inaoneka wakristo hamkufurahishwa kabisa na masheikh kuachiwa huruMhubiri dini ya Mtume wenu sasa! na siyo kuhamasisha vitendo vya uvunjifu wa amani kwa kisingizio cha kutaka kuvunjwa kwa Muungano!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inaoneka wakristo hamkufurahishwa kabisa na masheikh kuachiwa huruMhubiri dini ya Mtume wenu sasa! na siyo kuhamasisha vitendo vya uvunjifu wa amani kwa kisingizio cha kutaka kuvunjwa kwa Muungano!
Huwa hatupendi shari! Tatizo lenu huwa mnapenda sana vurugu! Kuua watu kwa mgongo wa dini, nk!! Kifupi tu Waarab wamewaharibu sana mind set zenu.inaoneka wakristo hamkufurahishwa kabisa na masheikh kuachiwa huru
Dikteta alikuwa anatoa amri wafanyiwe torturing
Sheikh Farid: Tunamshukuru Mwenyezi Mungu, kiufupi tunashukuru sisi tumeachiwa lakini huu ni mwanzo mwema ya busara ya marais wetu, Rais wa Zanzibar na Rais wa Tanzania, Amiri Jeshi mkuu, mama Samia Suluhu. Wamefanya busara kubwa sana kuondoa hii hali ya mtanziko ya muda mrefu sana wa hii Kesi.
Sheikh Mselem: Tumechukuliwa Gerezani jana Usiku, Maghrib na Insha tumeswali palepale gerezani, tumechanganywa na baada ya kuswali Maghribi tumetoka zetu tukaja Airport.
Airport tumeingia kwenye ndege ilikuwa iko faragha, tumefika zetu hapa tumefikia VIP ya zamani, ndege imekaa peke yake, hakuna mtu zaidi ya wenyewe na tulivyotoka pale kila mtu akaingia kwenye gari lake, akaulizwa nikupeleke wapi?
Mzee Mselem nikupeleke kwa mke wa kwanza, wa pili, wa tatu? Nikawaambia kwanza naenda kwetu, muda mrefu sijafika, nikayasome matatizo, ya kutatua nitatue na mengine alafu ndio nitaanza tena kwenda.
Hatukupewa waraka wowote.
Amiin amiinMUNGU mbariki mama samia,
Mungu mbariki raisi Mwinyi,
Mungu mbariki DPP,
MUNGU MSHUGHULIKIE JIWE.
Mungu ibariki Tanzania
Nao wawalipe wahanga wa mauaji waliyoyaendesha kwa kupitia mlango wa uamushoWalipwe fidia.
Wameonewa sana hawa jamaa.
Haya tumeyataka wenyewe WatanganyikaHii kesi hii,ni kama mtego kwa mama samia,
Sasa tuambiwe walikuwa na kosa?au uzanzibar na uislam wa Raisi aliyepo umechangia hawa kuachiwa?
Tusipokuwa makini tunaweka "mfano mbaya,huko mbele tutapata tabu sana.
Unawashwa sana wewe mkoloni Koko huna cha kufanya HAKI YETU MZATUPA TIUMhubiri dini ya Mtume wenu sasa! na siyo kuhamasisha vitendo vya uvunjifu wa amani kwa kisingizio cha kutaka kuvunjwa kwa Muungano!
Takribiriiiiiiii.....Sheikh Farid man of the match TAKIBIRIIIIIIII....sasa ukae kwa kutulia.
Wewe ndiyo Mungu?Wakirudia this time hamna jela, ni kupotezwa mazima
Basi Dua za hao Mashekhe ndio zimemuondoa yule IbilisiDikteta alikuwa anatoa amri wafanyiwe torturing
Naunga mkono Hoja, hebu fikiria familia zao Watoto hawamuoni Baba au Mama kakaa Gerezani kwa kukosa Dhamana,Sheria kandamizi lazima tuzifute wajameni.DPP afute kesi zote zinazongoja ushahidi kukamilika kama watuhumiwa wamekaa zaidi ya miaka 3 mahabusu kwa kusubiria ushahidi kukamilika.