johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unadhani kukubali kutoka bungeni ni jambo rahisi namna hiyo?..Mbowe angekuwa ndio kawa-sponsor basi kina Halima wangekuwa loyal kwake na wangekubali kutoka bungeni.
Cc The Palm Beach
Muulize Cecil Mwambe atakujuza!