Sheikh Muharam Mziwanda adai Kanisa Katoliki linahusika na upotevu wa makontena Bandari ya Dar

Sheikh Muharam Mziwanda adai Kanisa Katoliki linahusika na upotevu wa makontena Bandari ya Dar

Yaani CCM wametoka kwenye ujinga wameelekea kwenye upumbavu. Badala ya kujibu hoja zilizoibuliwa kwenye udhaifu wa mkataba, wanamtuma Mwijaku kukashifu Maaskofu. Mashehe nap wamedandia treni kwa mbele, hawajibu hoja, wanabwabwaja!
hoja zishajibiwa siku nyingi na mahakama imesha jibu .
 
Inawezekana kunaukweli niliwahi kusikia Padre mmoja
anapokwenda nchi za nje anabeba madini ya kutosha na akirudi anarudi na Biblia ikiwa imebeba dawa za kutosha kama ni kweli basi ni lazima wapotoshe umma uogope private sector maana itakuwa ni kuscan kwa kwenda mbele.

Hivi kwanini Serikali yangu haijajibu hoja za hawa wachonganishi? Kuna watu wasio imara watawaamini hawa warafi.
Waambie sasa wajibu we kichaa nini
 
Ninachoona ni kuwa waheshimiwa wengi hawajalala usingizi tokea TEC watoe waraka ule.

Wanajaribu kusoma mstari kwa mstari ili watoe majibu, dalili kubwa ni kwamba wamekwama.

Ushauri tu ni kuwa tekelezeni ya kwenye waraka wa TEC wasije wakaja na mengine magumu zaidi.
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda
 
Yaani CCM wametoka kwenye ujinga wameelekea kwenye upumbavu. Badala ya kujibu hoja zilizoibuliwa kwenye udhaifu wa mkataba, wanamtuma Mwijaku kukashifu Maaskofu. Mashehe nap wamedandia treni kwa mbele, hawajibu hoja, wanabwabwaja!
Hii nchi safar ni ndefu [emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Mahakama imeona hoja ni dhaifu imetupilia mbali hoja hizo. Mahakama ndo chombo cha kutafsir sheria.

Em na wew tuambie article ipi inashida mkataba si umeusoma?
 
Inawezekana kunaukweli niliwahi kusikia Padre mmoja
anapokwenda nchi za nje anabeba madini ya kutosha na akirudi anarudi na Biblia ikiwa imebeba dawa za kutosha kama ni kweli basi ni lazima wapotoshe umma uogope private sector maana itakuwa ni kuscan kwa kwenda mbele.

Hivi kwanini Serikali yangu haijajibu hoja za hawa wachonganishi? Kuna watu wasio imara watawaamini hawa warafi.
Pale kaingia mwarabu mweny hofu na mungu madili haram ya watu lazima yafe.
 
Kwamba walikaa kama Kamati ili kufanya upotevu huo ? Au kama wanajulikana kwanini wasishikwe na kushitakiwa...

Inabidi tukemee wizi popote pale; kuna polisi na mahakama..., dawa ya wizi sio Kubinafisha Bandari sababu kama ni wizi utaendelea kuwepo kwa njia nyingine
 
Kusema tu bila ushahidi hata Mimi ninaweza sema huyo Sheikh ni choko.

Moja ya reports za CAG iliwahi kudai malori (semi trailer) zilipitishwa hapo bandarini kwa jina la BAKWATA ili kukwepa kodi.

BTW:Kwani mmewapa DP hadi kazi za forodha hapo bandarini hadi wazuie ukwepaji kodi?
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda
 
hohohooo!? mazuzu kweli kwenye swala la muhimu namna hii kwa ajili yetu navizazi vijavyo mmeanza kuingiza udini tena!? naunga mkono founder wa illuminat bavaria kwamba dini ni upumbafu na imekuja kutugawa nakuleta machafuko duniani ilitutawaliane
 
Back
Top Bottom