Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum atenguliwa

Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum atenguliwa

Hapo Dr Mwaka katembeza pilau kwa wazee wa ubwabwa wamwage mwenzao...

Mwosha huoshwa!! Alhadi Mussa Salum alipenda sana ubwabwa, alikua tayari hata kutoa roho wenzie kisa ubwabwa... leo ubwabwa umemng'oa mamlakani.
 
Hapo Dr Mwaka katembeza pilau kwa wazee wa ubwabwa wamwage mwenzao...

Mwosha huoshwa!! Alhadi Mussa Salum alipenda sana ubwabwa, alikua tayari hata kutoa roho wenzie kisa ubwabwa... leo ubwabwa umemng'oa mamlakani.
Tafadhali mkuu Rungwe kakasirika sana baada ya kuiona hii post yako kuhusu ubwabwa
 
Leo tarehe 2/2/2023 baraza la waislam tanzania BAKWATA limemvua cheo cha ushekhe wa mkoa wa daresalam aliyevunja ndoa ya dk mwaka,

Nakumbuka alishawahi kumwambia mange kimambi atamsomea dua uzulike
Kama ni kweli fisadi na wababaishaji wamerejea madarakani ngazi zote. Huyo mwaka anayejidai ni daktari msomi hawezi kusababisha shekhe wa mkoa wa dsm avuliwe madaraka.
 
UTV wanalipoti muda huu kuwa shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alhaji ISSA salimu ametolewa kwenye nafasi yake sio tena shekhe wa mkoa


Baraza la waislamu BAKWATA limfuta kazi kutokana na mienendo isiyofaa aliyoionesha tangu siku za nyuma na kufuatia kulumbana na baraza la Maulamaa

Juzi vyombo vya habari hapa nchini vilimnukuu akisema yeye augombani uongozi wa juu wa BAKWATA wa kitaifa


Huu isiwe ile vita na mke wa mtu na wale Maulamaa walivyomkalia kooni

USSR
View attachment 2504080
Rafiki yake Makonda😅😅
 
Back
Top Bottom