Katika uislamu,hakuna ambaye ataingia Peponi(Paradise),ila kupitia kwa Mwanamke(mama),ikiwa hukumtendea mema mama yako mzazi(Mwanamke)hata uwe Sheikh,au ufanye ibada gani,pepo huipati.Pepo katika uislamu,iko chini ya nyayo za mama(Mwanamke).Kwa hiyo uislamu umemtukuza Mwanamke(mama),ufunguo wa pepo
Mwanamke katika uislamu,kapewa nafasi kubwa sana,ya uongozi,huyo Sheikh ubwabwa,anataka uongozi gani tena.
Hata katika kulea,katika uislamu,atakaye walea vizuri watoto wake wa kike,mpaka akawafanya harusi zao,basi pepo,imebakia kwake kutenda mema mengine,na kufanyiwa wema wazazi wake(hasa mama)ambaye ni mwanamke.Mama katika uislamu,amepewa daraja zaidi,kumtendea mema kuliko baba.
Sheikh,ubwabwa huyu,hajui huo ndio uongozi,ataka uongozi tena.Huwezi kupata funguo ya pepo,mpaka umfanyiwe wema mama yako(ambaye ni mwanamke).
Ikiwa huyo anayejiita Sheikh,kama hakumfanyia wema mama yake(Mwanamke),ufunguo wa pepo,hataupata,hata afanye ibada vipi.Hapo Mwanamke ,katika uislamu,hajakuwa kiongozi wako?Kwa maana huwezi kuingia Peponi ,mpaka umfanyie wema mama(Mwanamke).