bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Pole sanaNi vzr umma ujue kua utawala wao unaendelea kutojali maslahi ya Taifa bali maslahi binafsi zaid!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sanaNi vzr umma ujue kua utawala wao unaendelea kutojali maslahi ya Taifa bali maslahi binafsi zaid!!
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sanaUnajua hata maana ya uwekezaji wewe?
Uwekezaji ni tofauti na Ugawaji.
Jambo lishageuzwa kuwa la kidini tayari...umoja na udugu wetu ni bandia tu kina Nyerere walijifariji wametengeneza taifa, kumbe kilichotengenezwa ni unafiki mtupu wa kusubiriana kwenye angle ili kusutana na hili litafika mbali, moto ulianza kama cheche...watu wamekusanya chuki nyingi kwenye mioyo Yao Kwa miaka mingi naona kabisa mbeleni ngoma itapasuka, Kila jambo kubwa nchi hii lazima lihusishwe na dini hii inaonyesha namna udugu bandia tuliokuwa nao, mpasuko ni mkubwa na hakuna wa kuuziba. Jambo baya lituepuke mbali.
Jambo lishageuzwa kuwa la kidini tayari...umoja na udugu wetu ni bandia tu kina Nyerere walijifariji wametengeneza taifa, kumbe kilichotengenezwa ni unafiki mtupu wa kusubiriana kwenye angle ili kusutana na hili litafika mbali, moto ulianza kama cheche...watu wamekusanya chuki nyingi kwenye mioyo Yao Kwa miaka mingi naona kabisa mbeleni ngoma itapasuka, Kila jambo kubwa nchi hii lazima lihusishwe na dini hii inaonyesha namna udugu bandia tuliokuwa nao, mpasuko ni mkubwa na hakuna wa kuuziba. Jambo baya lituepuke mbali.
Waraka mgumu ule, kwani nukuu zilizomo ni za Katiba, Biblia, Sheria za Nchi, na historia ya makosa ya serikali ya 1990s na kunyolewa kwenye mahakama za kimataifa za biashara!!Ninachoona ni kuwa waheshimiwa wengi hawajalala usingizi tokea TEC watoe waraka ule.
Wanajaribu kusoma mstari kwa mstari ili watoe majibu, dalili kubwa ni kwamba wamekwama.
Ushauri tu ni kuwa tekelezeni ya kwenye waraka wa TEC wasije wakaja na mengine magumu zaidi.
Ndio mustahamili tu mutazoea poleni sanaDini ambayo haina hoja ila sababu aliyesaini ni wa dini yao, baadhi wanaona wanaonewa. Huu mkataba una nini cha kuamua kufa nao? Hatuoni unatugawa?
Wanaparamia tu [emoji1]Waraka wa TEC haujashambulia dini yeyote.Umetoa hoja zake na wameambatanisha vifungu mbalimbali.Shekh unadhalilisha upeo wako
Hatari kwa kizazi kijachoKazi ipo.
Nashindwa kupata picha ya mbunge wangu MusukumaNinachoona ni kuwa waheshimiwa wengi hawajalala usingizi tokea TEC watoe waraka ule.
Wanajaribu kusoma mstari kwa mstari ili watoe majibu, dalili kubwa ni kwamba wamekwama.
Ushauri tu ni kuwa tekelezeni ya kwenye waraka wa TEC wasije wakaja na mengine magumu zaidi.