Shangwe zilizopigwa Israel ilipovamiwa siku ya kwanza zipo wapi, Mbona nguvu kubwa inatumika kumpigia magoti Isreal aache kujilinda (cease fire) ?

Shangwe zilizopigwa Israel ilipovamiwa siku ya kwanza zipo wapi, Mbona nguvu kubwa inatumika kumpigia magoti Isreal aache kujilinda (cease fire) ?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Njia pekee ya Israel kujilinda kwa sasa ni kutoa DOZI

Nakumbuka siku ya kwanza Israel ilipovamiwa, Hamas waliitwa kila aina ya majina ya kishujaa na shangwe zilipigwa sana kiasi kwamba watu hawa walianza kuota ndoto za mchana kwamba Israel inaenda kumezwa ?

Hali ya sasa ni tofauti kabisa, watu hao hao walioshabkia Hamas kuchinja na kuchukua mateka, Leo hii wanalalamika wanaonewa na nguvu kubwa inatumika kuomba vita iishe (cease fire).
 
Njia pekee ya Israel kujilinda kwa sasa ni kutoa DOZI

Nakumbuka siku ya kwanza Israel ilipovamiwa, Hamas waliitwa kila aina ya majina ya kishujaa na shangwe zilipigwa sana kiasi kwamba watu hawa walianza kuota ndoto za mchana kwamba Israel inaenda kumezwa ?

Hali ya sasa ni tofauti kabisa, watu hao hao walioshabilia Hamas kuua na kuchukua mateka, Leo hii wanalalamika wanaonewa na nguvu kubwa inatumika kuomba vita iishe (cease fire).

Ungekuwa naufaham wa angalau kutofautisha kati ya Hamas na Palestina Ungejua kuwa ulicho andika hakina umuhimu wowote
Kwa kukusaidia tu, Nguvu inatumika kuomba Marekani ambaye ndiye anawasaidia Waisrael waache kuua Wapelestina wasiokuwa na hatia...
Nyongeza: Waisrael 20% ni Waislam na waliobakia ni Jewish/ hakuna wakristo kule au niseme ni kwenye 1.8%
 
Ungekuwa naufaham wa angalau kutofautisha kati ya Hamas na Palestina Ungejua kuwa ulicho andika hakina umuhimu wowote
Kwa kukusaidia tu, Nguvu inatumika kuomba Marekani ambaye ndiye anawasaidia Waisrael waache kuua Wapelestina wasiokuwa na hatia...
Nyongeza: Waisrael 20% ni Waislam na waliobakia ni Jewish/ hakuna wakristo kule au niseme ni kwenye 1.8%
Vita haviko selective kama unavyofikiri, mashambulizi yanalenga kule projectiles zinapotokea, iwe ni Palestina au Hamas hilo litaangaliwa baadae.


Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Njia pekee ya Israel kujilinda kwa sasa ni kutoa DOZI

Nakumbuka siku ya kwanza Israel ilipovamiwa, Hamas waliitwa kila aina ya majina ya kishujaa na shangwe zilipigwa sana kiasi kwamba watu hawa walianza kuota ndoto za mchana kwamba Israel inaenda kumezwa ?

Hali ya sasa ni tofauti kabisa, watu hao hao walioshabilia Hamas kuua na kuchukua mateka, Leo hii wanalalamika wanaonewa na nguvu kubwa inatumika kuomba vita iishe
Itakuwa mfayagia Kanisa wewe. Hamas walipovamia Israel walikua wanalipa kisasi na hajaua watoto. Lkn marekani na Israel baada kupigana na hamas anapigana na watoto wa changa. Hivi vita ni vya kidini dhidi ya waislam duniani
 
Njia pekee ya Israel kujilinda kwa sasa ni kutoa DOZI

Nakumbuka siku ya kwanza Israel ilipovamiwa, Hamas waliitwa kila aina ya majina ya kishujaa na shangwe zilipigwa sana kiasi kwamba watu hawa walianza kuota ndoto za mchana kwamba Israel inaenda kumezwa ?

Hali ya sasa ni tofauti kabisa, watu hao hao walioshabilia Hamas kuua na kuchukua mateka, Leo hii wanalalamika wanaonewa na nguvu kubwa inatumika kuomba vita iishe (cease fire).
Iran kawaingiza cha Kike Hamas, kawapa Silaha, kawaambia Lianzisheni then mimi ntaingilia kati, safari hii, lazima tuifute Israel, Baada ya Mashambulizi kuanza...!

Marekani kwa kujua kila Mipango ilopangwa na Irani, alichofanya akasogeza lile Dude lake la Baharini, linaloweza kuifanya Bahari kuwa nchi Kavu!

Kinachoendelea ni Iran kubweka kama Mbwa Koko kila siku.
 
Ungekuwa naufaham wa angalau kutofautisha kati ya Hamas na Palestina Ungejua kuwa ulicho andika hakina umuhimu wowote
Kwa kukusaidia tu, Nguvu inatumika kuomba Marekani ambaye ndiye anawasaidia Waisrael waache kuua Wapelestina wasiokuwa na hatia...
Nyongeza: Waisrael 20% ni Waislam na waliobakia ni Jewish/ hakuna wakristo kule au niseme ni kwenye 1.8%
Hata hivyo hujajibu swali la huyo jamaa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Njia pekee ya Israel kujilinda kwa sasa ni kutoa DOZI

Nakumbuka siku ya kwanza Israel ilipovamiwa, Hamas waliitwa kila aina ya majina ya kishujaa na shangwe zilipigwa sana kiasi kwamba watu hawa walianza kuota ndoto za mchana kwamba Israel inaenda kumezwa ?

Hali ya sasa ni tofauti kabisa, watu hao hao walioshabilia Hamas kuua na kuchukua mateka, Leo hii wanalalamika wanaonewa na nguvu kubwa inatumika kuomba vita iishe (cease fire).

IMG_4087.jpg
 
Itakuwa mfayagia Kanisa wewe. Hamas walipovamia Israel walikua wanalipa kisasi na hajaua watoto. Lkn marekani na Israel baada kupigana na hamas anapigana na watoto wa changa. Hivi vita ni vya kidini dhidi ya waislam duniani
Hamas hawajaua watoto mbona hii dini yenu imejaa watu waongo eti na unafiki?

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Iran kawaingiza cha Kike Hamas, kawapa Silaha, kawaambia Lianzisheni then mimi ntaingilia kati, safari hii, lazima tuifute Israel, Baada ya Mashambulizi kuanza...!

Marekani kwa kujua kila Mipango ilopangwa na Irani, alichofanya akasogeza lile Dude lake la Baharini, linaloweza kuifanya Bahari kuwa nchi Kavu!

Kinachoendelea ni Iran kubweka kama Mbwa Koko kila siku.
Huna lolote unaongozwa na mapenzi yako kwa Israel The real situation in the battlefield ni tofauti. Wabongo wengi hamjui vita ni nini mnaongozwa na ushabiki tu.
 
Israel ni taifa la kigaidi,kibaraka wa Marekani na Uingereza
Hawana nguvu hiyo mnayowasifia,ni vile wanapigana na raia wasio na silaha.
Mungu wa Israel hii hawezi kuwa mungu tunayemuabudu
 
Israel ni taifa la kigaidi,kibaraka wa Marekani na Uingereza
Hawana nguvu hiyo mnayowasifia,ni vile wanapigana na raia wasio na silaha.
Mungu wa Israel hii hawezi kuwa mungu tunayemuabudu

Hehehe leo ndio mnajua ni magaidi, ile siku mlichekelea, tazama hizi video mbili, Mpalestina anachekelea akibtwatuka akbar akbar, baada ya kichapo analia lia
 
Njia pekee ya Israel kujilinda kwa sasa ni kutoa DOZI

Nakumbuka siku ya kwanza Israel ilipovamiwa, Hamas waliitwa kila aina ya majina ya kishujaa na shangwe zilipigwa sana kiasi kwamba watu hawa walianza kuota ndoto za mchana kwamba Israel inaenda kumezwa ?

Hali ya sasa ni tofauti kabisa, watu hao hao walioshabilia Hamas kuua na kuchukua mateka, Leo hii wanalalamika wanaonewa na nguvu kubwa inatumika kuomba vita iishe (cease fire).
Mkuki kwa nguruwe........!!!
 
Ungekuwa naufaham wa angalau kutofautisha kati ya Hamas na Palestina Ungejua kuwa ulicho andika hakina umuhimu wowote
Kwa kukusaidia tu, Nguvu inatumika kuomba Marekani ambaye ndiye anawasaidia Waisrael waache kuua Wapelestina wasiokuwa na hatia...
Nyongeza: Waisrael 20% ni Waislam na waliobakia ni Jewish/ hakuna wakristo kule au niseme ni kwenye 1.8%
Mkuu sio asilimia 20 bali 18.
Na hao waislamu sio wayahudi bali wapalestina waarabu waliochukua uraia wa israel.
Na pia huwezi kuwatenganisha wakrsto na wayahudi kwa sababu wakrsto wanatumia torati ya wayahudi kama kitabu chao kitakatifu.
NB: NI VYEMA UKATAFITI KULIKO USHABIKI USIO NA WELEDI
 
Itakuwa mfayagia Kanisa wewe. Hamas walipovamia Israel walikua wanalipa kisasi na hajaua watoto. Lkn marekani na Israel baada kupigana na hamas anapigana na watoto wa changa. Hivi vita ni vya kidini dhidi ya waislam duniani
Walaumu hamas wanaojificha nyuma ya watoto wakiogopa risasi nagwa.
 
Back
Top Bottom