Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Bishop Peter RASHID ABUBAKAR huyo.
Amandla...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bishop Peter RASHID ABUBAKAR huyo.
Chokochoko za kidini zilikuwepo kabla ya waraka. Usiwape sifa wasio stahili.Waraka wa Baraza la TEC umeanzisha chokochoko za kidini na hii ni hatari sana kwa Taifa letu.
Sababu kubwa ni UNAFIKI na CHUKI zisizo na maana.
Ikumbukwe kuwa hii nchi ni ya watanzabia wote, waislamu, wakristu na wasio na dini, ndugu Zangu haswa baraza la TEC acheni chuki na unafiki.
Hakuna hasara yoyote ni faida tupu ndio itapatikana hapo Bandarini serikali inatarajia nusu ya Bajeti yake itoke hapo BandariniKwa hiyo mnakubali kuwa bandari imeenda sasa mnabisha nini? Na jee hasara ni kwa nani kama siyo Watanganyika wote au wewe ni mkojani kama mama Abdul?
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sanaWao wanaongoza kwa kutandikana bakora misikitini wakigombea umiliki wa misikiti.
Hususan ile ambayo inakuwa na wadhamini wenye pesa kutoka taasisi za kiarabu.
Hatukubali au kukataa mkataba wa misingi ya dini wewe mbulula elewa. Ila hatutaki upotoshaji na uharibifu wa nchi yetu. Wapo waislamu wanaukubali na wasioukubali. Vivyo hivyo kwa wakristo. Mimi ni muislmu na naukubali.Mnajisumbua hata huo mkataba hata sisi waislamu hatuutaki
Msitimie dini kutugawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni sana Bandari ndio hiyo imeendaOna mwingine huyu, hauoni aibu kuinama wakati suruali imetatuka nyuma na ndani haujavaa kyupi?
Poleni sanaImeenda wapi? Kwenye rasikimali za taifa lazima tuumie, ni waoumbavu pekee wa aina yetu mnaoweza kuchekelea mambo ya aina hii na mkajihisi faraja.
Wanaojua khasa kinachoendelea ni hao Dp world ndio maana serikali imeamua kuwapa hiyo Bandari kuwekezaWaungaji mkono Mkataba wa bandari wote hawajui kinachoendelea, wamebebwa tu na mirindimo ya mdundiko.
Unajua hata maana ya uwekezaji wewe?Wanaojua khasa kinachoendelea ni hao Dp world ndio maana serikali imeamua kuwapa hiyo Bandari kuwekeza
Ni kweli mkuu wenye akili ni hao Dp world ndio maana serikali imeamua kuwapa hiyo Bandari kuwekezaWaislam wengi hawana akili sababu ya kuoana ndugu na hapo ndipo muarabu alipo waweza
Nimependa jina la Mchungaji
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sanaMuslims naona wanatafuta ugomvi na Christians wasiouweza,kama Geita tu pale ambapo wakristo walisusa kununua nyama zilizochinjwa na Muslims ikapelekea biashara kudoda huu wa DP world ndio mtaweza.
Ifike mahali mkubali tu Tanzania Christians are 85% and nyie mpo tu 15%,kwa vyovyote vile na kwenye kila kitu bado mpo nyuma.
acheni kuwapakazia TEC kwani ni mara ya kwanza kutoa waraka? Jibuni hoja acheni ujingaWaraka wa Baraza la TEC umeanzisha chokochoko za kidini na hii ni hatari sana kwa Taifa letu.
Sababu kubwa ni UNAFIKI na CHUKI zisizo na maana.
Ikumbukwe kuwa hii nchi ni ya watanzabia wote, waislamu, wakristu na wasio na dini, ndugu Zangu haswa baraza la TEC acheni chuki na unafiki.
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sanaHapa nakubali kabisa kwamba .........kwamba ukiona mtu anaitwa shehe jua kifuatacho ni majini tu ndio wanajua au kuyajulia kuhusu elimu.................wawaachie wakatoliki maana ndio wenye ugomvi nao.........kira siku nasema na nitasema .........kuzaliwa muislam sio dhambi .......dhambi ni kufa katika uislam maana utakuwa umepotea kabisa...............watu wanatetea bandari yeye yuko na dokta silaaa
Kama habari za kusikia zinatolewa hukumu basi hata sisi tulisikia wewe choko.Inawezekana kunaukweli niliwahi kusikia Padre mmoja
anapokwenda nchi za nje anabeba madini ya kutosha na akirudi anarudi na Biblia ikiwa imebeba dawa za kutosha kama ni kweli basi ni lazima wapotoshe umma uogope private sector maana itakuwa ni kuscan kwa kwenda mbele.
Hivi kwanini Serikali yangu haijajibu hoja za hawa wachonganishi? Kuna watu wasio imara watawaamini hawa warafi.
Sawa inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sanaNi ngumu kuwatengamisha waislamu na matatizo ya akili.
Huyu nae na alichoandika hakiendani na majina aliyojipa ya DR. Askofu, mutume.. Matapeli tu wa Injili Hawa, wasitutor relini.. Na vile vile watulie, wanyoshe miguu wanywe uji wa TEC😁😁Bishop Peter RASHID ABUBAKAR huyo.
Amandla...