Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanzo cha kifo sio lazima kuwa publicTaarifa za kinafiki,hazina hata chanzo cha kifo!
Isije ikawa NI maadui zake Wana mfanyia mambo ya kiswahili!!!
Tatizo mziki anaimba diamond,mgao apate salaam,tale,mkubwa fela bado madanser sijui director bado producer. Hivyo mapato siyo kivile. Na awamu hii madawa ya kulevya yamedhibitiwa ndo kabisa. Maana zamani walikuwa wakiuza ganda si haba wanapata pesa.Rip kafara ya ubunge/ itakuwa mziki hauna hela kweli.
Ukiona chazo cha kifo hakipo public kwa mtu ambae ni star ujue kuna jambo.Chanzo cha kifo sio lazima kuwa public
Dah! apumzike kwa amani nimeumia sana bora angekuwa yule mke wa said fella mama muuza mikorogo na mwenyewe ngozi kama kitimotoHabari zilizotufikia punde ni kuwa mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Hamisi Tale au Babu Tale) aitwaye Shamsa Tale almaarufu kama Shammy Nails amefariki.
Pole kwa familia ya Babu Tale maana ameacha watoto wadogo.
View attachment 1490835
View attachment 1490828
wewe ni mganga nini? samahani lakini.kama ni kweli huu mji una mambo mazitoAsilimia billion moja.
Mimi ni mtumishi wa Mungu. Tale ndo anaendesha maisha yake kwa kutumia waganga.wewe ni mganga nini? samahani lakini.kama ni kweli huu mji una mambo mazito
Duuh!!Hatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Mkuu Victoire sijawai ona umechukia iv hahahahaaaHatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Mtu anashindwa kuelewa duniani tuna pita 2 ana ropoka kama ana kunya
Una uhakikaHatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Unakosea sanaUkiona chazo cha kifo hakipo public kwa mtu ambae ni star ujue kuna jambo.
Mh! 🤔😳 Mkuu mnakuwaga woteTatizo mziki anaimba diamond,mgao apate salaam,tale,mkubwa fela bado madanser sijui director bado producer. Hivyo mapato siyo kivile. Na awamu hii madawa ya kulevya yamedhibitiwa ndo kabisa. Maana zamani walikuwa wakiuza ganda si haba wanapata pesa.
Ndiyo nina utu,ndo maana nimeumia fala mmoja kutoa mkewe kafara kisa ubunge. Bora ukose mali ila usikose Hekima.
Yes nasikia alichukua fomu NCCRKwani alitangaza nia ya ubunge?