Sheikh Muharam Mziwanda adai Kanisa Katoliki linahusika na upotevu wa makontena Bandari ya Dar

Sheikh Muharam Mziwanda adai Kanisa Katoliki linahusika na upotevu wa makontena Bandari ya Dar

Siyo harakati za kijinga kuna mtu tunamstahi aliingiza makontena ya vifaa kupitia mgongo wa kanisa kutoka vantikan na akafoji saini ya Askofu Emmanuel Mapunda kwasasa hayati,huyo makamu wa raisi msaidizi wa TEC Kasala faili lake lipo,pia nimwalimu wangu mahali fulani kwahiyo usitetee upumbavu,tambua mimi sina chama wala kadi ya chama lakini umeongea upumbavu ilihali ujuhi kitu,kama wewe RC lini ulichukuliwa maoni kuhusu bandari?Tupinge udini
Hapo suala sio personal attacks bali facts za mkataba ndio tunazojadili hapa!
Ukitaka personal attacks zipo kila upande maana hizo ni human errors!
Tunachojadili hapa ni kama haya....
Namnukuu
FRANCIS DA DON

Kwamba Sawa sawa, lakini hoja zijibiwe...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
wait,
mkataba ule kwa jinsi ulivyo, una faida kwetu kama nchi au ni hasara?
maana naona watu wanawashambulia wanaopinga mkataba bila kuelezea uzuri wa vipengele vinavyopingwa!

ok, lets say bandarini kuna wizi, na hizo bandari za maziwa, industrial parks, zina shida gani? mana nazo wanazitaka
Muulize nyumbani kwake ikitokea kuna mwanafamilia mmoja ni mwizi ataichoma nyumba yake moto?

Au dukani kwake anapata hasara kutokana na uwizi wa mfanyakazi aliyemuajiri mwenyewe, je ataligawa duka kwa jirani?
 
Tangu sakata la Bandari kuanza kumekuwa na mambo ambayo kwa hakika lazima yataleta shida tu.

1. Maoni yakitolewa na muislam na yakiwa yanaifavor Serikali, basi huyo muislam ataonekana hana akili, anakubali kisa DINI yake.

2. Maoni yakitolewa na Mkristo na iwe ama ameifavor Serikali au yuko against hakuna lugha ya kutoana akili, kuonana vilaza, kuona watu hawana elimu nk

3. Waislam wanaonekana wasio na elimu, wasio na uelewa na wasiostahiki kutoa maoni yao.

4. Mashekhe hawana akili na Maaskofu wana akili.

5. Rais akiwa muislam hana akili na kilaza lakini akiwa mkristo ni Genius.

6. Teuzi hata kama waislam ni 4 na wakristo ni 6 bado itaonekana teuzi zinaifavor Islam.

7. TEC wana haki ya kutoa maoni, na kwamba wao wametumia akili kutoa maoni yao. WAISLAM/BAKWATA/SHURA YA MAIMAMU wakitoa maoni, basi hawajatumia akili, wanataka tende nk.

Mimi ninataka kuwaambia ndugu zangu wakristo, katika vitu ambavyo msijaribu kuvilazimisha basi hizo chuki tena extremely hate. Hao mnaowaona hawana akili ndio wamepambana kupata uhuru wa nchi hii.

Jamani, Jamani, katika Dini ambayo ina ushirikiano ni hiyo ya Kiislam, na hali ilivyo tutaingia kwenye machafuko ya kidini.

Hakuna hoja ya mkataba wa Bandari ambayo haijajibiwa.

SIKU YAJA, WAISLAM WATACHOKA NA LUGHA ZA DHARAU, KEBEHI NA UDHALILISHAJI, NA HAPO NDIPO MTAJUA HAMJUI.
 
Elewa,serikali imeondoa Kodi kwa taasisi za dini bandarini,baadhi ya wahuni huko taasisi za dini hutumia muhuri wa taasisi za dini kupitisha bidhaa za wafanyabiashara
Uhuni huo unafanyika huku serikali na vyombo vyake vipo vinajua na vinaona!!??
Sasa hapo si umekiri "indirectly" kuwa serikali haiwezi majukumu yake, hivyo badala ya kukodisha bandari, ni vyema zaidi tukodishe serikali!!!???
DP World wakija unataka kusema TRA hawatakuwepo tena pale bandarini!!??
 
Kwa kweli tunatia aibu, tumefanya matumbo yetu yatuamulie mustakabali wa kesho ya Vijana wetu.

Maana zaidi ya asilimia 99 ya Viongozi waliopitisha huu Mkataba wa bandari hawatakuwa hai miaka 30 ijayo.

So ndiyo maana wameamua kukodisha bandari kwa muda usiojulikana
Kazi ipo.
 
Muslims naona wanatafuta ugomvi na Christians wasiouweza,kama Geita tu pale ambapo wakristo walisusa kununua nyama zilizochinjwa na Muslims ikapelekea biashara kudoda huu wa DP world ndio mtaweza.
Ifike mahali mkubali tu Tanzania Christians are 85% and nyie mpo tu 15%,kwa vyovyote vile na kwenye kila kitu bado mpo nyuma.
 
Hapa nakubali kabisa kwamba .........kwamba ukiona mtu anaitwa shehe jua kifuatacho ni majini tu ndio wanajua au kuyajulia kuhusu elimu.................wawaachie wakatoliki maana ndio wenye ugomvi nao.........kira siku nasema na nitasema .........kuzaliwa muislam sio dhambi .......dhambi ni kufa katika uislam maana utakuwa umepotea kabisa...............watu wanatetea bandari yeye yuko na dokta silaaa
 
Tangu sakata la Bandari kuanza kumekuwa na mambo ambayo kwa hakika lazima yataleta shida tu.

1. Maoni yakitolewa na muislam na yakiwa yanaifavor Serikali, basi huyo muislam ataonekana hana akili, anakubali kisa DINI yake.

2. Maoni yakitolewa na Mkristo na iwe ama ameifavor Serikali au yuko against hakuna lugha ya kutoana akili, kuonana vilaza, kuona watu hawana elimu nk

3. Waislam wanaonekana wasio na elimu, wasio na uelewa na wasiostahiki kutoa maoni yao.

4. Mashekhe hawana akili na Maaskofu wana akili.

5. Rais akiwa muislam hana akili na kilaza lakini akiwa mkristo ni Genius.

6. Teuzi hata kama waislam ni 4 na wakristo ni 6 bado itaonekana teuzi zinaifavor Islam.

7. TEC wana haki ya kutoa maoni, na kwamba wao wametumia akili kutoa maoni yao. WAISLAM/BAKWATA/SHURA YA MAIMAMU wakitoa maoni, basi hawajatumia akili, wanataka tende nk.

Mimi ninataka kuwaambia ndugu zangu wakristo, katika vitu ambavyo msijaribu kuvilazimisha basi hizo chuki tena extremely hate. Hao mnaowaona hawana akili ndio wamepambana kupata uhuru wa nchi hii.

Jamani, Jamani, katika Dini ambayo ina ushirikiano ni hiyo ya Kiislam, na hali ilivyo tutaingia kwenye machafuko ya kidini.

Hakuna hoja ya mkataba wa Bandari ambayo haijajibiwa.

SIKU YAJA, WAISLAM WATACHOKA NA LUGHA ZA DHARAU, KEBEHI NA UDHALILISHAJI, NA HAPO NDIPO MTAJUA HAMJUI.
Ni ngumu kuwatengamisha waislamu na matatizo ya akili.
 
Waraka wa Baraza la TEC umeanzisha chokochoko za kidini na hii ni hatari sana kwa Taifa letu.

Sababu kubwa ni UNAFIKI na CHUKI zisizo na maana.
Ikumbukwe kuwa hii nchi ni ya watanzabia wote, waislamu, wakristu na wasio na dini, ndugu Zangu haswa baraza la TEC acheni chuki na unafiki.
 
Back
Top Bottom