Shangazi Fatma Karume akemea Udini wa CHADEMA

Shangazi Fatma Karume akemea Udini wa CHADEMA

Kasema ukweli wapi? Kwa mtu mwenye hekima hakutakiwa kusema vile. Ndiyo maana leo karekebisha, kasema sukari itapatikana mwezi ujao. Kusema itapatika by Ramadhani ni kama inaonyesha ramadhani ni muhimu sana hivyo sukari lazima ipatikane ila kwa sasa tuvumilie
Ramadhan ni muhimu sana ndio. Kuna kundi kubwa la raia wa nchi hii (Waislam) wanaipa umuhimu mkubwa sana. Allah amuongoze na amhifadhi ndugu yetu Hussein Bashe. Mnamuandama kwa sababu ya Uislam wake tu. Mbona kuna waliosema umeme usikatwe kirisimasi na mwaka mpya na hakukuwa na nongwa?

Mnapenda sana kusakama viongozi Waislam. Na mnapenda kulaumu Waislam kwa "udini" au kuwashutumu kwa kulalamika "vitu vidogo" kumbe ni matatizo yenu haya sio yetu. Watu mmejaa husda na chuki mnatafuta fursa ya kuzitoa vifuani. Na bado mkiyatoa mnayoyaficha ni makubwa zaidi.
 

"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Sisi kwetu CDM ni dhehebu hata kama hatutashinda, na kwa taarifa yako twafahamu kwamba waislam hamtupendi
 

"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Kutuambia Sukari mpaka Ramdhani ndo Hakuna udini? Mbona mnatetea upuuzi wa Waziri kisa dini yenu? Angesema Sukari itakuwepo Krismas mngekaa kimya?
 
Ramadhan ni muhimu sana ndio. Kuna kundi kubwa la raia wa nchi hii (Waislam) wanaipa umuhimu mkubwa sana. Allah amuongoze na amhifadhi ndugu yetu Hussein Bashe. Mnamuandama kwa sababu ya Uislam wake tu. Mbona kuna waliosema umeme usikatwe kirisimasi na mwaka mpya na hakukuwa na nongwa?

Mnapenda sana kusakama viongozi Waislam. Na mnapenda kulaumu Waislam kwa "udini" au kuwashutumu kwa kulalamika "vitu vidogo" kumbe ni matatizo yenu haya sio yetu. Watu mmejaa husda na chuki mnatafuta fursa ya kuzitoa vifuani. Na bado mkiyatoa mnayoyaficha ni makubwa zaidi.
Yangekuwa maneno ya hekima asingebadilisha kauli yake leo. Alicho tweet leo ndiyo alipaswa kusema mwanzo. Kuna wakati wa sherehe za eid awamu ya Kikwete mbona umeme uliwaka siku zote 2 katikati ya mgao mkali na watu hawakusema?
 
1708688576795.png
 
Unajua nyie Chadema mnamuona MMM kama nani wenu huko Chadema?
Tatizo anachosema MMM ni sawa na Chadema imesema.

..mbona Lema kumshambulia mpaka Malasusa wa Kkkt?

..labda tuletewe alichokisema Mmm tuone kama amebagaza Waislamu.

..lakini pia kuna yule Shekhe ya Kinyakyusa anayewashambulia Cdm nilitegemea Shangazi amkemee.
 
Ukweli ni kuwa CDM hawajaangalia hali halisi ya nchi. Wenzao CCM wanafanya kupokezana kusiko rasmi, kitu kinachokifanya chama kionekane kama ni cha dini na watu wote. Wao CDM uongozi wa juu na wagombea wote toka kianzishwe ni wakristo tu. Kwa namna hiyo hakitaweza kabisa kushika dola. Hapo Fatma anawasaidia na si kuwaponda. CDM haina siasa za akili kabisa. Ichangamke na kubadilika. 2025 iweke mgombea Muislamu.
 
Kasema ukweli wapi? Kwa mtu mwenye hekima hakutakiwa kusema vile. Ndiyo maana leo karekebisha, kasema sukari itapatikana mwezi ujao. Kusema itapatika by Ramadhani ni kama inaonyesha ramadhani ni muhimu sana hivyo sukari lazima ipatikane ila kwa sasa tuvumilie
siasa za udini ni kujizika.
 

"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Chadema honestly ni ngumu kushinda uchaguzi kwa tanzania hata kukiwa na katiba mpya , hamuwezi mkakiweka chama kwenye sura ya kifamilia na kikanda halafu ukategemea kura kutoka tanzania nzima kama wapo serious wafanyie kazi hili for there own good
 
Nilijua tu Kuna siku, Unabii fake wa Lema ungeki-cost CHADEMA.

Kwa akili finyu za Lema, uelewa wake kuhusu dini ni kipimo kwa watu wote!

Kapotea yeye, na anawapoteza wengine!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Ulimsikiliza Peke yako? Hao Waislamu wanaosema CHADEMA inampinga Samia sababu ni muislamu wakikemewa ndo unakuwa udini?
ndio udini wenyewe huo,
nawe waendelea kuusambaza mpaka kutaja majina na nyadhifa za wenye dini zao 🐒

IQ tulivu ni muhimu sana kwenye mambo haya 🐒
 
  • Thanks
Reactions: Tui
uvivu unachochea muhemko
kumbe hayo majambaz huko ccm na serikalin yanafanya kaz ila watz tunaoibiwa na kutopewa huduma stahiki ni wavivu wkt kodi mnachukua, mikopo mnakopa walipaji n sisi wananchi.
 
Back
Top Bottom