TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

Aisee, poleni sana wafiwa. RIP sharo. Umeondoka ukiwa na umri mdogo sana.
 
Msiba ni kitu kingine haswa unapotokea kwa kijana mdogo kama Sharo kichwa kina roll nikiiifikiria kesho..............May God rest him in Peace......Kwa kweli msiba ni zaidi ya mawaidha
 
hatu like msiba,
tunampa like mleta habari kwa kutujuza.
Hv mchina hana like maana watu roho zawauma.


madam iq yako iko juu sana,,

mimi pia hua nashangaa sana wakati mwingne

yan kama kuna mdau kaleta habari ya kuhuzunisha tuseme kama ya kifo iv,mtu akilike ile thread au ile habari eti anahukumiwa kwamba kafurahishwa na ile habari had kaamua kuipa like kitu ambacho its soo nonsense,,mtu anakua amelike kwa kuguswa kwake kwa kuipata ile habari na sio kma kafurahishwa na taarifa ile ya simanzi,,ieleweke kiivo..
 
sasa ile pole uliyokuwa unanipa ilikuwa ya nini?
Me mwanamke naye mwanaume,kwani haiwezekani au kwa kuwa msanii?


na ningejua ya kwamba waumia kiivi hata ile pole yenyewe nisingekupa

nimegaili sasa,nishaifuta pole yangu,,

chukua hizo za wengne zikufariji,,ya kwangu,,mmh mmh,,hapana

nimeichukua pole yangu
 
Back
Top Bottom