huyu alikua anajifunza kuua kwa kutumia mwili wa lisu hahahahah risasi 38.Yani hata ktk movie sijawahi ona wingi wa risasi ka huu.Hili tukio liingizwe Guinness World Records.
 
Kwakweli paschal siku hizi sio paschal kama wa zamani yaani umetoa sababu
Post hizi ni nzuri ikiwa uko kwenye utafiti na unakofanyia utafiti huo hawakujui. Jamaa kachemka mno yaani namuona kwa mbaali anavyoanza kufaidi neema za waovu kwa faraja za kutoka kwenye biblia. Napata shida sana kusoma hii post halafu anasema anamuombea Tundu. Daaaaaah.
 
Vipi kama dereva alishirikiana na waliotoa camera na ndio maana badala ya kumwambia tusimame au twende polisi akamwambia twendelee na safari?Au nyie humo vichwani hamnaga reasoning kabisa?
 
NA KWANINI WAFANYE TUKIO PRECISELY 10 MINUTES BAADA YA SPEECH YA MAGUFULI KUHUSU ACCACIA ????
Hivi kwa siku ile unafikiri ilikua rahisi Kiki ya magufuli kuhusu Tanzanite izimwe kirahisi?
 
Paskali tangu anehojiwa na bunge naona pia kuna kazi maalumu alipewa.Angalia tu trend ya mabandiko yake humu. Alifanyiwa brain programming /ccontrol na Malumumba.
 
ukweli ni ukweli tuu Mh.Lissu alishatoa taarifa kwa Bunge na kwa Police kwamba kuna watu wanawafuatilia sio kila kitu mnatia siasa sasa Hapa Bavicha wanahusikaje kwa mfano
 
Hahahahah nyinyi watu mnafurahisha sana,So Lisu na huyo dereva hawatarudi Tz?Huo usalama wa kuhojiwa ni upi?Yani hawatak kuhojiwa Tz kisa Usalama?So serikali iwafuate huko?Sijawahi ona muathirika wa janga flani anaweka mashariti tena ya kipuuzi jinsi gani asaidiwe.Huwa nashangaa sana nkimsikia lisu et ka serikali ka inataka kunihoji kwanini isije kunihoji au kutafuta njia za kumhoji.Hivi nani anayetakiwa aangaike kuhakikisha haki inapatikana kati ya lisu na serikali? Hivi kuna kitu inapoteza kwa kutomhoji lisu?Ni maajabu lisu kupata mda wa kufanya press conference Kenya lkn sio mda wa kupigania haki yake Tz.Hizi ni siasa uchwara
 
''Huwezi kuhatarisha maslahi ya nchi ukaachwa ukasavaivu '' mwisho wa kunukuu.unaikumbuka hii kauli mkuu. Ilitamkwa asubuhi ya saa tano ya siku ya shambulio la lissu. Akili kichwani mkuu.
 

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya kuendelea na uanaharakati na kuishi kwa mashaka, au uamue kupunguza makali na kuishi kwa amani.

Hiyo ndio point yake paschal
 
Eti serikali iamue kumuondoa lisu ianze kumfuata fuata kuanzia Dar hadi Dodoma.hahahahah, hawa watu wanafikiri serikali ni kikundi cha wanywa kahawa.Yani serikali impe mtu AK 47 na marisasi kibao kumuua lisu tu?Kuna njia nyingi sana za kufanya tukio bila kuacha alama.Fuatilia vifo vya akina chacha,Komba,Filikunjombe nk.Hivi inasemekana na kazi ya mikono ya watu lkn kupata ukweli ni ngum sana.
 
Vipi kama dereva alishirikiana na waliotoa camera na ndio maana badala ya kumwambia tusimame au twende polisi akamwambia twendelee na safari?Au nyie humo vichwani hamnaga reasoning kabisa?
Nenda kanywe supu kwanza! Asubuhi inahitaji kujiweka vizuri kwanza
 
ukweli ni ukweli tuu Mh.Lissu alishatoa taarifa kwa Bunge na kwa Police kwamba kuna watu wanawafuatilia sio kila kitu mnatia siasa sasa Hapa Bavicha wanahusikaje kwa mfano
Police wa wapi alikotoa taarifa? Ana RB?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…