Shehe: Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?

Shehe: Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?

Shehe huyu kutoka msikiti wa Madina ambao haukuweza kujulikana mara moja mkoa ulipo, amesikika akiongea kwa ukali sana akiwananga wale wote wanaomtukana mama kwa sababu ya kuuza bandari kwa waarabu. “Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?” Ameuliza.

Shehe ameenda mbali zaidi kusema kwamba kipindi cha serikali ya Magufuli watu walikuwa kimya kwa sababu mtu yeyote aliyejitokeza kusema aliuawa na pia kuna baadhi ya wanasiasa waliikimbia nchi kwa kuhofia kuuawa.

Nisimalize utamu, hebu msikilize shehe wewe mwenyewe kwenye klipu hapo chini.


View attachment 2948109

MAONI YANGU
Huyu shehe namkubali lakini kitendo chake cha kuchanganya suala la kisiasa na uislamu sio vizuri. Hata kuifananisha serikali ya Magufuli na hii ya Samia kisa tu Samia ni muislamu na Mafuguli ni mkristo, ni suala lisilopendeza hata kidogo. Yeye angejikita tu kwenye hoja ya msingi bila kuingiza udini.

Nawasilisha.
Kwa hiyo huyu fala tusadiki kwamba katumwa na Samia, siyo?
 
Sasa tukisema tuwauzie wakoloni wetu vitu vyao hata Tanzania yenyewe yote tutawapa Wajerumani maana mipaka ya Tanzania ilivyo ni matokeo ya pilika za Mjerumani. Huyu Sheikh atasema nini kwa hilo? Hakukua na nchi inaitwa Tanzania yenye mipaka kama tuijuavyo kabla ya Mjerumani. Na jina tutabadili tujiite Ujerumani ya Afrika Mashariki

Kuwa na kichwa bila akili ni sawa na kubeba mzigo wa mawe kichwani
 
Shehe huyu kutoka msikiti wa Madina ambao haukuweza kujulikana mara moja mkoa ulipo, amesikika akiongea kwa ukali sana akiwananga wale wote wanaomtukana mama kwa sababu ya kuuza bandari kwa waarabu. “Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?” Ameuliza.

Shehe ameenda mbali zaidi kusema kwamba kipindi cha serikali ya Magufuli watu walikuwa kimya kwa sababu mtu yeyote aliyejitokeza kusema aliuawa na pia kuna baadhi ya wanasiasa waliikimbia nchi kwa kuhofia kuuawa.

Nisimalize utamu, hebu msikilize shehe wewe mwenyewe kwenye klipu hapo chini.


View attachment 2948109

MAONI YANGU
Huyu shehe namkubali lakini kitendo chake cha kuchanganya suala la kisiasa na uislamu sio vizuri. Hata kuifananisha serikali ya Magufuli na hii ya Samia kisa tu Samia ni muislamu na Mafuguli ni mkristo, ni suala lisilopendeza hata kidogo. Yeye angejikita tu kwenye hoja ya msingi bila kuingiza udini.

Nawasilisha.
Una maoni gani? THE BIG SHOW
 
“Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?” Ameuliza.
Rasilimali zetu walizoiba anazijua?
Yeye mwenyewe ni mabaki ya waarabu haohao
 
Hawa jamaa hata waseme nini mimi huwa nawachekaga tu coz najua shule kichuani hakuna ila jazba. Wengi wana maisha magumu yanawapelekea kuwa na hasira muda wote, mtu ana hali mbaya wake 4 watoto kama utitiri elimu kayumba hicho sini kizazi cha kajamba nani mwanzo mwisho? Alikopita baba ndipo wanapokuja kupita watoto.
Wacha kukariri eti wana maisha magumu
 
Ngoja viongozi waendelee kuchukulia poa haya mambo ya kidini,mbegu inayopandwa sasa lazima itaota na itazaa!

Muda utazungumza
Hakuna kitu kama hicho hapa Tanzania 🇹🇿 !
Nyerere alifanya kazi kubwa ya kuwafanya Watanzania wawe ni kitu kimoja na kila mtu na imani yake. !!

Hao wanaobwatuka mitandaoni hawana uwezo wowote wa kuanzisha chochote kibaya katika Nchi hii. !

Chezea kila kitu lakini usijaribu kuchezea Amani ya Nchi hii !
Hata wa Dini yako watakugeuka !! 🙏🙏
 
Shehe huyu kutoka msikiti wa Madina ambao haukuweza kujulikana mara moja mkoa ulipo, amesikika akiongea kwa ukali sana akiwananga wale wote wanaomtukana mama kwa sababu ya kuuza bandari kwa waarabu. “Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?” Ameuliza.

Shehe ameenda mbali zaidi kusema kwamba kipindi cha serikali ya Magufuli watu walikuwa kimya kwa sababu mtu yeyote aliyejitokeza kusema aliuawa na pia kuna baadhi ya wanasiasa waliikimbia nchi kwa kuhofia kuuawa.

Nisimalize utamu, hebu msikilize shehe wewe mwenyewe kwenye klipu hapo chini.


View attachment 2948109

MAONI YANGU
Huyu shehe namkubali lakini kitendo chake cha kuchanganya suala la kisiasa na uislamu sio vizuri. Hata kuifananisha serikali ya Magufuli na hii ya Samia kisa tu Samia ni muislamu na Mafuguli ni mkristo, ni suala lisilopendeza hata kidogo. Yeye angejikita tu kwenye hoja ya msingi bila kuingiza udini.

Nawasilisha.
Si ndiyo huyu anayetumiwa na Mkwere kunanga kwamba JPM hana uhusika hata chembe kwenye ule msikiti wa Bakwata Kinondoni?
Unafiki ni kipaji maana wanajiaminisha wapo sahihi kumbe wanadanganya saikolojia zao
 
Alichokifanya huyu Shekhe hakina tofauti na walichofanya akina Musiba, Sabaya na akina Hapi na wengineo.

Ni mwendelezo tu ili mradi kila mtu anakula upande wake.

Shekhe Huyu anatoa mameno ya kichochezi huku akijificha kuwa nyuma ya Rais Dr Samia.

Tunaamini haya hajatumwa na Rais
Freedom of expression !
Ni mawazo yake tu !
 
Shehe huyu kutoka msikiti wa Madina ambao haukuweza kujulikana mara moja mkoa ulipo, amesikika akiongea kwa ukali sana akiwananga wale wote wanaomtukana mama kwa sababu ya kuuza bandari kwa waarabu. “Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?” Ameuliza.

Shehe ameenda mbali zaidi kusema kwamba kipindi cha serikali ya Magufuli watu walikuwa kimya kwa sababu mtu yeyote aliyejitokeza kusema aliuawa na pia kuna baadhi ya wanasiasa waliikimbia nchi kwa kuhofia kuuawa.

Nisimalize utamu, hebu msikilize shehe wewe mwenyewe kwenye klipu hapo chini.


View attachment 2948109

MAONI YANGU
Huyu shehe namkubali lakini kitendo chake cha kuchanganya suala la kisiasa na uislamu sio vizuri. Hata kuifananisha serikali ya Magufuli na hii ya Samia kisa tu Samia ni muislamu na Mafuguli ni mkristo, ni suala lisilopendeza hata kidogo. Yeye angejikita tu kwenye hoja ya msingi bila kuingiza udini.

Nawasilisha.
Kwanini baadhi ya ndugu zetu waislam wanawaabudu hivi waarabu? Hivi mtu kama huyu anaweza kumnyima kitu chochote muarabu akitaka? Si atampa tu? Naogopa sana kuwaza kama rais wetu naye msimamo wake ni huu. Asipokemea hawa na kujitenga na misimamo yao kwa waarabu itaonekana na yeye ni kama hawa mashehe kwa kinachoendelea nchini. Hawa jamaa hata muarabu akisema anaitaka Tanzania leo watajiunga naye kutuangamiza tusio wa imani hiyo. Utumwa huu wa fikra unatisha sana. Hivi muarabu ni Mungu kwao?
 
Waislam wako njema sana kwenye dini yao, natamani sana siasa zisiwachote na kuwatenganisha.

Kuna waislam wenzake walioneemeka enzi za Magu, hao wasemaje. !!?
 
Back
Top Bottom