Sheikh Farid: Tunashukuru tumeachiwa ni mwanzo mwema wa Rais Mwinyi na Samia

Tanzania KWANZA....

HARAKATI ZOZOTE hazina thamani ya kuzidi uwepo wa TANZANIA.....

#KaziInaendelea
#NchiKwanza
 
Hawa magaidi wameachiwa kwa sababu ya dini yao .... Lazima kosa hili liwagharimu watu na serikali..yaani mkawaalika na wamarekani kuwasaidia leo hii mnasema hawana hatia ...
Hawa ni magaidi na magaidi huwa wanawekwa kizuizini milele
 
Hii kesi hii,ni kama mtego kwa mama samia,
Sasa tuambiwe walikuwa na kosa?au uzanzibar na uislam wa Raisi aliyepo umechangia hawa kuachiwa?
Tusipokuwa makini tunaweka "mfano mbaya,huko mbele tutapata tabu sana.
 
Hii kesi hii,ni kama mtego kwa mama samia,
Sasa tuambiwe walikuwa na kosa?au uzanzibar na uislam wa Raisi aliyepo umechangia hawa kuachiwa?
Tusipokuwa makini tunaweka "mfano mbaya,huko mbele tutapata tabu sana.
Haya tumeyataka wenyewe Watanganyika
 
Aende kwanza nyumbani akitoka aende kwa mke wa kwanza kusuuza rungu alafu na kesho kwa nke wa pili na kesho kutwa kwa nke wa tatu dadekii[emoji3][emoji3]
 
DPP afute kesi zote zinazongoja ushahidi kukamilika kama watuhumiwa wamekaa zaidi ya miaka 3 mahabusu kwa kusubiria ushahidi kukamilika.
 
DPP afute kesi zote zinazongoja ushahidi kukamilika kama watuhumiwa wamekaa zaidi ya miaka 3 mahabusu kwa kusubiria ushahidi kukamilika.
Naunga mkono Hoja, hebu fikiria familia zao Watoto hawamuoni Baba au Mama kakaa Gerezani kwa kukosa Dhamana,Sheria kandamizi lazima tuzifute wajameni.
 
Yule bwana mdogo wa Mbeya somebody Idude nae ni vizuri akaachiwa akaungane na familia yake wote tunajua jela siyo kuzuri ahurumiwe!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…