Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?


Unajua kwanini nimekupa ushindi, nimegundua umeishiwa na hoja sasa unalazimisha tuingie kwenye ubishani. Nimekuambia bayana sio dereva tu kwenye ushahidi, bali hata Lissu anapaswa kuwa shahidi kwani yuko hai na kwenye shambulio alikuwepo. Sasa naona akili imehama umekuwa kama umekariri kwamba kila anayezungumzia hili jambo akiwa upande wa Lissu anagoma dereva kuhojiwa.
 
Ni taahira tu na mjaa laana anayeshindwa kujua JIWE ndo anataka kumuua LISSU. Ana Chuki kwake kaliiiii hata kesho kuna sheria mpya inapelekwa bungeni kuhusu TLS kuwadhibiti kina LISSU wakati mwenyewe bado anapigania uhai wake
 
Jana nilifanikiwa kusoma alichokiandika Pascal Mayalla kuhusu Dereva wa Tundu Lisu nilijiuliza maswali mengi bila majibu ila mchana wa leo nikagundua kitu ambacho kimekuwa faida kubwa kwa wote wanaonyoosha na kutumia taaluma zao vibaya kuhusu Tundu Lisu.

Moja>>> Wengi wanaonyoosha kalamu zao vibaya juu ya Tundu Lisu wengi wamepata teuzi mbalimbali.

Mbili>>> Wengi wanaonyoosha kalamu zao vibaya juu ya TL wanaonekana ni wazalendo na wapo katika wakati mzuri wakisubili teuzi.

Tatu>>> Wanafanya mambo yao bila wasiwasi kwa sababu wanaonyesha kuunga mkono juhudi za chama tawala.

NNE>>> kwa sasa ukimtuhumu TL unajipatia umaarufu na jina lako litaonekana hata kwa waheshimiwa unajitengenezea mazingira bora.

NI FAIDA KUMTUHUMU TUNDU LISU HATA MIMI NAJIPANGA SEMA SIJAJUA NIMTUHUMU ALIJISHAMBULIA.?
 
Shida ya kuwa na Maadui wengi ndio hii mwisho wa siku inakuwa ni ngumu sana kugundua aliekudhuru ikitokea umedhurika, lwenye hili la Lissu wengi wanahisi waliotekeleza hilo tukio ni watu wa System, hamna mwenye uhakika zinabakia kuwa ni hisia tu hamna mwenye uhakika,

Baadhi ya wahalifu huwa wanasubiria ukwaruzane na mtu ili atekeleze uovu wake anatumia hii advantage ili akishatekeleza lile tukio mtu wa kwanza kuhisiwa awe ni yule uliyekwaruzana naye mara ya mwisho aonekane ndo katekeleza hayo maovu, pengine ndo kinachotokea kwenye saga la TL
 
kwanini wameendelea kumficha dereva yule..kuna usiri
 
The fact that serikali ilisitisha uchunguzi kuhusu sakata hilo kabla hata ya kuanza let alone kujitahidi angalau kuwadanganya hata wachumia tumbo na vinyonga kama Paskali, raises more questions than it answers and therefore any claims, allegations and fingerpointing over the involvement of Lissu's driver or CDM and party leader Mbowe in the attempted murder of TL is hogwash, fictitious and frivolous to say the least!
Paskali tafadhali jieshimu angalau kidogo, do not add salt to injury! Let this matter rest, ukweli wa sakata hilo utabainika in due cause, stop playing arbiter for those devils who tried to assasinate TL
.
 
kwanini wameendelea kumficha dereva yule..kuna usiri

..dereva hajafichwa.

..alikuwepo Nairobi kwa miezi 3+ hakuna aliyejisumbua kwenda kumhoji.

..sasa hivi yuko Ubelgiji na hakuna aliyeonyesha nia ya kutafuta namna ya kumhoji.
 
...kwa nini unauliza kwa nini !?
 
mimi ni kijana wa miaka 30 nadhani ki tamaduni za kiafrica sitakiwi kumuita Pascal mpumbavu maana amenizidi umri na mimi kama baba yangu.
acha niamini mtu mzima ninae muamini ameteleza tu.
 
Umeelezea upande unaokufurahisha, lakini issue ya kutoka kwenye attempt ya kuuawa hasa kwa silaha inawezekana, Lissu siyo mtu wa kwanza, alishambuliwa Pope John Paul wa II tena akiwa ameangaliana na muwaji lakini akufa, sembuse lissu aliyekuwa kwenye gari? Ni Mungu tu ndiye anayepanga ufe au upone.
 
  1. Hapa nimechoka sijui ulikua unamaanisha hivyo au mimi nashidwa kuisoma hii picha.
 

Attachments

  • images.jpeg
    20.7 KB · Views: 39
Hata hizo CCTV au walinzi wangekuwepo lkn mtu wa kwanza kuhojiwa ni Dereva. Kwa vyovyote vile huwezi mtoa Dereva ktk hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…