inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Unataka askofu ajibiwe na nani,wao nani kwani!?..serikali Haina wataalam!?Huo ndiyo Waraka wa Mashehe😃😃.
So Ushauri wa Maaskafu kwa serikali unajibiwa na Mashehe na akina Mwijaku na Kitengwe? This is so interesting😃