Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,241
..basi tunaomba MTUSAMEHE.
..Polisi ni CCM. Mahakama CCM.
..nyinyi mmeshika mpini, sisi tumeshika makali.
..mpeni TL ulinzi ili muweze kumkamata aliyeondoa walinzi wa area D.
Msamaha kwa lipi? Hao makuwadi wenu si mlisema watampa ulinzi? Corona imewakwamisha maana mabeberu wanapambana na Coruna ushenzi wenu hawana mpango nao. Charity begins at home! Kwa sababu mnapata ruzuku mnafikiri mnaishi kwenye Cuckooland. Pesa tutatumia kuwaletea maendeleo Watanzania sio nyinyi malofa na ujinga wenu.