Sheikh Mselem: Tukiambiwa Hapana, tusishindane na mwenye nguvu

Si wametoka? Ngoja tusikie tena makanisa yamechomwa moto au waumini au viongozi wa dini zingine wameuwawa uone. Safari hiyo, hawarudi!!!

Inaonekana UMEUMIA SANA!

Acha chuki utapata nafuu!
 
Osama alikufa lakini ugaidi bado, unataka kutwambia nini hasa?
Osama ni different entity different case.
+ yeye alikuwa ana succession plan? hawa walikuwa nayo au walianzisha harakati juu juu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hako kajamaa ni kajinga mkuu kamejaa coran kichwani
 
Leo Kanisa limegubikwa na tatizo la ushoga.

Hatuwezi kusema kuwa haya ni mafunzo ya Yesu Kristo.

Halikadhalika tunalo tatizo kubwa la ugaidi hatuwezi kusema hayo ni mafunzo ya masheikh.
Ushoga kwa sasa upo zaidi muongoni mwa Waislam duniani.

Kutwa Waislam wanaandamana kutaka ihalalishwe.



 
Maabara,
Niko katika utafiti unaweza kunipatia ushahidi wa hili?

Ulaya zinafungwa ndoa kanisani.

Ningependa kujua kwa nini haya yanaruhusiwa.

Afrika ushoga ni jambo baya sana watu wanajificha Ulaya ni kitu cha kawaida.
Sio ulaya tu. Imamu Daaiye Abdullah wa Marekani na Nur Warsame wa Canada ni Maimamu waliojitangaza rasmi kuwa ni Mashoga, pia ni Maimamu wenye waumini wengi sana huko USA na Canada.
 
Osama ni different entity different case.
+ yeye alikuwa ana succession plan? hawa walikuwa nayo au walianzisha harakati juu juu?
Hawa ni matawi ya movements zenye kufanana na alichokifanya Osama. Hawa wanakwenda kinyume na utawala wa secularism kwa maana ya mchanganyiko wa ukristo na uislam, wanakwenda kinyume na magharibi na kila chenye kuihusu.

Hawa wafadhili wao ndio hao hao ambao magharibi siku zote inasema ni halali kuwamaliza wale wenye kuongoza ili ushawishi wao usienee kila kona ya dunia. Licha ya Osama kuuwawa bado warithi wake wapo na mara nyingi wanajitangaza, USA akishamfahamu kiongozi mpya unaanza mchakato wa kummaliza.
 
Mie nawaasa washukuru walinaswa wakati waJK wenzao waliotuhumiwa enzo za JPM hawapo tena na hata unywele haukuonekana
 
wewe teja wacha kuvuta cocaine
 
utaifa gani na nchi hii niyakikatolic period.
 
Hawa jamaa ni watu wa ajabu sana huyo Mselemu toka Shein yuko madarakani alishaomba msamaha na alikiri kuponzwa na wenzie msamaha umetoka akahubiri amani sasa na sio vurugu hii nchi inaendeshwa kwa sheria na lazima tuheshimu mamlaka.
nchi hii toka lini imeendeshwa kwa sheria. ikiwa watu wamechoma makanisa na wameuwa padri na hawakuhumiwa halafu unasema chi hii inasheria huachi mzee bangi kidogo.
 
No room for that jela.
Even if though. una recruit jela halaf unatarajia nn? bora wakae watulie.
Maana serikal inawaangalia hata huko uraiani. wakizungua tena watapotea this time
wapotee tu who care
 
nchi hii toka lini imeendeshwa kwa sheria. ikiwa watu wamechoma makanisa na wameuwa padri na hawakuhumiwa halafu unasema chi hii inasheria huachi mzee bangi kidogo.
Kwaiyo hii nchi inaendeshwa na nini? Kikubwa tuheshimu mamlaka zilizopo madarakani.
 
matatizo ya watanganyika most of them niwajinga tu hata ukimsikiya mtu ni profesa basi ujuwe hio shahada ni feki amepewa tu na kanisa ili waongeze idadi ya wenye shahada watanganyika kwa ujinga wao wanakufa kwa njaa na wakati wamejaaliwa rasilimali zakutosha na zaidi lakini kwa vile ni paketi tupu wanakufa na njaa akili zao zimechanganika na mavi. ivi kwa akili zako za mavi kama hawa masheikh wamefanya fujo na wameuwa padri si wengepelekwa mahakani wakafungwa maisha au ccm wanahuruma sana lakini huruma zao hawakumfanyia tundu lisu au vipi teja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…