Sheikh Mkuu wa Tanzania: Muislam hajiendei endei tu,bila amani na utulivu hatuwezi kufanya Ibada zetu na kuishi vyema

Sasa kama katoa ujumbe wa mafumbo hivyo unamgusa nani? Si kila mmoja ataona haumhusu, au kalenga mahali fulani? Ujumbe lazima ulenge audience (hadhira). Kama ujumbe ni kwa X, then exclude Y au kama ni kwa X na Y, then tuonyeshe hivyo.
 
CCT na TEC ikaanzishwa na waumini baada ya hiyo BAKWATA kuanzishwa na serikali ?!! 😲😲

Hoja dhaifu sana mzee wangu....

Taasisi zote zina ITHIBATI na leseni kutoka serikalini....

Nitajie taasisi ambayo haina leseni halali kutoka serikalini ?!!

Lini serikali imekuwa mbaya kuyasimamia maslahi ya taifa letu?!!

Lini ?!!
 
Sasa kama katoa ujumbe wa mafumbo hivyo unamgusa nani? Si kila mmoja atapona haumhusu, au kaulenga mahali fulani? Ujumbe lazima ulenge audience (hadhira). Kama ujumbe ni kwa X, then exclude Y au kama ni kwa X na Y, then tuonyeshe hivyo.
Nimemsikiliza vyema....

Kauli ya Quran "enyi waumini muwe makini-ulil al baab".
...."enyi waumini hamtafakari-afalaa yatafakkarun".

".... pindipo inapowajia hoja ichunguzeni kwanza ili msije mkadhuru wasio na hatia...".

👆👆👆👆👆

Mufti amepita humo.....una jengine ?!!

#Nchi Kwanza😍
#Amani na utulivu 😍
 
Bakwata pale kinondoni walikuwa wanapeperusha BENDERA ya CCM
 
...mtume SAW amezaliwa "mwezi 12 mfunguo sita" na leo ndio tunamuadhimisha....ulitaka mufti ayasemee hayo kabla ya tarehe hii?!!😲

Uislam hautaki mtu kujiendea endea tu....
Wakati watu wanatekwa na kuuwawa, yuko kimya,. Sasa sijui hui ndio uislamu?!
 
Hawa ndiyo huwa wanatamba wemepigania uhuru wa Tanganyika....ni vichekesho tu....ila ya Gaza yanawauma saana
 
waislamu wa siku hizi waoga waoga sana, mbna kna Muhhamad waliingia vitani kupigania haki "Jihad"
 
Hawa ndiyo huwa wanatamba wemepigania uhuru wa Tanganyika....ni vichekesho tu....ila ya Gaza yanawauma saana
Makabila yote yalipigania Uhuru wa Tanganyika....makabila hayo yako ndani ya TEC ,yako ndani ya BAKWATA na taasisi nyinginezo.....

Masuala makubwa hayataki fikra za "kibubusa"....
 
Huyu anatetea tu tumbo lake hapo

Ova
 
Si kweli....

BAKWATA ni taasisi yetu waislamu kwa ajili ya maslahi yetu ya kidini.....acha "kujiendea endea "....
#Nchi Kwanza😍
Bakwata iliasisiwa na Mwenyeheri Julius Kambarage Nyerere 😂 wa Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹 Ili kulinda Amani!
 
Nami nilishuhudia hii strategy and it worked well in his favour. Taifa kwanza undugu uje baadaye, hata kama ni mwenzako akikisoea mwambie ukweli ndipo utakuwa unamsaidia ili ajisahihishe.
 
waislamu wa siku hizi waoga waoga sana, mbna kna Muhhamad waliingia vitani kupigania haki "Jihad"
....mtume SAW aliporejea vitani ,akawaambia maswahaba wake (radhiAllahu anhumma) kuwa "tumetoka katika Jihad ndogo* na tunaelekea katika jihad kubwa*....

Jihad kubwa * ni jihad ya nafsi....nafsi....nafsi.....nafsi....

Yaani mathalani kupinga vita UZINZI....USHOGA....ULAWITI....USAGAJI.....
 
QURAN TUKUFU INAMTAKA MUISLAM KUWA MAKINI SANA LINAPOKUJA JAMBO

Katika Quran, kuna aya inayosema kuhusu umuhimu wa kuchunguza habari kabla ya kuzipokea au kueneza. Aya hiyo inapatikana katika sura ya 49, aya ya 6:

"Enyi mliyoamini! Ikiwa mja mmoja kutoka kwenu anakuja na habari, ithibitisheni kwa uangalifu, ili msije mkawadhulumu watu kwa kukosea, na kisha mkawa wenye huzuni kwa yale mliyofanya."
Aya hii inasisitiza umuhimu wa kufanya uchunguzi na kuthibitisha ukweli wa taarifa kabla ya kueneza au kuamua juu yake. Hii ni kanuni muhimu kwa ajili ya kuhakikisha usahihi na haki katika maamuzi na vitendo vyetu.
 
Hivi huyo sheikh ana elimu gani nje ya elimu ya dini?
sio hoja ya msingi. dini X tunaambiwa nchi hii nido wenye alimu , lkn siku zote tunalalamika maisha magumu na rushwa imeenea na utekaji. swala hio elimu ya dini X imesaidia nini?
 
Comments reserved
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…