La hasha huyu Shehe na wenzake wa BAKWATA hawatuongelei sisi Waisilamu hawa ni Mashehe wa kuwaogesha dawa na kuwafunga Hirizi za vigogo wa CCM.Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.
Mimi ni Ansar Suna aliyekubuhu.Wewe utakuwa kafir!
Acha kuhusisha ujinga wa watu binafsi na taasisi kwa sababu issue hapo sio dini bali mtu akishakuwa Msukule wa Lumumba tu, haijalishi yupo kwenye imani ipi lakini kitakachofuata kwake ni kuenenda mithili ya hayawani!Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.
Ajibu hoja badala ya kutoa povu zito.
Hao viongozi wote wawili wamesoma, ndio, wamesoma kweli kweli. Sheikh Muhamad Eid kwa mfano, ana darsa mbali mbali anafundisha na kutoa mawaidha.Mimi kama muislam nawapongeza sana wakatolik. Ili uwe kiongozi kule unatakiwa umesoma kweli kweli. Unakua kwanza na heshima katika jamii. Hata wakiwa wanafanya vitendo vya ajabu kule kulawiti vitoto vidogo issues kama hizo zinakua dealt with professionally.
KMMK njoo sasa kwa hawa maustadh uchwara waliosoma Madrassa pekee uelewa mdogo. They have never gone places. Hatuoni wakitoa mawaidha kwa waislam tukaelimika. Wamekalia matumbo yao tu.
Migogoro ikitokea utaona their true colours. Vijembe. Taarab. Kujifanya kujua. Useless dimwits,
Shehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.
Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.
Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.
CCM kumekucha kwa kweli.
Maendeleo hayana vyama!
Huyo hana tofauti na yule Mhutu aliyeambulia kura moja kule Kawe.Jikite kwenye mjadala zwazwa.
Spana za Lissu siyo za kitoto hadi watu wanataka kutoana roho,wengine hadi kuzikana imani zaoCcm ikasuluhishe ndio chanzo cha yote hayo wameshindwa Kampeni Lissu anawapeleka peleka wanaamua kuingiza dini wakidhani itawasaidia.
Ni kweli hata mimi nimecheka sana ππMkuu tuwekee hiyo clip tuongeze siku za kuishi kwa vicheko
Pohamba kashika kidevuYeye hana njaa yeye ana njaa tena Kali sana mpakaimetafuna ubongo wakeView attachment 1611072
Inavyoonekana hawa masheikh wanajuwana vizuri lakini mmoja anamuonea husda mwenzie πWatakuwa wamedhulumiana sehemu au wameingiliana kwenye issue zao maana hao wote ni jembe na nyundo
Kuna kitu Mange Kimambi aliwahi kusema.Shekhe Alhaj anaongea huku anajishebedua
"Hata wakiwa wanafanya vitendo vya ajabu kule kulawiti vitoto vidogo issues kama hizo zinakua dealt with professionally..."Mimi kama muislam nawapongeza sana wakatolik. Ili uwe kiongozi kule unatakiwa umesoma kweli kweli. Unakua kwanza na heshima katika jamii. Hata wakiwa wanafanya vitendo vya ajabu kule kulawiti vitoto vidogo issues kama hizo zinakua dealt with professionally.
KMMK njoo sasa kwa hawa maustadh uchwara waliosoma Madrassa pekee uelewa mdogo. They have never gone places. Hatuoni wakitoa mawaidha kwa waislam tukaelimika. Wamekalia matumbo yao tu.
Migogoro ikitokea utaona their true colours. Vijembe. Taarab. Kujifanya kujua. Useless dimwits,