Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Bandari ya matakoni huko?Bandarini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bandari ya matakoni huko?Bandarini.
Yaani we utakuwa bumunda kama huyo sheh wako tu.Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.
My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..
Kiufupi hana tofauti na Lisu ,kazi Yao ni kupinga Kila kitu.
Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.
My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..
Kiufupi hana tofauti na Lisu ,kazi Yao ni kupinga Kila kitu.
Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.
Elimu yako tafadhali..,Wewe tueleze.nini.mchango wake
Hoja Prof Shivji umezielewa lkn au unaendekeza njaa tu uapte shavu la chawa mwandamizi?Mdhalilishe.Shivji ana kipi Cha maana Kwa umri wake amewahi changia Tanzania?
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.
My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..
Kiufupi hana tofauti na Lisu ,kazi Yao ni kupinga Kila kitu.
Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.
Nadhani hajui professa shivji kaongea kama nani, na kwa nini kashauri? hajui hata historia yake.Bora uwaambie ukweli. Anachukua madaraka ya kutoa onyo kama nani?
Shivji kafundisha zaidi ya probably 50 % ya Wanasheria wote waliopo Tanzania.Mdhalilishe.Shivji ana kipi Cha maana Kwa umri wake amewahi changia Tanzania?
Prof. Shivji amekuwa akiwapa maarifa watu wenye akili timamu. Mtu kama wewe, uwezo wako mdogo wa akili unakuweka mbali na Prof. Shivji.Huyo profesa wako biashara kaifanya wapi?
Huyi kazi yake ilikuwa kujaza watu ujinga tu.
Ikiwa wanafunzi wake ndiyo kama wewe? Khaa!
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.
My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..
Kiufupi hana tofauti na Lisu ,kazi Yao ni kupinga Kila kitu.
Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.
Sawa na kusema umemuona masai albino, qu mlemavu.Anaitwa shehe Mwaipopo!!!!! Cjawah sikia mnyakyusa mwislamu.
Atuambie yeye ni mnyakyusa au mwislamu? Achague moja maana unyakyusa na uislamu haviingiliani!
Qaliosomeshwa na Shivji ndiyo katika walioenda shule za kusomea ujinga.Prof. Shivji amekuwa akiwapa maarifa watu wenye akili timamu. Mtu kama wewe, uwezo wako mdogo wa akili unakuweka mbali na Prof. Shivji.
Huwezi kukitaja kitivo cha sheria DSM au shule ya sheria, ukaliacha jina la prof. Shivji, halafu uwe umemaliza.
Watu wenye upeo na akili kidogo kama wewe, hamwezi kuelewa watu wenye michango mikubwa katika Taifa hili.
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.
My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..
Kiufupi hana tofauti na Lisu ,kazi Yao ni kupinga Kila kitu.
Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.
Kweli nimeamini nyinyi hamna akiliQaliosomeshwa na Shivji ndiyo katika walioenda shule za kusomea ujinga.
Ndiyo maana Tanzania inadidimia kwa kuina mtu kama huyo ana maarifa.
Mie nilikuwa nahisi mtu mwenye maana kumbe poyoyo.
Unaoewaje maarifa na mtu asiye na maarifa? Unajazwa ujinga tu.
Ana elimu gani huyu kichaka cha mvBinafsi ningependa kufahamu elimu ya huyo sheikh, ana elimu gani?
Kuhusiana na mambo ya mikataba, ili uweze japo kuingia chumba alicho Prof. Shivji na kuanza kuhojiana nae inakupasa angalau uwe na shahada ya kwanza ya sheria.
Vinginevyo huyu Bwana Mwaipopo atafute watu wa hadhi yake ajadiliane nao.
Tusiruhusu watu wenye akili ndogo wapanue midomo yao kiasi cha kufanya watu wenye akili kubwa wasisikike, tutaliua taifa.
Sheikh mwenye hata ukimsikiliza anaonekana kabisa bado anaujinga mwingi kichwani mwake😂😂😂 sheikh ubwabwa , elimu la 7 . Anaongea nini sasa ?! Kwa prof wa Sheria . Jamani hizi Dini hizi