Shekh Zuberi Mufti wa Tanzania ni wazi anahitaji msaada

Christian God is dead but Allah still remains with his absolute power.
Your Allah is an ugly creature with only one foot and two right hands with no left hand. That is why he can't fight for himself
 
Reactions: 511
Hujaeleweka vema Mufti kafanya nini
 
Mbona siku ya shaka ni 29, timizeni 30 kama 29 hukuonekana mwezi
 
Mufti gani! hana uwezo wa kuamrisha mema wala kutaza mabyaya.
 
Sheikh Ponda ndio mtetezi wa waislamu Tanzania hiyo bakwata ni tawi la ccm , waliloanzishiwa na mwalimu nyerere baada ya kuhakikisha jumuiya ya waislamu afrika mashariki imevunjika
 
mambo ya waislamu waachie waislamu mkuu, kesho twende kazini
 
Eka clip maana nilikuwepo wakati hao jamaa wanaongea, na wametoa ufafanuzi, mwisho Sheikh wa mtoro yeye kama yeye akatoa ushauri tunapoongea na watu wakubwa tuwe na staha, ila sijasikia popote kwamba Mufti aliwaamsha sababu ya kutaka kuombwa msamaha.
 
Kwanini uislamu uogopwe?
Kasome Historia ya hii Nchi mkuu, kuanzia kutafuta Uhuru hadi hao walio tafuta uhuru kupigwa Pini. Hata kabla ya ujamaa na Azimio la Arusha, Tayari East Africa Muslim walfare ilibomolewa na kulazimishwa kutengenezwa Bakwata, wakachukuliwa Masheikh wa Tamta Tanga huko wakapewa Mali zote za waisilamu waendeshe wao na wale ambao walikua wasimamizi wa Mwanzo kukandamizwa, kufukuzwa nchini na kupewa Mateso na kesi kibao. EAMW walikuwa na Mali nyingi mno Hapa Dsm na ilikua Chini ya Aga khan kama sijakosea, Mohammed Said anaijua vizuri hii Historia.

So Bakwata ni CCM ya waisilamu, ni Chombo ambacho kipo kama danganya toto, wanapewa Vitu vyote vinavyohusu waisilamu kufaidisha matumbo yao na hawana time na maendeleo yoyote ya waisilamu. Kila sehemu unakuta migogoro Mali za waisilamu za wakfu zimeuzwa na wao wamo kupata migawo.
 
Kwa hiyo umekuja kutushtakia Ili iweje, tukampige mufti au?
 
Reactions: 511
Ndio tumeshindwa hata kuomba kesho ijumaa iwe mapumziko?
 
Huyu mufti mwinyi sana
Ni kweli unachosema huyu
Anapenda kutukuzwa tu

Ova
 
Ila wanachafua dini tunaonekana vituko tu sababu ya hawa watu. Kugombani mamlaka na mwezi basi ndio kazi yao. Narudia tena ile mipete mikubwa kazi zake ni nini? sio hawa wanaamini Allah pekee? au na majini pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…