Sheikh Mkuu amuombea dua Waziri Mkuu aoe mke wa pili

Waislamu ni watu wa hovyo sana imagine hilo jamaa kwakua lenyewe limevimbiwa na hela za CCM haoni mambo ya msingi ya kuwasemea wenzie anawaza kuongeza wigo wa ngono tu. Hii mijitu ni ya hovyo sana.
We jamaa kwa hiyo huyo sheikh njaa ndio anawakilisha wauslamu wote mpaka umeamua kuwatusi wote.

Huyo shekhe mpenda bahasha za kaki kajisemea mwenyewe hajawakilisha waislamu hapo.
 
Huyu Sheikh ni mjinga wa mwisho. Yani aibu kwa waislamu. undahani Mke wa Majaliwa Kajisikiaje. Sheikh shetani wa hedi.
 
Hata kawaida ukitaka ongeza mke lazma uombe ridhaa ya mke aliepo. Hapa huyu Sheikh mzinzi anashauri nini. Waislamu heshimuni haki za wanawake na wao ni binadamu pia. UISLAMU UNAONGOZA KUDHARAU WANAWAKE. ACHENI HUO USHETANI? POVU RUXAAA.
 
Huyo shekhe naye yani kuoa ndo agenda ya maana sana kwake
 
Huyu Sheikh dua yake haiwezi sikilizwa. Huyu alikuwa akiamtukuza sana jiwe. Imani yake haba saba
 
Hii mbona kama Majaliwa kajipigia pass akutane nayo mbele
 
Kweli Dar kibwa eti mke wa kasimu anaitwa Marry. Pm is it okay?
 
Kweli Dar kibwa eti mke wa kasimu anaitwa Marry.
 
nawashangaa sana wanao mbeza shek,
moja ya jukumu la mashek na hata Wachungaji ni kuwahubiria neno la Mungu waumini wao, Shek katimiza jukumu lake sioni kosa lolote alilo lifanya, hajatukana wala hajatoa maoni yake bali ni kwa mijibu wa Imani yake na aliye lengwa ni muumini wake sasa sisi wengine tusio husika tunakerwa na nini?!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…