Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Huo mwaka tayari Sultan wa Zanzibar alikuwa ameuza claim yake ya pwani ya Tanganyika kwa Wajerumani. Sasa waarabu gani hao walijenga bandari kwenye eneo la wadachi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inshort ni hivi waislam elimu ndo shidaShehe huyu kutoka msikiti wa Madina ambao haukuweza kujulikana mara moja mkoa ulipo, amesikika akiongea kwa ukali sana akiwananga wale wote wanaomtukana mama kwa sababu ya kuuza bandari kwa waarabu. “Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?” Ameuliza.
Shehe ameenda mbali zaidi kusema kwamba kipindi cha serikali ya Magufuli watu walikuwa kimya kwa sababu mtu yeyote aliyejitokeza kusema aliuawa na pia kuna baadhi ya wanasiasa waliikimbia nchi kwa kuhofia kuuawa.
Nisimalize utamu, hebu msikilize shehe wewe mwenyewe kwenye klipu hapo chini.
View attachment 2948109
MAONI YANGU
Huyu shehe namkubali lakini kitendo chake cha kuchanganya suala la kisiasa na uislamu sio vizuri. Hata kuifananisha serikali ya Magufuli na hii ya Samia kisa tu Samia ni muislamu na Mafuguli ni mkristo, ni suala lisilopendeza hata kidogo. Yeye angejikita tu kwenye hoja ya msingi bila kuingiza udini.
Nawasilisha.
Usiongee usichokijua kichwa cheupeMajini yanaswali kama kawaida ndo uislam unayaabudu.
Yes. Hii pia niliwahi kuisikia ikitamwa na shehe mmoja msikitini.Ndugu zao kama maandiko yao yanavyosema ALLAH aliumba wanadamu na majini wamsujudu
Hawa Dunia yote inajua hawanaga akiliShehe huyu kutoka msikiti wa Madina ambao haukuweza kujulikana mara moja mkoa ulipo, amesikika akiongea kwa ukali sana akiwananga wale wote wanaomtukana mama kwa sababu ya kuuza bandari kwa waarabu. “Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?” Ameuliza.
Shehe ameenda mbali zaidi kusema kwamba kipindi cha serikali ya Magufuli watu walikuwa kimya kwa sababu mtu yeyote aliyejitokeza kusema aliuawa na pia kuna baadhi ya wanasiasa waliikimbia nchi kwa kuhofia kuuawa.
Nisimalize utamu, hebu msikilize shehe wewe mwenyewe kwenye klipu hapo chini.
View attachment 2948109
MAONI YANGU
Huyu shehe namkubali lakini kitendo chake cha kuchanganya suala la kisiasa na uislamu sio vizuri. Hata kuifananisha serikali ya Magufuli na hii ya Samia kisa tu Samia ni muislamu na Mafuguli ni mkristo, ni suala lisilopendeza hata kidogo. Yeye angejikita tu kwenye hoja ya msingi bila kuingiza udini.
Nawasilisha.
Inferiority complex hata dini yao Ina utata, haijitosheleziHivi ni kwanini waislamu wanapenda sana mambo ya udini?
Ndio. Ila katika Dini ya Mnyaazi Mungu nayo ni Waumini wanaswali nao na wana mpaka Msikiti wao Special na Mengine yamejenga Msikiti huko Africa ya kati.Majini si ni mapepo??
Kwenye Uislam - Ndugu ya Muislam ni Muislam Mwenzake wengine wote ni Mafisi yasiostaili chochote ata uhai😭. So Wengine awana thaman ni Takataka tu....Kwanini baadhi ya ndugu zetu waislam wanawaabudu hivi waarabu? Hivi mtu kama huyu anaweza kumnyima kitu chochote muarabu akitaka? Si atampa tu? Naogopa sana kuwaza kama rais wetu naye msimamo wake ni huu. Asipokemea hawa na kujitenga na misimamo yao kwa waarabu itaonekana na yeye ni kama hawa mashehe kwa kinachoendelea nchini. Hawa jamaa hata muarabu akisema anaitaka Tanzania leo watajiunga naye kutuangamiza tusio wa imani hiyo. Utumwa huu wa fikra unatisha sana. Hivi muarabu ni Mungu kwao?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anadai kama kuna mtu hataki kusikiliza anayosema aondoke yeye atabaki na majini hapo msikitini. Eti yamekuja kusikiliza mawaidha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]DK 2 sekunde kuanzia ya 3..
"Kama nyinyi hampendi ondokeni msikitini nitabakia na majini, kuna majini yamekuja hapa"
N.b sijaelewa hapo kwamba majini huenda msikitini?
YeahNgoja viongozi waendelee kuchukulia poa haya mambo ya kidini,mbegu inayopandwa sasa lazima itaota na itazaa!
Muda utazungumza
Ndio. Ila katika Dini ya Mnyaazi Mungu nayo ni Waumini wanaswali nao na wana mpaka Msikiti wao Special na Mengine yamejenga Msikiti huko Africa ya kati.
View: https://m.youtube.com/watch?v=0l7ApAQOPek
View: https://m.youtube.com/watch?v=jPi5CicFiyk
Elimu changamoto sanaa,Shehe huyu kutoka msikiti wa Madina ambao haukuweza kujulikana mara moja mkoa ulipo, amesikika akiongea kwa ukali sana akiwananga wale wote wanaomtukana mama kwa sababu ya kuuza bandari kwa waarabu. “Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?” Ameuliza.
Shehe ameenda mbali zaidi kusema kwamba kipindi cha serikali ya Magufuli watu walikuwa kimya kwa sababu mtu yeyote aliyejitokeza kusema aliuawa na pia kuna baadhi ya wanasiasa waliikimbia nchi kwa kuhofia kuuawa.
Nisimalize utamu, hebu msikilize shehe wewe mwenyewe kwenye klipu hapo chini.
View attachment 2948109
MAONI YANGU
Huyu shehe namkubali lakini kitendo chake cha kuchanganya suala la kisiasa na uislamu sio vizuri. Hata kuifananisha serikali ya Magufuli na hii ya Samia kisa tu Samia ni muislamu na Mafuguli ni mkristo, ni suala lisilopendeza hata kidogo. Yeye angejikita tu kwenye hoja ya msingi bila kuingiza udini.
Nawasilisha.
Kwenye Uislam - Ndugu ya Muislam ni Muislam Mwenzake wengine wote ni Mafisi yasiostaili chochote ata uhai😭. So Wengine awana thaman ni Takataka tu....
View: https://m.youtube.com/watch?v=YKteg74cwmI
HAKI ZA MUISLAMU JUU YA NDUGU YAKE MUISLAMU.
**Mtume(S.A.W) amesema :" haki za muislam juu ya waislamu (wenzake) ni sita(6) ; Kumtembelea mgonjwa, kukubali mialiko, kumsaidia mwenye ku...mrsihesa.blogspot.com