Sasa kama katoa ujumbe wa mafumbo hivyo unamgusa nani? Si kila mmoja ataona haumhusu, au kalenga mahali fulani? Ujumbe lazima ulenge audience (hadhira). Kama ujumbe ni kwa X, then exclude Y au kama ni kwa X na Y, then tuonyeshe hivyo.Amani na utulivu..
Ametuasa TUSIJIENDEE ENDEE tu....tusifuate mambo bila kujua undani wake.....
Tusipelekwe pelekwe tu kwani Uislam unataka tutumie vyema matumizi ya akili.....
Amesema ,tufahamu UMUHIMU WA AMANI na UTULIVU katika nchi.
#Nchi Kwanza😍
#Uwe na uchungu na nchi yako 😍
CCT na TEC ikaanzishwa na waumini baada ya hiyo BAKWATA kuanzishwa na serikali ?!! 😲😲BAKWATA ilianzishwa na Serikali kwa nia ya kuwadhibiti waislam kuhusiana na mambo ya kisiasa, na imeendelea hivyo mpaka leo.
Kuitegemea BAKWATA itoe kauli dhidi ya mambo yanayofanywa na Serikali ya CCM, ni sawa na kusubiria UVCCM itoe kauli dhidi ya uovu unaofanywa na Serikali ya CCM.
Nimemsikiliza vyema....Sasa kama katoa ujumbe wa mafumbo hivyo unamgusa nani? Si kila mmoja atapona haumhusu, au kaulenga mahali fulani? Ujumbe lazima ulenge audience (hadhira). Kama ujumbe ni kwa X, then exclude Y au kama ni kwa X na Y, then tuonyeshe hivyo.
Niko redioni hapa...Weka link basi
Bakwata pale kinondoni walikuwa wanapeperusha BENDERA ya CCMBAKWATA ilianzishwa na Serikali kwa nia ya kuwadhibiti waislam kuhusiana na mambo ya kisiasa, na imeendelea hivyo mpaka leo.
Kuitegemea BAKWATA itoe kauli dhidi ya mambo yanayofanywa na Serikali ya CCM, ni sawa na kusubiria UVCCM itoe kauli dhidi ya uovu unaofanywa na Serikali ya CCM.
Wakati watu wanatekwa na kuuwawa, yuko kimya,. Sasa sijui hui ndio uislamu?!
Ujinga huo.....Bakwata pale kinondoni walikuwa wanapeperusha BENDERA ya CCM
Hawa ndiyo huwa wanatamba wemepigania uhuru wa Tanganyika....ni vichekesho tu....ila ya Gaza yanawauma saanaAmani na utulivu..
Ametuasa TUSIJIENDEE ENDEE tu....tusifuate mambo bila kujua undani wake.....
Tusipelekwe pelekwe tu kwani Uislam unataka tutumie vyema matumizi ya akili.....
Amesema ,tufahamu UMUHIMU WA AMANI na UTULIVU katika nchi.
#Nchi Kwanza😍
#Uwe na uchungu na nchi yako 😍
Makabila yote yalipigania Uhuru wa Tanganyika....makabila hayo yako ndani ya TEC ,yako ndani ya BAKWATA na taasisi nyinginezo.....Hawa ndiyo huwa wanatamba wemepigania uhuru wa Tanganyika....ni vichekesho tu....ila ya Gaza yanawauma saana
Bakwata ni TAWI la Moja Takatifu la Mitume 🌹Wakati watu wanatekwa na kuuwawa, yuko kimya,. Sasa sijui hui ndio uislamu?!
Bakwata iliasisiwa na Mwenyeheri Julius Kambarage Nyerere 😂 wa Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹 Ili kulinda Amani!Si kweli....
BAKWATA ni taasisi yetu waislamu kwa ajili ya maslahi yetu ya kidini.....acha "kujiendea endea "....
#Nchi Kwanza😍
Swali zuri sana. Angetakiwa kunyooka siyo kuzinguka.Kupelekwa pelekwa na Nani?🐼
Nami nilishuhudia hii strategy and it worked well in his favour. Taifa kwanza undugu uje baadaye, hata kama ni mwenzako akikisoea mwambie ukweli ndipo utakuwa unamsaidia ili ajisahihishe.Naunga mkono hoja, kwa lugha nyingine ni Mufti wa Tanzania, Sheikh Mkuu amepiga marufuku Waislamu kushiriki maandamano ya Chadema!.
Hii maana yake ni the "the status quo" imetishika na maandamano haya sasa inawatumia viongozi dini kuwatisha waumini wao. Mtashuhudia viongozi mamluki wa dini, wakiingiza siasa mimbarini na madhabahuni!.
Jana nimemsikia Mufti akizunguka zunguka na kujiuma uma kulitangaza hili ikiwa ni kiashiria amechomekewa!.
Nakumbuka enzi zangu niko newsroom, ile uchaguzi wa 2010 awamu ya pili ya JK, Mzee wa Msoga alikuwa na hali mbaya, ikabidi kutumika rescue strategies kuwatumia viongozi wa dini kusaidia kuokoa jahazi, na kiukweli walisaidia sana , vinginevyo jahazi lingezama! Elections 2010 - Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?
P
....mtume SAW aliporejea vitani ,akawaambia maswahaba wake (radhiAllahu anhumma) kuwa "tumetoka katika Jihad ndogo* na tunaelekea katika jihad kubwa*....waislamu wa siku hizi waoga waoga sana, mbna kna Muhhamad waliingia vitani kupigania haki "Jihad"
QURAN TUKUFU INAMTAKA MUISLAM KUWA MAKINI SANA LINAPOKUJA JAMBONaunga mkono hoja, kwa lugha nyingine ni Mufti wa Tanzania, Sheikh Mkuu amepiga marufuku Waislamu kushiriki maandamano ya Chadema!.
Hii maana yake ni the "the status quo" imetishika na maandamano haya sasa inawatumia viongozi dini kuwatisha waumini wao. Mtashuhudia viongozi mamluki wa dini, wakiingiza siasa mimbarini na madhabahuni!.
Jana nimemsikia Mufti akizunguka zunguka na kujiuma uma kulitangaza hili ikiwa ni kiashiria amechomekewa!.
Nakumbuka enzi zangu niko newsroom, ile uchaguzi wa 2010 awamu ya pili ya JK, Mzee wa Msoga alikuwa na hali mbaya, ikabidi kutumika rescue strategies kuwatumia viongozi wa dini kusaidia kuokoa jahazi, na kiukweli walisaidia sana , vinginevyo jahazi lingezama! Elections 2010 - Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?
P
sio hoja ya msingi. dini X tunaambiwa nchi hii nido wenye alimu , lkn siku zote tunalalamika maisha magumu na rushwa imeenea na utekaji. swala hio elimu ya dini X imesaidia nini?Hivi huyo sheikh ana elimu gani nje ya elimu ya dini?
Comments reservedAmani na utulivu..
Ametuasa TUSIJIENDEE ENDEE tu....tusifuate mambo bila kujua undani wake.....
Tusipelekwe pelekwe tu kwani Uislam unataka tutumie vyema matumizi ya akili.....
Amesema ,tufahamu UMUHIMU WA AMANI na UTULIVU katika nchi.
#Nchi Kwanza😍
#Uwe na uchungu na nchi yako 😍