Pangamalsy
Member
- Nov 22, 2021
- 40
- 37
Wapi Biblia ilikataza bwashe?
Umemaliza mjadala,huyo Sheikh Ubwabwa.Yupo Mwanamke anaitwa Balkiss,alikuwa mtawala,na Qur'an imetaja kisa chake.Na Qur'an haikupinga utawala wake.Shehe ubwabwa huyo!
Tunaku guarantee demokrasia lakini si matokeo ya demokrasia.Si tulikubaliana hapa hii ni awamu ya demokrasia na haki za binadamu?
Sukuma G Nendeni Pale Chato Mkajiingize Kaburini Kwa Mpenzwa wenuSikiliza mwenyewe.
View attachment 2173036
Umejuaje? Nyie si ndo huwa mnasema mke wa Ibrahim alimzaa isaka akiwa na miaka 99?Mama amefika menopose. Acheni unaa
Mpuuzi tu kama wapuuzi wengineSikiliza mwenyewe.
View attachment 2173036
Nenda Uarabuni ukawaambie Rais awe mwanamke. Watakupopoa mawe. Sehemu nyingine uarabuni mwanamke haruhusiwi hata kuendesha gari ...wewe huifahamu dini... Waache masheikh wenye kuifahamu dini. Haya mambo huyafahamu kajitike kwenye mambo yenu.
Wengi watamuandama sheikh kwa aliyoyahubiri ila si maneno yake bali ni maneno ya Mtume Muhammad (sala na amani ziwe juu yake) .Na mtume wa Mungu hazungumzi kwa matamanio ya nafsi yake bali ni ufunuo kutoka kwa aliye juu zaidi, ALLAH subhana wa ta3ala.Sikiliza mwenyewe.
View attachment 2173036
Naomba kuunga mkono hoja shehe wangu mia kwa mia🙂 Wala huna haja ya kumwaga Ma - Sura wala Ma - Aya... Tunajionea wenyewe yanajiri na kuendelea nchini kwa sasa.Sikiliza mwenyewe.
View attachment 2173036
Usimzulie uingo Mtume Muhammad (pbuh).Unaposema hakulisema hilo jambo maana yake unamzushia kuwa hakufikisha kile alichofunuliwa na ALLAH.Mtume hajakataza wanawake kuongoza.Leo waislamu tunafuata hadithi(miongozo ya uislamu),kupitia Bi Aisha,na hata huyo Sheikh,kuna mambo ya mume na Mke,anayafundisha na kutafuta kupitia Bi Aisha.Bi Aisha ni Mwanamke sio mwanamme.
Maneno yako umeyatoa Kwenye kitabu gani???Sheikh yuko sahihi ...muislam Safi huwezi kuendeshwa Na mwanamke anaeingia hedhi ....Astaghfirullah laanatulillah
Hakuna hadithi sahihi inayosema kuwa Pepo ya mtu ipo chini ya nyayo za mama ake. Ikiwa una ushahidi wa hadithi sahihi naomba uiweke hapa watu waishuhudie.Katika uislamu,hakuna ambaye ataingia Peponi(Paradise),ila kupitia kwa Mwanamke(mama),ikiwa hukumtendea mema mama yako mzazi(Mwanamke)hata uwe Sheikh,au ufanye ibada gani,pepo huipati.Pepo katika uislamu,iko chini ya nyayo za mama(Mwanamke).Kwa hiyo uislamu umemtukuza Mwanamke(mama),ufunguo wa pepo
Mwanamke katika uislamu,kapewa nafasi kubwa sana,ya uongozi,huyo Sheikh ubwabwa,anataka uongozi gani tena.
Hata katika kulea,katika uislamu,atakaye walea vizuri watoto wake wa kike,mpaka akawafanya harusi zao,basi pepo,imebakia kwake kutenda mema mengine,na kufanyiwa wema wazazi wake(hasa mama)ambaye ni mwanamke.Mama katika uislamu,amepewa daraja zaidi,kumtendea mema kuliko baba.
Sheikh,ubwabwa huyu,hajui huo ndio uongozi,ataka uongozi tena.Huwezi kupata funguo ya pepo,mpaka umfanyiwe wema mama yako(ambaye ni mwanamke).
Ikiwa huyo anayejiita Sheikh,kama hakumfanyia wema mama yake(Mwanamke),ufunguo wa pepo,hataupata,hata afanye ibada vipi.Hapo Mwanamke ,katika uislamu,hajakuwa kiongozi wako?Kwa maana huwezi kuingia Peponi ,mpaka umfanyie wema mama(Mwanamke).
Haya mambo kiongozi wangu yanataka elimu ili uyajue. Inaonekana Uislamu huuji. Hawa wananukuu aya ambayo Wanawake walienda kuunga mkono Uongozi wa Mtume siyo wao wawe viongozi. Sababu mitume na manabii wote huwa ni wafikisha habari na muda huo huo huwa ni viongozi wa juu kwa watu au hata huwa Wafalme kama ilivyo kwa nabii Suleyman.naunga mkono hoja, ni kweli kuna baadhi ya Masheikh ni Masheikh ubwabwa.
Sheikh wa ukweli ni huyu
P
Mbona kama unatetea sana mkuu. Kwani hakuna ukweli hapo?! Wewe nyumbani kwako mkeo ndio 100% final decision maker??Huyu Sheikh ni male chauvinist, analeta mambo ya male chauvinism ya kuwabagua Wanawake.
Hapa aitwe Sheikh Mkuu, kulifafanua hili na ikibidi huyu Sheikh avuliwe usheikh.
Mafundisho ya kweli ya Uislamu kuhusu mwanamke wa Kiislamu na uongozi ni haya
P