Shekh Zuberi Mufti wa Tanzania ni wazi anahitaji msaada

Watu wa bida'a wanapenda kutukuzwa sana aliemkosoa ni nani? Yule muongoza kipindi anaeitwa Abas au nani,?
 
Waache wenye mwezi wapambane na mwezi wao

Waache wenye jiwe wazunguke jiwe lao

Sisi tunaomcha Mungu wa Kweli tuendelee bila kuchoka
Una mcha mungu aliekufa kabla ya aliewaumba?
 
Hakujazungumzwa lolote kuhusu mamlaka ya mwezi, are you sure una information sahihi mkuu?
Mkuu ameongea haya maneno mbele ya waziri mkuu mwezi huu wa Ramadhan clip iko youtube ameongea zaidi ya dakika 15 kuhusu mamlaka yake. haya ni ya kweli kabisa 100% kaongea.
 
Nasema Hivi Msituvuruge Leo Idd Pili Tunaendelea Kusuuza Koo
Akosee Apatie Idd Mubarak Tayari Tunangoja Sita Jambo Liishe
 
Hakuna uislam unaoitwa bakwata waislam wa Tz asilimia kubwa wote ni Sunni
 
Watu wa bida'a wanapenda kutukuzwa sana aliemkosoa ni nani? Yule muongoza kipindi anaeitwa Abas au nani,?
Hapana nimeona anaitwa Shekh Othman, yule muongoza kipindi alikuwa ana support ila clip ya kuomba msamaha kamruka mwenzake kasema mwenzetu alikosea yeye kajitoa.
 
Hakuna uislam unaoitwa bakwata waislam wa Tz asilimia kubwa wote ni Sunni
Nafahamu sana hilo, hapo nimetaja wakala wa Gavo anayesikilizwa na ndio huleta tofauti kila mwandamo wa mwezi unapofika
 
Baba Mwajuma, nimeona clip zote Shekh aliyemkosoa Mufti na Shekh Othmana wa msikiti wa Mtoro na yule Shekh Abbas aliunga mkono sasa usiseme mtu yoyote alimpinga hapana ni Shekh wa msikiti wa Mtoro. Na wamesema pale wameambiwa usiku saa 7 waombe msamaha na msamaha uwe kabla ya swala ya Eid na haya sio maneno yangu yapo you tube sio mimi nasema.
 
Hata weww pia ni mbwa fala wewe
 
Our God is trinity.

Your god is black big stone called Kaaba. FULUSI......... FULUSI...,... FULUSI
Christian God is dead but Allah still remains with his absolute power.
 
Hiyo mipete ni ya marangirangi km ya majini???? Hamuwezi maliza mijadala bila kujilinganisha???
Kabisa mimi muislamu 100% kwa maana kizazi chote sisi waislamu lakini shida yangu hawa ma Shekh wetu mapete yana nini? Kama maskofu wanavaa hilo mimi sio shida yangu ile sio dini yangu labda kwao ina maana fulani na wala sitaki kuongelea wengine. Hapa wajibu tu swali hawa ma Shekh mipete mikubwa zaidi 1Kg marangi ya ajabu ni ya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…