GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Ndugu zao kama maandiko yao yanavyosema ALLAH aliumba wanadamu na majini wamsujuduDK 2 sekunde kuanzia ya 3..
"Kama nyinyi hampendi ondokeni msikitini nitabakia na majini, kuna majini yamekuja hapa"
N.b sijaelewa hapo kwamba majini huenda msikitini?
Acha upumbavu wewe sabaya na musiba hawakukaa madhabauni kufanya upumbavu waoAlichokifanya huyu Shekhe hakina tofauti na walichofanya akina Musiba, Sabaya na akina Hapi na wengineo.
Ni mwendelezo tu ili mradi kila mtu anakula upande wake.
Shekhe Huyu anatoa mameno ya kichochezi huku akijificha kuwa nyuma ya Rais Dr Samia.
Tunaamini haya hajatumwa na Rais
msikilize shehe wewe mwenyewe kwenye klipu hapo chini
Walichokifanya hata kama kilikuwa barabarani hakina tofauti na huyu.Acha upumbavu wewe sabaya na musiba hawakukaa madhabauni kufanya upumbavu wao
Wenyewe waliozianzisha walitutupia Jini tunagomaba sisi kwa sisi wao wanajali maendeleo tu.Dah tumekwisha wamatumbi, kifikra, kimwili na kiakili tunajiona tuna wenzetu huko mbali ulaya na mashariki ya kati huku tukidhani wale wa mbali ni ndugu zetu kutokana na imani kisha tunavurugana wenyewe hapahapa Tanzania .
Hizi dini za kuja kwa majahazi toka Mashariki ya Kati / Ghuba na merikebu kutoka ulaya tunazililia sana ila tukumbuke tuna za kwetu za mizimu ya mababu ambazo ndiyo zetu za asili tusizitupe tukaishia hatupo kule wala hapa kwetu na kukasa baraka nyingi za mizimu yetu
Kweli kabisa. Waislamu sio watu wa kuchekewa hata kidogo. Nchi nyingi zenye migogoro na machafuko ya kidini zilianzia huku huku kwenye kuchekea hii dini.Ngoja viongozi waendelee kuchukulia poa haya mambo ya kidini,mbegu inayopandwa sasa lazima itaota na itazaa!
Muda utazungumza
Shekh Ameshindwa kujikita kwenye vifungu vya Mkataba ameisgia kutukana tu.Dah tumekwisha wamatumbi, kifikra, kimwili na kiakili tunajiona tuna wenzetu huko mbali ulaya na mashariki ya kati huku tukidhani wale wa mbali ni ndugu zetu kutokana na imani kisha tunavurugana wenyewe hapahapa Tanzania .
Hizi dini za kuja kwa majahazi toka Mashariki ya Kati / Ghuba na merikebu kutoka ulaya tunazililia sana ila tukumbuke tuna za kwetu za mizimu ya mababu ambazo ndiyo zetu za asili tusizitupe tukaishia hatupo kule wala hapa kwetu na kukasa baraka nyingi za mizimu yetu
Aisee Naanza kuona Dalili mbaya.....ingawa na Wafuasi wa Magu nao walikuwa hivi hivi pia.Kweli kabisa. Waislamu sio watu wa kuchekewa hata kidogo. Nchi nyingi zenye migogoro na machafuko ya kidini zilianzia huku huku kwenye kuchekea hii dini.
Huyu mama akiendelea hadi 2030 hivi hivi kufumbia macho hili suala litaota mizizi na matokeo yake yatakuja kuwa mabaya sana.
Serikali inatakiwa itoke hadharani kukemea huu mgawanyiko wa kidini na ule upuuzi unaoendelea kule Znz
Mwenyewe amekwambia ni ya Waarabu waache wachukue chaoJuha kama jiwe!
Bandari ni mali yetu.
Ipo ardhini kwetu.
Ipo ndani ya mipaka yetu.
Anaropoka tu.Mwenyewe amekwambia ni ya Waarabu waache wachukue chao
Akili za machoko hiziShehe huyu kutoka msikiti wa Madina ambao haukuweza kujulikana mara moja mkoa ulipo, amesikika akiongea kwa ukali sana akiwananga wale wote wanaomtukana mama kwa sababu ya kuuza bandari kwa waarabu. “Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?” Ameuliza.
Shehe ameenda mbali zaidi kusema kwamba kipindi cha serikali ya Magufuli watu walikuwa kimya kwa sababu mtu yeyote aliyejitokeza kusema aliuawa na pia kuna baadhi ya wanasiasa waliikimbia nchi kwa kuhofia kuuawa.
Nisimalize utamu, hebu msikilize shehe wewe mwenyewe kwenye klipu hapo chini.
View attachment 2948109
MAONI YANGU
Huyu shehe namkubali lakini kitendo chake cha kuchanganya suala la kisiasa na uislamu sio vizuri. Hata kuifananisha serikali ya Magufuli na hii ya Samia kisa tu Samia ni muislamu na Mafuguli ni mkristo, ni suala lisilopendeza hata kidogo. Yeye angejikita tu kwenye hoja ya msingi bila kuingiza udini.
Nawasilisha.
Sasa leo ndio nimeamini mtu akiwa na damu ya utumwa basi atakuwa mtwana daima na hiyo laana inasogea mpaka vizazi na vizaziShehe huyu kutoka msikiti wa Madina ambao haukuweza kujulikana mara moja mkoa ulipo, amesikika akiongea kwa ukali sana akiwananga wale wote wanaomtukana mama kwa sababu ya kuuza bandari kwa waarabu. “Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?” Ameuliza.
Shehe ameenda mbali zaidi kusema kwamba kipindi cha serikali ya Magufuli watu walikuwa kimya kwa sababu mtu yeyote aliyejitokeza kusema aliuawa na pia kuna baadhi ya wanasiasa waliikimbia nchi kwa kuhofia kuuawa.
Nisimalize utamu, hebu msikilize shehe wewe mwenyewe kwenye klipu hapo chini.
View attachment 2948109
MAONI YANGU
Huyu shehe namkubali lakini kitendo chake cha kuchanganya suala la kisiasa na uislamu sio vizuri. Hata kuifananisha serikali ya Magufuli na hii ya Samia kisa tu Samia ni muislamu na Mafuguli ni mkristo, ni suala lisilopendeza hata kidogo. Yeye angejikita tu kwenye hoja ya msingi bila kuingiza udini.
Nawasilisha.
utaelewa hata kesho mkuu😄😄😄DK 2 sekunde kuanzia ya 3..
"Kama nyinyi hampendi ondokeni msikitini nitabakia na majini, kuna majini yamekuja hapa"
N.b sijaelewa hapo kwamba majini huenda msikitini?