Vipi hapa ndani hakuna uwezekano wa kufanya uchunguzi na majibu yakapatikana?Unataka kusema hili tukio ni complicated sana kiasi tuhitaji vyombo vya nje?Itakua nchi kweli kila katukio basi watu wajifiche kwenye uchunguz wa nje?Shida kila kitu ni siasa uchwara na hili halina tofaut ya kuacha kumpeleka muhimbili na kumpeleka Nairobi, Utaona hakukua na hoja zzt za mcngUchunguzi Huru wa kimataifa ungetupa majibu yasiyoacha shaka kwa pande zote tatu,Watuhumiwa,CHADEMA na Familia ya Lissu.
Wewe utaendelea kulamba miguu lkn nakuhakikishia hutopata uteuzi kamwePaskali paskali paskali, unataka kuniudhi.Nimekukosea nini paskali.
No way, issue iko open sana ile. They want to silence him he is pain in their a.. thats why. Kama unakumbuka siku ile kulikuwa jambo linaendelea kweny jumba lenye tausi. baada tu ya kumalizika na hili likatokea. Sema ni ushamba tu ndio maana halikufanikiwa Pascal nampendeaga kitu kimoja anapenda kuishughulisha akili yake kuwaza kwa sauti lkn anajua fika nini hasa ..... kwa hili la Lissu ni Karma peke yake ndio itatenda yake lets wait n see. Pole yake Lissu na hakika ni mzalendo kwa nchi yake kwa 100% yote aliyoyasema naona yanaenda kutimia ni swala la muda.Somehow you have a point....ubaya watu wanasikiliza upande mmoja na kuelemea upande huo.
Ila ukisikiliza pande zote, ni bonge ya conspiracy theory!
Hapa ndani uwezekano wa kufanya uchunguzi upo lakini kwa mujibu wa Lissu mwenyewe ambaye ni mhanga wa huo unyama,mtuhumiwa wake wa kwanza ndio hao unaotaka wafanye uchunguzi.Huhitaji kuwa na Phd kujuwa huo uchunguzi utakuwa wa magumashi.Vipi hapa ndani hakuna uwezekano wa kufanya uchunguzi na majibu yakapatikana?Unataka kusema hili tukio ni complicated sana kiasi tuhitaji vyombo vya nje?Itakua nchi kweli kila katukio basi watu wajifiche kwenye uchunguz wa nje?Shida kila kitu ni siasa uchwara na hili halina tofaut ya kuacha kumpeleka muhimbili na kumpeleka Nairobi, Utaona hakukua na hoja zzt za mcng
Mkuu sioni mkielezea kwa hoja zenye mashiko mkielezea kwanini dereva asiwe suspected zaid ya maelezo mengi ya kutafuta sympathy. Lieleze jukwaa kwanini dereva asitiliwe shaka?Kwanini dereva asiwe kati ya hao waliotoa camera au walinzi?
Bwana mkubwa alifanya usaliti mbaya sana. Hilo huwa hawapendiki kuliongelea.
Shida yako wewe, umejawa na tabia chafu, roho ya korosho, kwako wewe kuona mwingine kakamatwa ni faraja, wakati wakikamatwa wale unaowapenda unawatetea, je tuambie nani alitajwa? Wataje kwa majina hapa, kila mmoja na tuhuma yake, vinginevyo wewe tindo ni li-,Chadema.Umelishwa propaganda na ukazimeza vizuri. Sasa hivi hapa ulipo unazitapika tu. Hilo suala linaloitwa usaliti ni aina ya siasa za kijinga zilizofanywa na awamu hii ili kulindana kisiasa. Mikataba ya wizi iliyoingiwa wanafahamika ni kina nani waliingia. Katika hao hakuna aliyechukuliwa hatua bali Lissu aliitwa msaliti ili kukidhi haja ya kisiasa. Mikataba tuliyoambiwa ni ya wizi mpaka leo ni siri, na hakuna yoyote aliyechukulia hata baada ya kutajwa kwa majina. Kama kuna mahali Lissu alisaini mikataba hiyo ya wizi tuonyeshe hapa tuujue usaliti wake.
Uanze na kamera na walinzi nani aliwaondoa na kwa faida ya nani halafu tutafika tu kwa dereva na lissu mwenyeweUchunguzi gani ufanyike na kukamilika bila kumhoji Dereva wa Lisu? Uchunguzi gani ufanyike kwa kuelekezwa na Ufipa jinsi ya kuendesha huo Uchunguzi?
Pungua sjui umetoka wapi huku.Huku wapo GT pekee, we utateuliwa na kichaa mwenzio pambanaWewe utaendelea kulamba miguu lkn nakuhakikishia hutopata uteuzi kamweView attachment 860346
Alishapewa dozi.katika vitu unaangusha hii tasnia yetu ya habari nimoja yamabandiko yakulambana miguu kama hili
Shida yako wewe, umejawa na tabia chafu, roho ya korosho, kwako wewe kuona mwingine kakamatwa ni faraja, wakati wakikamatwa wale unaowapenda unawatetea, je tuambie nani alitajwa? Wataje kwa majina hapa, kila mmoja na tuhuma yake, vinginevyo wewe tindo ni li-,Chadema.