hoja zishajibiwa siku nyingi na mahakama imesha jibu .Yaani CCM wametoka kwenye ujinga wameelekea kwenye upumbavu. Badala ya kujibu hoja zilizoibuliwa kwenye udhaifu wa mkataba, wanamtuma Mwijaku kukashifu Maaskofu. Mashehe nap wamedandia treni kwa mbele, hawajibu hoja, wanabwabwaja!
Wew ulieusoma ni article ipi yenye shida[emoji54]?Umesoma Mkataba wa Bandari?
Umesoma Waraka wa Maaskafu?
Au nyie ndiyo akina "Kamuacha mume wake kafuata mdundiko?"
Waambie sasa wajibu we kichaa niniInawezekana kunaukweli niliwahi kusikia Padre mmoja
anapokwenda nchi za nje anabeba madini ya kutosha na akirudi anarudi na Biblia ikiwa imebeba dawa za kutosha kama ni kweli basi ni lazima wapotoshe umma uogope private sector maana itakuwa ni kuscan kwa kwenda mbele.
Hivi kwanini Serikali yangu haijajibu hoja za hawa wachonganishi? Kuna watu wasio imara watawaamini hawa warafi.
Na hiyo nayo imeendaHuo ndiyo Waraka wa Mashehe[emoji2][emoji2].
So Ushauri wa Maaskafu kwa serikali unajibiwa na Mashehe na akina Mwijaku na Kitengwe? This is so interesting[emoji2]
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeendaNinachoona ni kuwa waheshimiwa wengi hawajalala usingizi tokea TEC watoe waraka ule.
Wanajaribu kusoma mstari kwa mstari ili watoe majibu, dalili kubwa ni kwamba wamekwama.
Ushauri tu ni kuwa tekelezeni ya kwenye waraka wa TEC wasije wakaja na mengine magumu zaidi.
Ni kweli mkuu wenye kuona mbali ni hao Dp world ndio maana serikali imeamua kuwapa hiyo Bandari kuwekezaViongozi wa Kiislamu Wana tatizo la kuona mbali
🤣🤣Umenikumbusha mbali,ngoma ya mdundikoUmesoma Mkataba wa Bandari?
Umesoma Waraka wa Maaskafu?
Au nyie ndiyo akina "Kamuacha mume wake kafuata mdundiko?"
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeendaUmesoma Mkataba wa Bandari?
Umesoma Waraka wa Maaskafu?
Au nyie ndiyo akina "Kamuacha mume wake kafuata mdundiko?"
Ukiwaita Mbumbumbu wanachonga midomo aibuuuNilisema mm shule hakuna cheki walaka wao hapo.Daaah bora kukaa kimya tu.
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeendaMasheikh na waislamu njaa kutwezwa utu wao na waarabu kwao ni Sunna hivyo hata tukipigwa mnada mradi mnunuaji ni muarabu na muuzaji ni muislamu basi wao burudaniiii kabisa. Mijitu ya hovyo isiyotumia akili
Sio woteViongozi wa Kiislamu Wana tatizo la kuona mbali
Maskofu wakashauri kanisaaHuo ndiyo Waraka wa Mashehe😃😃.
So Ushauri wa Maaskafu kwa serikali unajibiwa na Mashehe na akina Mwijaku na Kitengwe? This is so interesting😃
Hii nchi safar ni ndefu [emoji1787][emoji1787][emoji1787].Yaani CCM wametoka kwenye ujinga wameelekea kwenye upumbavu. Badala ya kujibu hoja zilizoibuliwa kwenye udhaifu wa mkataba, wanamtuma Mwijaku kukashifu Maaskofu. Mashehe nap wamedandia treni kwa mbele, hawajibu hoja, wanabwabwaja!
Pale kaingia mwarabu mweny hofu na mungu madili haram ya watu lazima yafe.Inawezekana kunaukweli niliwahi kusikia Padre mmoja
anapokwenda nchi za nje anabeba madini ya kutosha na akirudi anarudi na Biblia ikiwa imebeba dawa za kutosha kama ni kweli basi ni lazima wapotoshe umma uogope private sector maana itakuwa ni kuscan kwa kwenda mbele.
Hivi kwanini Serikali yangu haijajibu hoja za hawa wachonganishi? Kuna watu wasio imara watawaamini hawa warafi.
Sawa sawa wenye uoni wa mbali ni hao Dp world ndio maana serikali imeamua kuwapa hiyo Bandari kuwekezaNakubaliana na wewe. Wengi wana uoni finyu sana. Ndiyo maana dini nyingine wanamiliki taasisi imara zinazotoa huduma za jamii lakini wao ni nadra sana.
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeendaKusema tu bila ushahidi hata Mimi ninaweza sema huyo Sheikh ni choko.
Moja ya reports za CAG iliwahi kudai malori (semi trailer) zilipitishwa hapo bandarini kwa jina la BAKWATA ili kukwepa kodi.
BTW:Kwani mmewapa DP hadi kazi za forodha hapo bandarini hadi wazuie ukwepaji kodi?
Lori ndo kitu cha kushangaa [emoji1787]