Shekhe Ponda: Kuna nini ndani ya "MUUNGANO" zaidi ya Fitna, majungu na kudumaza Maendeleo ya Raia? Ni heri turudi kama zamani

Shekhe Ponda: Kuna nini ndani ya "MUUNGANO" zaidi ya Fitna, majungu na kudumaza Maendeleo ya Raia? Ni heri turudi kama zamani

Shekhe Ponda amesema:

Tanganyika na Zanzibar ugomvi mpaka lini? Mara nyingi tumewazindua kutoka kwenye Jinamizi la " MUUNGANO' Dawa kila Taifa lirudi kama zamani tuishi kama Kenya na Uganda, Malawi na Msumbiji

Shekhe Ponda amezungumza kupita Ukurasa wake wa twitter

My take: Shekhe Ponda badala ya Kujenga anataka Kubomoa

=========

View attachment 2656035
Majungu hayataisha John hasa kwa hawa wenye "superiority complex" wapi uliona kiongozi wa chama kinachoitamani dola anabagua watu kwa misingi ya mahala watokapo? Alishindwa hata kufanya ghilba kama za Mwalimu japo target 🎯 yake ilikuwa political mileage na kweli aliachieve, though amefichua uhalisia wake, kauli kama hizi ziliwahi kuandikiwa Makala na muamisisi wa chama hicho hicho aliyewahi kuwa gavana, eti JK aliteua Wajumbe wa kamati ya mabadiliko ya katiba Kwa misingi ya Udini, no wonder hawatavuka maji na CCM idumu milele
 
Majungu hayataisha John hasa kwa hawa wenye "superiority complex" wapi uliona kiongozi wa chama kinachoitamani dola anabagua watu kwa misingi ya mahala watokapo? Alishindwa hata kufanya ghilba kama za Mwalimu japo target [emoji457] yake ilikuwa political mileage na kweli aliachieve, though amefichua uhalisia wake, kauli kama hizi ziliwahi kuandikiwa Makala na muamisisi wa chama hicho hicho aliyewahi kuwa gavana, eti JK aliteua Wajumbe wa kamati ya mabadiliko ya katiba Kwa misingi ya Udini, no wonder hawatavuka maji na CCM idumu milele
Huu ni mtazamo wako.Tatizo nikwamba hamtaki kusikia ukweli kwamaslahi yenu.wewe kama unaona hakuna shida unadhani hizi zinazoitwa kero za muungano zimetokana na nini kama sio haya ni mataifa mawili yaliyounganishwa tu na watu ila yana mitadhamo tofauti.ccm haitakiwi kuwepo kwakuficha ukweli.hili la ubaguzi mnalieneza nyie msiotaka kufikiria vizuri.
 
Shekhe Ponda amesema:

Tanganyika na Zanzibar ugomvi mpaka lini? Mara nyingi tumewazindua kutoka kwenye Jinamizi la " MUUNGANO' Dawa kila Taifa lirudi kama zamani tuishi kama Kenya na Uganda, Malawi na Msumbiji

Shekhe Ponda amezungumza kupita Ukurasa wake wa twitter

My take: Shekhe Ponda badala ya Kujenga anataka Kubomoa

=========

View attachment 2656035
Na huu ndio ukweli naked
 
Shekhe Ponda amesema:

Tanganyika na Zanzibar ugomvi mpaka lini? Mara nyingi tumewazindua kutoka kwenye Jinamizi la " MUUNGANO' Dawa kila Taifa lirudi kama zamani tuishi kama Kenya na Uganda, Malawi na Msumbiji

Shekhe Ponda amezungumza kupita Ukurasa wake wa twitter

My take: Shekhe Ponda badala ya Kujenga anataka Kubomoa

=========

View attachment 2656035
Tupige kura ya maoni

Wwnaoogopa kujadili Muungano ndo hao wwnaouvunja kwa matendo yao
 
Mambo hayaendi kienyeji hivyo! Muungano ukivunjika ni lazima kuna muda wa mpito wa kuweka mambo sawa. Unaweza kukuta hata UN yenyewe lazima ije kusimamia mambo mana ilijulishwa muungano huu.

Kwa mfano, Wazanzibari walipo bara wakapewa chaguo kubaki bara au kurudi Zanzibar, na kinyume chake!

Rejea kuvunjika kwa EAC pamoja na Sudan.
 
Mambo hayaendi kienyeji hivyo! Muungano ukivunjika ni lazima kuna muda wa mpito wa kuweka mambo sawa. Unaweza kukuta hata UN yenyewe lazima ije kusimamia mambo mana ilijulishwa muungano huu.

Kwa mfano, Wazanzibari walipo bara wakapewa chaguo kubaki bara au kurudi Zanzibar, na kinyume chake!

Rejea kuvunjika kwa EAC pamoja na Sudan.
Hawa watu ushawahi kuishi nao??
 
Huyu mzee yupo sahihi.., bora waliokuwa wanapendekeza serikali 3 ili mali za Tanganyika zibaki na kusimamiwa na watanganyika wenyewe, na Mali za Zanzibar zibaki nakusimamiwa nawazanzibari wenyewe., maana hii Muungano ni sanaa tu hakuna lolote wanufaika wakubwa ni hawa hawa wanaojiita WATAWALA.
Uvunjwe hauna maana yoyote
 
Back
Top Bottom