imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Sio JK naongelea yule Ibilisi Baba yake na SabayaJK.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio JK naongelea yule Ibilisi Baba yake na SabayaJK.?
Dikteta alikuwa anatoa amri wafanyiwe torturing
Hao mashehe si aliwafunga Jk?Sio JK naongelea yule Ibilisi Baba yake na Sabaya
Usitumie nguvu nyingi kumuelewesha yule aliechagua kuwa mtumwa na punguaniHivi kweli kama wanahusika na jinai hizo serikali ilishindwa kuwafungulia mashtaka wahukumiwe? Mbona walishikiliwa gerezani kwa tuhuma za ugaidi?
Bila shaka serikali ilitunga tuhuma za uongo na hata tuhuma za kuwamwagia watu tindikali ilifanywa na ma-agent wa serikali wasiojulikana! Mambo mengi mabaya yamefanywa na serikali nyuma ya mgongo wa wasiojulikana!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mr ribsAmbariki nini?
Labda gunia la chawa
Acha kutetea magaidiHivi kweli kama wanahusika na jinai hizo serikali ilishindwa kuwafungulia mashtaka wahukumiwe? Mbona walishikiliwa gerezani kwa tuhuma za ugaidi?
Bila shaka serikali ilitunga tuhuma za uongo na hata tuhuma za kuwamwagia watu tindikali ilifanywa na ma-agent wa serikali wasiojulikana! Mambo mengi mabaya yamefanywa na serikali nyuma ya mgongo wa wasiojulikana!
[emoji116]Naomba ututilie nukuu moja tu kutoka kwao inayohuniri uvunjifu wa amani.
Kuhudu tindikali hiyo ni assumption zako tu, hawajawahi kushukiwa, kushitakiwa ama kuhukumiwa kwa kosa la tindikali navyombo vinavohusika. Wewi ni kama nani hata uwahukumu kwa kosa la tindikali? Wacha chuki zisizo na tija kwa kuendekeza tumbo lako!
Pumbavu wewe kwani magufuli ndo aliyewafunga hao mashekh ubwabwa wako!!?? Punguza chuki zakijinga utapelekewa moto mjini hapa.MUNGU mbariki mama samia,
Mungu mbariki raisi Mwinyi,
Mungu mbariki DPP,
MUNGU MSHUGHULIKIE JIWE.
Mungu ibariki Tanzania
Kama hakuna ushahidi wa kuwafunga wewe ulitegemea nini kifanyike?Hii kesi hii,ni kama mtego kwa mama samia,
Sasa tuambiwe walikuwa na kosa?au uzanzibar na uislam wa Raisi aliyepo umechangia hawa kuachiwa?
Tusipokuwa makini tunaweka "mfano mbaya,huko mbele tutapata tabu sana.
kutoka maktaba ubarikiwe sana mkuu[emoji116]View attachment 1820878
[emoji106]Amshughulikie kwa kumbariki Safi sana
WanapumzkaMihadhara yetu inaendelea au wanapumzika ?
Punguza mihemko mkuu,Pumbavu wewe kwani magufuli ndo aliyewafunga hao mashekh ubwabwa wako!!?? Punguza chuki zakijinga utapelekewa moto mjini hapa.
Boya, jiwe hakuwafunga hao masheikh, ujinga ujinga tuMUNGU mbariki mama samia,
Mungu mbariki raisi Mwinyi,
Mungu mbariki DPP,
MUNGU MSHUGHULIKIE JIWE.
Mungu ibariki Tanzania
Duuuuh[emoji116]View attachment 1820878
Ni haki yenu kuukataa Muungano! Lakini tatizo linakuja pale mnapotumia njia zisizofaa! Kuua raia wasio na hatia, kuwamwagia Wakristu tindikali au kuchoma nyumba zao za ibada, kwa mgongo wa kuukataa Muungano, ni jambo lisilo kubalika kwa wapenda amani.
Walipwe fidia au watubu na wasirudie tena?Walipwe fidia.
Wameonewa sana hawa jamaa.
Muungano ukivunjika, wewe unapata faida gani?Muungano ukivunjwa wewe una hasara gani?