Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi anko...? Pengine kipo usichokifahamuUislamu na majini ni pipa na mfuniko.
Uislamu na majini ni pipa na mfuniko...
Hakuna sheikh hapo.Unamkataa shehe wako sio?
Sizani kama yuko sahihi. Mbona kama ni ushirikina tu huoSheikh ndio mwenye ilmu wa hayo mambo.. wewe unamuuliza maamuma
Sio sahihi kwa mujibu wa sheria za uislam, ni ushirikina huo na moja ya makatazo makubwa katika dini ya kiislamu ni pamoja na ushirikina..Alichosema hapo ni sahihi au..?
وَاتَّبَعُوا مَا تَتْلُو الشَّيَاطِينُ عَلَىٰ مُلْكِ سُلَيْمَانَ ۖ وَمَا كَفَرَ سُلَيْمَانُ وَلَٰكِنَّ الشَّيَاطِينَ كَفَرُوا يُعَلِّمُونَ النَّاسَ السِّحْرَSio sahihi kwa mujibu wa sheria za uislam, ni ushirikina huo na moja ya makatazo makubwa katika dini ya kiislamu ni pamoja na ushirikina..
Proud to worship SatanProud to be Muslim
Note kwamba kwa alichokisema , na kama alifanya hivyo kwa ajuavyo yeye anapaswa kutubia kwa Mwenyezi Mungu, huo ni ushirikina dhahiri!!! Na hoja ya kuwa mbobezi hailalishi uovu huo kwa mujibu wa alichokisema. Mifano ipo mingi katika maisha ya kawaida let say sheria mbalimbali zinavunjwa na watu wanaozisimamia na kuzijua sheria, kwa hiyo huo ni utashi wake binafsi na matamanio yake.Kwahiyo huyo mbobezi shehe hazinui sheria za dini ya haki?
Sasa hizo fitna za kinafik.
Kina dini zingine wee acha tu.View attachment 3093114
Manara TV imepata fursa ya kuzungumza na Sultan Sheikh Sharifu ( @shekhsharifjeylan ) na amezungumza mengi sana.
Moja ya vitu alivyoweka wazi ni kwamba alishawahi kuwafungisha ndoa Jini na Binadamu na hadi leo wanaishi pamoja.
Kuitazama Full Interview Ingia Youtube Kwenye Channel Ya Manara Tv
Source manata tv
MAKAFIR MKISIKIA UISLAM HALISI MNAGHAFIRIKA.
moden Muslims ni tatazo katika uislam ndiyo maana bokoharam na makundi mengine ya uislam hayacheki na nyie.